Sawa "kaka"
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.....
Mchungu sana
Pozi lake tata
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Sijagusa 30Hii "Kaka" na huto tu Emoj si twa kunisanifu..
Ila ww chumvi umelamba sana hope una range 27-33 maana niliona mnasimuliana enzi story za 95 kushukaa
Sawa sawaHahaaaaa mm mwembamba tu ila nazidi 25..
Mm nilikaa tu miguu ilipind on Default..kweli mm ni kizazi cha 90s sikatai..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchungu sana
Pozi lake tata
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Poa mama jj za wewe mke mweeVp mke mweee
KaribuTOP TEN
Baadaye nitabanwa hivyo nashusha mapema zen jioni kuchat nitaweza ila siyo kuweka mada labda tu Did U Know maana ni kutupia picha tu
Km kawa Ijumaa ndiyo kumi kubwa ya kumalizia wiki hivyo huwa tunaenda kiburudani zaidi
Leo tuangalie wasanii 10 wa muziki wa kufokafoka(hip hop) wenye mkwanja/mlunga mrefu size ya urefu wa treni
.......
Umekubali sasa kama we mtoto mondray samahani lakini usije ukapanick banaHii "Kaka" na huto tu Emoj si twa kunisanifu..
Ila ww chumvi umelamba sana hope una range 27-33 maana niliona mnasimuliana enzi story za 95 kushukaa
Usibadili jamaan mondrayNabadili Avatar..
SawaAaah mamaaa mm ka Age kameenda ujue..Sema nilizawadiwa sura ya kitoto sioti ndevu..Ila madogo zangu ndio wakubwa..
Asante ankali kwa historiaKwa udhamini mnono kabisa wa Ximena's red Wine [emoji485] kuna sweet na dry pia, ambapo basi utajipatia red wine murua kabisa weekend hii iliyotengenezwa kwa pure zabibu.... Lita 1 kwa bei ya 12,000 tu na inapatikana kwa ujazo wa hadi lita 5
Leo katika historia haina la ziada! Niite Jimena Jimenes JJ
T G I F
Tukutane tena kesho kwenye historia muwe na weekend njema
Pamoja sana ankaliAsante sana kwa magazeti ankali
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ngoja week end tujipigie vitu
Maisha yenyewe mafupi
Nikiwa swaff nitakutafute nijibebee japo kaglass kamoja nipoze machungu ya kuhangaishwa na mifugo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.....
[emoji3] [emoji3] [emoji3]kacute flatscreen oyeeee
Aisee haaaaahaaaaHumu hakuna mzee
Labda mtu yule ndo maana magumashi hayakuisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
Pozi la Ray[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KaribuTOP TEN
Baadaye nitabanwa hivyo nashusha mapema zen jioni kuchat nitaweza ila siyo kuweka mada labda tu Did U Know maana ni kutupia picha tu
Km kawa Ijumaa ndiyo kumi kubwa ya kumalizia wiki hivyo huwa tunaenda kiburudani zaidi
Leo tuangalie wasanii 10 wa muziki wa kufokafoka(hip hop) wenye mkwanja/mlunga mrefu size ya urefu wa treni
.......