Makapuku Forum

Tukijiandaa kupata lunch ...salaam kwa wote watakaoweza kupata hicho japo kigodo cha mchane wengine ata jioni sio mbali tunaweza kufika japo wengi huwa tunajiuliza na kuna ubishii kweli

Wengine wanadai wanaweza kushinda na njaa mpka jioni wengine wanadai hawawez....

Huku wengine wakijidai kabisa kuwa ni rahis sana kulala bila kula yaani na njaaa ukilinganisha na mchana ...yote majibu unayo wewe ....

Anyway hayatuhusu ...ngoja tukaongeze siku...


Don't mess with kansiime. ...
 
Vichekesho vya Kansime havijawahi kumuacha mtu salama
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…