[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Binamu kwahiyo video ya rayc umekosa jamaan
Asante sana sana binamu kusikia tu nyimbo nimefurahi sanaaaa [emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10] unajua vile nakupenda
Unajuaa aHa ha ha ha ha... Kinga ni bora kuliko tiba [emoji2]
Binamu jamaan video ya rayc ipo kabisa bora ingekuwa hamna jamaan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna moja nimeipandisha tayari? Hujaiona au siyo yenyewe?Binamu kama haipo ya ray c niwekee ya vee money mapenzi ya kisela
Binamu sikuelewiiiii naomba nyimbo ninazochagua kama hauna bundle nikutumie jaman
Video sio hiyo binamu jamaanKuna moja nimeipandisha tayari? Hujaiona au siyo yenyewe?
KashalewaaaBinamu jamaan video ya rayc ipo kabisa bora ingekuwa hamna jamaan
Siyo yenyeweeKuna moja nimeipandisha tayari? Hujaiona au siyo yenyewe?
Ata mie naona balimi sio ya mchezo mchezoKashalewaaa
Lakini wewe si una wawili... Hakuna ubaya kama Jirani yako atachukua mmoja ha ha ha ha ha.Unajuaa a
KaribuSalama msupu
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umetupelekaaa chaka binamu huu wimbo mbona video siyo yenyeweee.....
Kweliii wkend imekuwa tamu
Unaotaa au umetumwaaLakini wewe si una wawili... Hakuna ubaya kama Jirani yako atachukua mmoja ha ha ha ha ha.
Sio B tenaBaba D jamaan
Ukweli mtupuWewe wasema
Hapana shemelaSio B tena
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Nawe pia dada
Asante steve kashaweka kaangalieNa kwako pia mke mwee
Nawe pia my loveUcku mwema wapendwa nawatakia maandalizi mema ya mwanzo wa wk