Makapuku Forum

Kubwa sana, mimi nimejionea jana tu
Yaani hajuna dawa na zilizopo watu wanapewa dozi nusu nusu
Niliandikiwa dawa 3
Ya kwanza nikapwwa vidonge viwili tu
Ya pili vidonge 6
Ya tatu ndo sikupewa kabisa japo inauzwa 500/= tu
Yaani nilipewa dawa za kutumia Siku moja tu sio kitu cha kawaida
Inabidi mtu uhangaike na hospital kubwa ndo kuna nafuu
.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…