Makapuku Forum

Ulemavu mbaya ni wa akili (ukichaa)
Ukiwa chizi basi maosha yako ndo basi tu
Utasikia lakini hutaelewa
Utaona lakini hutaelewa
Utaweza kiongea lakini hautaeleweka
Utaweza kutembea lakini utazurura ovyo km paka
Una mikono lakini hautajua hata kuitumia kuoga(utasubori kuogeshwa)
Una nguo kabatini lakini utaona ni km mzigo tu Hivyo utaamua kutembea uchi

......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…