Makapuku Forum

Mama mchuchu tumekumis na asantee kwa baraka
 
Leo katika historia

1/7/ 1961 Princess Diana anazaliwa.
Alikuwa mke wa mtoto wa malkia wa nchini Uingereza azaliwa.
Princess Diana alifariki mwaka 1997 katika ajali ya gari ambayo imebakia kuwa tata hadi leo
Hbd princess diana na upumzike kwa Amani
 
Kufikia hapo basi leo katika historia haina la ziada. Asante kwa Ibracadabra kwa kusababisha hii siku ya leo..
Asanteni sana wote kwa kuwa kuwa pamoja nami asubuhi ya leo. Niite Jimena Jimenes.... Muwe na weekend njema.... Nawapenda wote
Asante sana Jimena kwa historia
 
Nimekuwa vema anko.

Niko POA sana. Sijui wewe leo umeamkaje?


BTW, asante kwa hadithi, iko poa sana. Ni nzuri na sikujua kama itakuwa ikiniumiza akili isipowekwa.

Au na mimi niwe naiquote nzima nzima
Binamu uquote ili iweje jamaan au tusiwekewe story iwe furaha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…