Kisheria mtu huhukumiwa mara 1 au kushtakiwa mara 1 tu kwa kosa husika Mtu yuleyule hawezi kamwe kuhukumiwa au kushtakiwa mara mbili kwa kosa lilelile katika mahakama zenye mamlaka yaleyale....Res Judicata
Rainyundo huyu wa Kupiga assist kura za wananchi alizaliwa Machi 1875 na kufariki dunia 1961 akiwa na miaka 86
Jamaa ni alitapeli kura za wananchi bila kutumia akili ya kubalansi mambo
Rekodi yake itadumu milele
......