Makapuku Forum

Enzi zake defao jamaan
Binamu asante pamoja kuwa umechunia text yangu ila kigamboni hatuendi
 
sitaki mie jamaan
 
Hayawiiiii hayawiiiiii yamekuwaaaaaa.....asantee bhinamu kesho si unajua bill yangu japo leo umenikwepa
 
Afute kwanzaa kaulii
 
Nakumbuka bhinamu na mm mambo yale nayasawazisha hope kesho tutakuwa na weekend mujarabuuu ....

Niko poa kiukweliiii


Kesho anko itakuwa poa sana , wewe jipange nami najipanga maana si unajua ile buku jero kwa mjumbe imezaa, yaani kaizalisha pale nilipoenda kumwambia umesafiri ikawa buku tatu nzima yaani ukijumlisha inakosekana jero tu kufika mkoba yaani buku tano.

Vipi utakuja na ugeni wetu wa TukuyuπŸ˜€πŸ˜€
 
Bhinamuu mbona wewe mara nyingi una tabia ya kusahau lakini buku jero huachi ...najua kasheria ni msumeno na tulijiwekeaa sisi ikilala inazaaa ....yaaa ikilala kweliii ....lakini ukumbukee ile siku nimelewaa kwenye mfuko kulikuwa na buku 2 na wewe ndo uliichukua ila ukachukua advantage kuwa nimelewa ntasahau ..unaikumbuka???

Kesho nafanya suprises ..
 


na wewe huwa husahau hata mambo madogo bhana! zile nilizitunza maana namna mlivyoondoka na cm nikajua tu hapa ungeondoka na wallet ungempa hela ya supu nikaona bora ukale bure. Sasa msala ukabaki kwangu, chapati zililala ikabidi mama Ashura adai nizilipie maana nilimpa gundu tulipoamka.

Okay , kama ni hivyo basi tufanye tunatoa hiyo buku mbili, zinabaki buku tatu, kama vipi tuombe assist kabisa mapema
 
Samahani bhinamu acha mzaha kwenye mambo ya msingi yanayohusu pesa ...na mm nakutega tu japo hutegekiii unaikumbuka vyema sheria yetu ibara ndogo inayohusu mikopo hasa kwenye riba ....

Kipengele cha 4 ibara ndogo baa nakopiii "hairuhusiwii kulipa deni kama anayedai anadaiwa " na kama unakumbuka hii sheria ilimfanya mama chausiku atoke kwenye umoja wetu ...

Kwa sheria hiyo deni lako halizaii kwa kipengele cha 5 kinachofuataa....niko makiniiii


Nafikiri kwa kile cha sita unajua natakiwa nilipwee sh ngapiii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…