Mbaya sana ila wanavyosema sio hana kabisa huwa inasimama dede lakini sio kihivyo sijui ndio hivyo kuwa na nguvu au kutokuwa na nguvu baba d tuifunge hii mada
1963 - Uingereza yaipa Zanzibar mamlaka ya kujiongoza yenyewe.
Lakini waarabu wakaendelea kutawala mpaka pale Januari mwaka 1964 ( miezi 7 ) ambapo Wazanzibar wakafanya Mapinduzi ya kumuondoa Mwarabu chini ya Uongozi wa Field Marshall John Okello.