Makapuku Forum

Ni jambo jema kuwa mama na mtoto wako salama ila ni hatari kwa usalama wa afya zao. Nadhani kuna kikomo cha safari kwa wajawazito au sheria zinatofautiana kutoka taifa moja hadi jingine?
 
Wabongo wao wanataka hata leo iwe tayari
 
Raha ya kuzaliwa kipindi cha mwezi mkubwa ndio hiyo
 
Ipo wapi SHIMBA YA ANGAZA?
Ile Musukuma ya Koromoje imeadimika sana
Oyaa jomba kuja hapa na mtani wako Shedere mutu ya ng'ombe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji102] [emoji102] [emoji102]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Shedere ndo naniiiiii ....[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…