Ukiweza mruhusu wifey nipige naye practical - show moja tu ya kibabe na roho yangu itapoa. Mengine haya siyajui...
Obe kanizunguka...Naona na ushemeji utakuwa kwishnei sasa. Ngoja tuone itakavyokuwa. Pengine itanibidi nimchochee Shedede huko aliko achochee matunguli ya Kikinga ili haya mapinduzi yadorore!
Ukiweza mruhusu wifey nipige naye practical - show moja tu ya kibabe na roho yangu itapoa. Mengine haya siyajui...
Obe kanizunguka...Naona na ushemeji utakuwa kwishnei sasa. Ngoja tuone itakavyokuwa. Pengine itanibidi nimchochee Shedede huko aliko achochee matunguli ya Kikinga ili haya mapinduzi yadorore!
Mtu mmoja mwenye bunduki amefyatua risasi kwa umati wa wafanyakazi wa bohari moja mjini San Francisco huko Marekani.
Kampuni hiyo imesema kuwa watu kadhaa wamekufa katika tukio hilo.
Watu 12 wawili imethibitishwa kuwa wamekufa kutokana na moto mkubwa uliozuka na kuteketeza jengo la ghorofa 24 katika jiji la London.Hata hivyo Polisi wanasema kuwa idadi ya waliokufa huenda ikabainika kuwa ni zaidi.
Bunge la Kenya linaweza kuvunjwa wakati wowote kuanzia sasa kupisha uchaguzi mkuu wa Agosti 8.Litakumbukwa vipi?
Swala la mihadarati linazidi kushika kasi nchini Rwanda hususan miongoni mwa vijana. Serikali ya nchi hiyo inasema kila mwaka vijana zaidi ya elfu 4 hupelekwa katika kituo maalumu kinachopatikana katika kisiwa cha Iwawa kwa matibabu.
Uganda imethibitisha kushiriki mashindano ya ndondi ya ubingwa wa Afrika, yatakayoanza Jumamosi hii nchini Congo Brazaville.Utasikia namna walivyojipanga kurejea nyumbani na ushindi.