TOP TEN
Kama ombi la Dikteta muda asubuhi kuhusu kuwaletea watu maarufu au ambao upoteaji wao ulizua gumzo
Ni wengi sana ila nawaelezea kumi tu Binafsi naamini watoto ndio upotea ila watu wazima upotezwa
Hivyo basi baadhi wametoweka kibahati mbaya ila wengine kuna wahalifu na serikali
Karibuni
........