Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,521 KANDAHAR, PAKISTAN Basi likiwa limebeba bidhaa na mizigo, ilikuwa tarehe 25/09/2011
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 36,007 Reaction score 108,559 Jun 2, 2017 #201,523 Nyagei said: Uko poa lakini Click to expand... Niko poa bro Mishe vp lkn..
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,524 MAJULI, INDIA Kivuko kikivuka mto Brahmaputra kikiwa kimebeba watu, bidhaa, magari pamoja na pikipiki Nov, 20 2013
MAJULI, INDIA Kivuko kikivuka mto Brahmaputra kikiwa kimebeba watu, bidhaa, magari pamoja na pikipiki Nov, 20 2013
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,525 Mondray said: Niko poa bro Mishe vp lkn.. Click to expand... Ni poa sana unaadimika sana humu
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Jun 2, 2017 #201,526 Mondray said: Safi dada ake.. Cc. Muosha rungu. Click to expand... mautani ya hovyo sipendi kabisa mondray yaan sipendi huyo unaemtag ni nani kwangu? ebu nipumzisheni kidogo
Mondray said: Safi dada ake.. Cc. Muosha rungu. Click to expand... mautani ya hovyo sipendi kabisa mondray yaan sipendi huyo unaemtag ni nani kwangu? ebu nipumzisheni kidogo
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jun 2, 2017 #201,527 Shunie said: mautani ya hovyo sipendi kabisa mondray yaan sipendi huyo unaemtag ni nani kwangu? ebu nipumzisheni kidogo Click to expand... Wanakuvurugaa tuu
Shunie said: mautani ya hovyo sipendi kabisa mondray yaan sipendi huyo unaemtag ni nani kwangu? ebu nipumzisheni kidogo Click to expand... Wanakuvurugaa tuu
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,528 MANDALAY, MYANMAR Sio India tu hata huko Myanmar nao wapo vizuri kwenye usafiri wa treni hapa ilikuwa wamekwenda kwenye sherehe za kijadi ijulikanayo kama Taungbyon national festival ilikuwa tarehe 1/08/2008
MANDALAY, MYANMAR Sio India tu hata huko Myanmar nao wapo vizuri kwenye usafiri wa treni hapa ilikuwa wamekwenda kwenye sherehe za kijadi ijulikanayo kama Taungbyon national festival ilikuwa tarehe 1/08/2008
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 36,007 Reaction score 108,559 Jun 2, 2017 #201,529 Shunie said: mautani ya hovyo sipendi kabisa mondray yaan sipendi huyo unaemtag ni nani kwangu? ebu nipumzisheni kidogo Click to expand... Nisamehe dada angu.. Najua humpendii na mm nimekosea najua.. Nimetaka nikucharue kidogo si unajua nilikumiss.. NISAMEHE.
Shunie said: mautani ya hovyo sipendi kabisa mondray yaan sipendi huyo unaemtag ni nani kwangu? ebu nipumzisheni kidogo Click to expand... Nisamehe dada angu.. Najua humpendii na mm nimekosea najua.. Nimetaka nikucharue kidogo si unajua nilikumiss.. NISAMEHE.
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 36,007 Reaction score 108,559 Jun 2, 2017 #201,530 Nyagei said: Ni poa sana unaadimika sana humu Click to expand... Mkuu hua naingia saa 6 nakuta mpo mbali nashindwa kuchangia..
Nyagei said: Ni poa sana unaadimika sana humu Click to expand... Mkuu hua naingia saa 6 nakuta mpo mbali nashindwa kuchangia..
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Jun 2, 2017 #201,531 Mondray said: Mkuu hua naingia saa 6 nakuta mpo mbali nashindwa kuchangia.. Click to expand... Happy bornday Scofield
Mondray said: Mkuu hua naingia saa 6 nakuta mpo mbali nashindwa kuchangia.. Click to expand... Happy bornday Scofield
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Jun 2, 2017 #201,532 Mondray said: Nisamehe dada angu.. Najua humpendii na mm nimekosea najua.. Nimetaka nikucharue kidogo si unajua nilikumiss.. NISAMEHE. Click to expand... unicharue ili iweje sipendi jaman sio kuzoeana iwe shida acha nibadilike kidogo mniseme nina ringa naona mazoea yana shida
Mondray said: Nisamehe dada angu.. Najua humpendii na mm nimekosea najua.. Nimetaka nikucharue kidogo si unajua nilikumiss.. NISAMEHE. Click to expand... unicharue ili iweje sipendi jaman sio kuzoeana iwe shida acha nibadilike kidogo mniseme nina ringa naona mazoea yana shida
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Jun 2, 2017 #201,533 lee empire said: Wanakuvurugaa tuu Click to expand...
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 36,007 Reaction score 108,559 Jun 2, 2017 #201,534 Shunie said: unicharue ili iweje sipendi jaman sio kuzoeana iwe shida acha nibadilike kidogo mniseme nina ringa naona mazoea yana shida Click to expand... Daaah Sawa.
Shunie said: unicharue ili iweje sipendi jaman sio kuzoeana iwe shida acha nibadilike kidogo mniseme nina ringa naona mazoea yana shida Click to expand... Daaah Sawa.
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,535 NAIROBI, KENYA Jan 5 2010
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 36,007 Reaction score 108,559 Jun 2, 2017 #201,536 Transcend said: Happy bornday Scofield Click to expand... Tkanks..
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jun 2, 2017 #201,537 Shunie said: unicharue ili iweje sipendi jaman sio kuzoeana iwe shida acha nibadilike kidogo mniseme nina ringa naona mazoea yana shida Click to expand... Nani kasema unaringa ??
Shunie said: unicharue ili iweje sipendi jaman sio kuzoeana iwe shida acha nibadilike kidogo mniseme nina ringa naona mazoea yana shida Click to expand... Nani kasema unaringa ??
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,538 BAKU, AZERBAIJAN Gari likiwa limebeba majani kwa ajili ya malisho ilikuwa 30/06/2009
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jun 2, 2017 #201,539 Shunie said: Click to expand... Wanakuvurugaa haswaa
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 Jun 2, 2017 #201,540 BAKU, AZERBAIJAN View attachment 517980 Gari likiwa limebeba majani kwa ajili ya malisho ilikuwa 30/06/2009
BAKU, AZERBAIJAN View attachment 517980 Gari likiwa limebeba majani kwa ajili ya malisho ilikuwa 30/06/2009