Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
"Vijana wa kizazi cha leo wanaamini afya iko kwenye mafuta; mihogo ya kuchemsha ni ya washamba, lakini ya kukaanga ni fasheni. Dagaa ni za maskini, lakini kuku wa kisasa anayewanenepeesha hadi wanaume kuwa na matiti kama wake zao ni starehe kwao. Halafu unategemea kupata taifa lenye vijana wenye akili iliyokomaa? La hasha! Utavuna makapi ya mafuta yaliyojaa ladha, lakini hayana maarifa, kazi kwao ni kutukana, na kulalamika." —Alloyce, P.R. 🥴💭