MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Hii ni mpya. Toka lini ukapita tu makao makuu wakati hicho ni kijiwe chako mpaka ofisi zinafungwa, au kwa vile huna ofisi maalum kwako ndiyo unaita kupita.WanaJF,
Nasikitika sana nimechelewa kuingia humu.Kiufupi huyu ni yule mjasiriamali wa Simu.
This is absurd
Jana jioni nilipita makao makuu.Utaratibu niliouona ni ule ule.
Unatamani iwe ulivyoandika.Si umeshafukuzwa CHADEMA?Move on acha kuingiza watu mkenge .Next time hautaaminika!