Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,345
- 2,913
huku bara kuna waislamu. Hivi tulishawahi kusikia kuwa wamechoma makanisa huku? Wazanzibar sio wenzetu
Mkuu, ndio unajua leo kuwa Wazanzibari sio wenzenu. Pole.
huku bara kuna waislamu. Hivi tulishawahi kusikia kuwa wamechoma makanisa huku? Wazanzibar sio wenzetu
Inasikitisha kuona katika ustaarabu wa dunia ya leo bado tuna watu ambao kiwango cha ukubwa wa imani ya dini yao ni chuki dhidi ya watu wengine. Huu ni uhuni a,bao wangekuwa wamefanyiwa wao saa hizi mambo ni mengine hapa. Kinachonishangaza ni serikali kutokuwa na macho ya kuliona hili. Kama tuna intelijensia ya kugundua fujo fikirika zitakazotokea endapo watu wataandamana kwa amani kudai kitu ambacho ni haki yao, leo hii inakuwaje tushindwe kudhibiti haya?
Si muda mrefu sana zimechomwa baa na maduka ya ufukweni ya watu wa bara huko huko unguja. Huu ni uhuni ambao serikali inaufumbia macho kwa manufaa ya nani, mimi sijui! Ila kwa ndugu zangu ambao mnajifanya kutukemea tunapotaka kuandamana kupinga ufisadi na katiba fisadishi kwa kisingizio cha kuwa tutaharibu amani, huu ndio uharibifu wa amani na wala sio maandamano ambayo yanahusisha watu wa dini na jinsia zote.
Nichukue nafasi hii kumkumbusha Mama Kilemba aliyejaa udini na u-CCM Faiza Foxy na ndugu yake Malaria Sugu kuwa ili tuishi kwa amani wanatakiwa waielimishe jamii ya watu wenye akili kama zao juu ya haki za watu wengine. Faiza Foxy awe muungwana tu kutuonesha jinsi KANISA lilivyoshiriki ktk uhuni huu kama jana alivyonadi kuwa ni kanisa huwa linaanzisha mauaji.
Ni shetani tu ndiye mwenye haki ya kuangamiza wengine kwani Mungu alim-grant permission ya kufanya hivyo.
siku zote waislamu ni washenzi kuliko wanyama...eeh MWENYEZI MUNGU walipe sawa sawa na matendo yao hawa wavivu wa kufikiri na wabaguzi ....ndo maana hayaendelei hya na tatizo kubwa ni hivyo vyuo vikuu vyao wanavyosoma kuanzia chekechea a.k.a madrasa
Faiza Foxy na Malaria sugu watakutoeni roho. Inauma eeeh. Big up FF/MS. Mnawaumiza akina YESU ni MUNGU. Viva JF.
Hapo kunakitu hakijaelezewa vizuri. kwanini hao polisi wasiwakamate waliowakuta wanavunja kwa mahojiano?
Tatizo ni kuwa mtume wao *%&*§#?**()/% alikuwa ni gaidi, ndio maana na wao ni magaidi.
sijawahi kusikia nchi ya kiislam inaungana nchi yenye imani mchanganyiko,mchakato wa katiba uangalie ugaidi huu.,no wonder why america bought kigamboni to keep an eye on terrorist zanzibar..faiza foxy na malaria sugu wahojiwe na polisi.