Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Hizi ndoa hizi.........karibu Cameroon, karibu sana ujisikie upo magogoni.ndoa ya cuf na ccm ndio matokeo yake
Hizi ndoa hizi.........karibu Cameroon, karibu sana ujisikie upo magogoni.ndoa ya cuf na ccm ndio matokeo yake
Wale waliotaka kummaliza Yesu (Isa Ibn Mariam) walikuwa nani? Acha upuuzi wako I do not support the action taken in zanzibar and I condemn it but that should not mean you should despise other people's faith ndugu chunga mdomo wako.
Hao jamaa hawa,mbona huku Bara tunawaheshimu ila wao wakiwa huko kwao wanaleta uhuni wa namna hyo
Siku zote wanaochoma makanisa zanzibar ni 'watu wasiojulikana...' Polisi wakiwakuta wanapiga risasi juu ili wakimbie waendelee kuitwa 'wasiojulikana' Lkn maeneo mengine jeshi hilohilo la polisi linaua wananchi wanaopita karibu na migodi ya madini! Huo ndio ule tunaoambiwa ni mfumokristo! Na hilo ndilo jeshi lenu la polisi. Haya matukio huwezi kusikia wale wabunge na wawakilishi kutoka zanzibar wakiyalalamikia!!
Wale waliotaka kummaliza Yesu (Isa Ibn Mariam) walikuwa nani? Acha upuuzi wako I do not support the action taken in zanzibar and I condemn it but that should not mean you should despise other people's faith ndugu chunga mdomo wako.
si kuna waliokuwa wanaomba sehemu ya kujenga msikiti kule ndanda? sasa mbona huku wanachoma nyumba za imani za watu wengine?
ndoa ya cuf na ccm ndio matokeo yake
Kwanza napinga vikali vitendo hivi vilivyofanyika. Nina wasiwasi na uumini wa waumini waliofanya hivyo. Ni ugaidi na wala sio dini iliyowapelekea kufanya hivyo. Kubwa ni kuwa wanacheza na amani, wanaishi kwenye nyumba za vigae na kurusha mawe wao wenyewe.![]()
Na Mwinyi Sadallah
9th December 2011
Akizungumza na NIPASHE, Mchungaji wa Kanisa la Siloam, Boniface Kalyabukama, alisema lilibomolewa wiki iliyopita na watu waliotumia nyundo za kupasulia miamba ya mawe.
KANISA LINGINE LACHOMWA
Mchungaji wa Kanisa hilo, Julius Magoho, jana alisema kuwa, lilichomwa moto wiki iliyopita majira ya saa moja usiku, baada ya kumwagwa mafuta ya taa juu ya paa la makuti.
CHANZO: NIPASHE
What if the faith is founded and based on wrong principles? Should we respec the faith of arsons, murderers, artheists and all other sorts of human demeaning faiths simply because they are "faiths"?
Kwanza napinga vikali vitendo hivi vilivyofanyika. Nina wasiwasi na uumini wa waumini waliofanya hivyo. Ni ugaidi na wala sio dini iliyowapelekea kufanya hivyo. Kubwa ni kuwa wanacheza na amani, wanaishi kwenye nyumba za vigae na kurusha mawe wao wenyewe.
Lakini pa nina wasiwasi na umakini wa mwandishi habari hizi. Ukiangalia tarehe ya kutumwa kwa taarifa hii, na wiki iliyopita, bila ya kutaja siku wala tarehe, mwandishi kaandika kiudaku na kiushabiki kuliko ufuata maadili ya kazi yake. Hii ilipaswa kuwa habari nzito iliyofuata maadili ya uandishi wa habari: LINI, WAPI, NINI, NANI. Hapo pa lini alipaswa kujua siku na tarehe na sio kusema tu wiki iliyopita.
hapana mkuu usilipe kwa ubaya.Inatakiwa ifike mahala watu wa cuf waache siasa za kigaidi.
Can you mentioned the principles which you regard them as wrong ? Arsons, murderers, homosexuality and all sort of demeaning acts are associated with faith or few individuals who deviate their attitudes to god and move to follow their desires.
ni kweli mkuu huu ni uhuni tu wa wanasiasa.Wabunge wa CUF waliapa bungeni hawataki kuiona chadema zanzibar.. Wakaitaka serikali ya zanzibar kuirudishia chadema ubani waliokuwa wametoa.Sasa wanapoona mtu wa bara wanadhani ni chadema