Makanisa yachomwa moto Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Tatizo ni kuwa mtume wao *%&*§#?**()/% alikuwa ni gaidi, ndio maana na wao ni magaidi.

Siungi mkono vitendo viovu walivyovifanya.Lakini pia siungi mkono kabisa mchango wako wa hovyo na matusi kwa huyo unaedai mtume wao gaidi.Wote wewe na hao wachomaji mmelaaniwa.
 
My dear bro, dont be like a blind person who is arguing with a person endowed with sight. Stop being a fanatic, open your eyes wide. Ikiwezekana, hamia airtel, hamia MSALABA.

My brother,

Between me and you who is a blind person? I think your views shows that you are an extremist who thinks other people faiths are a blasphemy and curse and your religion is superior. In a free world unfortunately things do not work that way we live together in harmony and mutual respect. Whether your believe in Christianity, Hinduism, Islam, Bahai, Buddha, Atheist etc. You cannot accuse the way you said it before and think that you are correct. In any faith there are a bunch of nitwits or nutters who thinks the world is just a straight line. Zanzibar there are bunch of nutters who burn churches if it is true, Mwanza there are bunch of nutters who burned down a mosque. Think beyond the box and reduce you fanatic sentiments.:ballchain:
 
My brother,

Between me and you who is a blind person? I think your views shows that you are an extremist who thinks other people faiths are a blasphemy and curse and your religion is superior. In a free world unfortunately things do not work that way we live together in harmony and mutual respect. Whether your believe in Christianity, Hinduism, Islam, Bahai, Buddha, Atheist etc. You cannot accuse the way you said it before and think that you are correct. In any faith there are a bunch of nitwits or nutters who thinks the world is just a straight line. Zanzibar there are bunch of nutters who burn churches if it is true, Mwanza there are bunch of nutters who burned down a mosque. Think beyond the box and reduce you fanatic sentiments.:ballchain:
Correction please
In Mwanza what happened is that some gospel teachers burnt korun owned by one Muslim who turned to Christian that event provoked some muslim to try to burn down a church.
I think now it is clear
 
Baada ya kuchoma moto, kupaka kinyesi cha binadamu kwenye kuta na kubomoa makanisa, wataanza kujilipua na kulipua wanaosali kwenye hayo makanisa!
 
Hii sio mara ya kwanza kusikia kwmba makanisa/bucha za kuuzia kitimoto zikichomwa zenj na sijasikia hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahalifu. Mchelea mwana kulia.....................
Tuzuie matatizo kabla ya kutokea kuliko kutibu majeraha wakati tayari adhari zimetokea.
 
Siku zote waislamu ni washenzi kuliko wanyama...eeh MWENYEZI MUNGU walipe sawa sawa na matendo yao hawa wavivu wa kufikiri na wabaguzi ....ndo maana hayaendelei hya na tatizo kubwa ni hivyo vyuo vikuu vyao wanavyosoma kuanzia chekechea a.k.a madrasa
 
sijawahi kusikia nchi ya kiislam inaungana nchi yenye imani mchanganyiko,mchakato wa katiba uangalie ugaidi huu.,no wonder why america bought kigamboni to keep an eye on terrorist zanzibar..faiza foxy na malaria sugu wahojiwe na polisi.
Kumbe ugaidi ni kuchoma makanisa!!! Okay.
 
Hii ni hatari wakati wale waliochoma hotel/bar za watu kutoka bara sijasikia wakihukumiwa wala sijasikia wamekamatwa leo tena makanisa yamechomwa na hii ndo mbaya sana maana ubaguzi unaingilia kwenye imani za watu,hata hivyo kuna mawili hapa ni udini au ni hofu za CUF kwamba makanisa wanahusisha na Chadema.zaidi zaidi sisi tunawalazimisha wa-ZNZ kuwa na muungano nao wao hawataki,nadhani kuna haja ya kuwakataa pia
 
siku zote waislamu ni washenzi kuliko wanyama...eeh MWENYEZI MUNGU walipe sawa sawa na matendo yao hawa wavivu wa kufikiri na wabaguzi ....ndo maana hayaendelei hya na tatizo kubwa ni hivyo vyuo vikuu vyao wanavyosoma kuanzia chekechea a.k.a madrasa

mkuu wangu chama cha CUF kikiacha chuki kwa watu wa bara naamini haya mambo yatakwisha!
 
Hii ni hatari wakati wale waliochoma hotel/bar za watu kutoka bara sijasikia wakihukumiwa wala sijasikia wamekamatwa leo tena makanisa yamechomwa na hii ndo mbaya sana maana ubaguzi unaingilia kwenye imani za watu,hata hivyo kuna mawili hapa ni udini au ni hofu za CUF kwamba makanisa wanahusisha na Chadema.zaidi zaidi sisi tunawalazimisha wa-ZNZ kuwa na muungano nao wao hawataki,nadhani kuna haja ya kuwakataa pia

mkuu wangu umenena vema.Chuki ya CUF kwa chadema sasa ni dhahiri.Kwa upofu wa CUF wanadhani kila mtanganyika ni chadema.Sitosahau hotuba ya hamad Rashid na Habib Mnyaa wa CUF waliyotoa bungeni niligundua chuki ya chama hiki kwa watu wa bara.Walijiapiza chadema haitakanyaga zanzibar wakaiacha salama.
 
siku zote waislamu ni washenzi kuliko wanyama...eeh MWENYEZI MUNGU walipe sawa sawa na matendo yao hawa wavivu wa kufikiri na wabaguzi ....ndo maana hayaendelei hya na tatizo kubwa ni hivyo vyuo vikuu vyao wanavyosoma kuanzia chekechea a.k.a madrasa

Tatizo ni hizo dini zenu zinazolazimisha tuwe mashoga. Kwa taarifa yako, Uislamu ndio mfumo wa maisha wa kwanza kutambua kuwa mtu mweusi naye ni binadamu kama weupe na anastahili heshima. Na ni mfumo usio endekeza ubaguzi wa aina yoyote. Kama mtume wetu aliishi vizuri na Wakristo na Wayahudi na alifundisha kuvumiliana (tolerance) baina ya Waislamu na wasiokuwa. Kuwaita waislamu wavivu wa kufikiri ni tusi kubwa, Uislamu sio kama mifumo mingine ya kimaisha ilivyo kidikteta, kama Yesu mwenyewe alikataa kuitwa mwema na kusema mwema ni aliye juu pekee, Paulo alivyochakachua Injili akamgeuza Yesu kuwa Mungu...wakristo si tu wavivu wa kuhoji pia mapapa wenu ni madikteta wa imani, wamewaaminisha na kitu tofauti alicholeta Yesu, kwa uvivu wenu na udikteta wa viongozi wa Imani yenu mmekuwa vipofu japo mna macho, hamsikii japo mnamasikio, mabubu japo mna vinywa...
 
Kuna uhusiano gani kati ya imani na matendo ya kikatili kama haya ya kuchoma makanisa?

Kama kanisa limejengwa sehemu yoyote ama msikiti ni juu ya imani husika kuwaonyesha waumini wao njia iliyo sahii ya kuufikia ufalme wa Mungu. Kama wakishindwa kufanya hivyo waumini watatafuta ni wapi yalipo matendo mema yadhihirishayo uadilifu na utukufu wa Mungu. Na ikionekana hivyo basi aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga ataishambulia ile ionekanayo kujengwa juu ya mwamba kabla ya kuachwa kuwa gofu!

Kwa mantiki hiyo uhuru wa kweli wa kuabudu uwepo katika jamii na ili watu wetu wachague ni wapi panawafaa kuabdia na si kuchomeana majumba ya ibada kama ilivyo huko Zanzibar. Kama matendo yako ni mema machoni pa watu na yanadhihirisha utukufu na uadilifu wa Mwenyezi Mungu huna haja ya kuchoma nyumba ya kuabdia mabayo haiwezi kumshawishi mtu mwenye akili timamu kuifuata na hata kuisogealea, kinyume na hapo ni kujidanganya eti tunamtukuza Mungu tusiyemwona kwa kuwachukia wanadamu wenzetu walioumbwa na Mungu kwa mfano wako!
 
Tatizo ni hizo dini zenu zinazolazimisha tuwe mashoga. Kwa taarifa yako, Uislamu ndio mfumo wa maisha wa kwanza kutambua kuwa mtu mweusi naye ni binadamu kama weupe na anastahili heshima. Na ni mfumo usio endekeza ubaguzi wa aina yoyote. Kama mtume wetu aliishi vizuri na Wakristo na Wayahudi na alifundisha kuvumiliana (tolerance) baina ya Waislamu na wasiokuwa. Kuwaita waislamu wavivu wa kufikiri ni tusi kubwa, Uislamu sio kama mifumo mingine ya kimaisha ilivyo kidikteta, kama Yesu mwenyewe alikataa kuitwa mwema na kusema mwema ni aliye juu pekee, Paulo alivyochakachua Injili akamgeuza Yesu kuwa Mungu...wakristo si tu wavivu wa kuhoji pia mapapa wenu ni madikteta wa imani, wamewaaminisha na kitu tofauti alicholeta Yesu, kwa uvivu wenu na udikteta wa viongozi wa Imani yenu mmekuwa vipofu japo mna macho, hamsikii japo mnamasikio, mabubu japo mna vinywa...

binafsi sina tatizo na Uislam hata kidogo.Hii ni siasa tu.Kuna vyama vya kisiasa zanzibar vyenye agenda ya kigaidi.
 
Kuna uhusiano gani kati ya imani na matendo ya kikatili kama haya ya kuchoma makanisa?
Kama kanisa limejengwa sehemu yoyote ama msikiti ni juu ya imani husika kuwaonyesha waumini wao njia iliyo sahii ya kuufikia ufalme wa Mungu. Kama wakishindwa kufanya hivyo waumini watatafuta ni wapi yalipo matendo mema yadhihirishayo uadilifu na utukufu wa Mungu. Na ikionekana hivyo basi aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga ataishambulia ile ionekanayo kujengwa juu ya mwamba kabla ya kuachwa kuwa gofu! Kwa mantiki hiyo uhuru wa kweli wa kuabudu uwepo katika jamii na ili watu wetu wachague ni wapi panawafaa kuabdia na si kuchomeana majumba ya ibada kama ilivyo huko Zanzibar. Kama matendo yako ni mema machoni pa watu na yanadhihirisha utukufu na uadilifu wa Mwenyezi Mungu huna haja ya kuchoma nyumba ya kuabdia mabayo haiwezi kumshawishi mtu mwenye akili timamu kuifuata na hata kuisogealea, kinyume na hapo ni kujidanganya eti tunamtukuza Mungu tusiyemwona kwa kuwachukia wanadamu wenzetu walioumbwa na Mungu kwa mfano wako!

mkuu wangu CUF waache chuki na vitendo vyao viovu haya mambo yatakwisha!
 
Kumbe ugaidi ni kuchoma makanisa!!! Okay.

mkuu wangu sasa hivi zanzibar kuna vyama vya siasa vinavyofuata itikadi za kidini vyenye chuki na wakristo.Tunataka tamko la CUF katika hili tukio
 
Wakuu, mnapigishana kelele na kupandishana jazba tu. Kwani yalichomwa moto ni makanisa!!! Mimi binafsi nimepita hayo maeneo tajwa, naona kama ni vibanda vya kufugia mbuzi na kondoo tu. Yaani ni vibanda vya makuti (FULL SUIT) kutoka chini mpaka juu makuti. Mnatiana pressure bure kwa kuchomwa vibanda vya kufugia kuku, mbuzi na kondoo. Makanisa yanakaa vile!!! Nashangaa sana. Vibanda vya makuti. VIVA JF. Aluta continua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom