Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

Hapa Kuzika Haiwi Ardhini Bali Ni Kuzamisha Kwenye Maji Mengi. Ni Ishara Ya Kuzika Utu Wa Kale Na Kuibuka Na Utu Mpya
Hivyo maji yanatumika kama ishara tuuu....si ndio..??? Hapa tunakubaliana...???


Je! In real sense hayo maji yanaondoa dhambi..?? Kivipi...??
 
Mimi nilishaachana na hizo habari kitambo sana tu.

Sadaka nitatoa mwenyewe kwa jambo ninaloona mwenyewe linafaa.

Nilikuwa nasikiliza BBC World Service kama kawaida yangu, wakawa wanaongelea habari mpya nilikuwa sijawahi kuisikia.

Kawaida huwa kuna watu wanapenda kuwa dominated katika mahusiano, wanapenda kuna na ma "dominatrix", usually it is about the use of force and humiliation.

Sasa siku hizi kuna mpaka ma "financial dominatrix", kwa mfano mwanamke ana m control mwanamme anam dominate mpaka kwenye mambo ya fedha, mwanamme anampa pesa zake zote mwanamke (wengine mtasema mganga wake mzuri huyo mwanamke, lakini hamna uganga hapo)

Ulivyosema hiyo habari, nikakumbuka hawa "dominatrix", hao Wachungaji nao wanaweza kuwa katika kundi moja na ma"financial dominatrix".

The Wwashington Post did an article on this.

- The Washington Post

Meet the dominatrixes who control men where it really hurts: Their wallets

In a pastel-colored French patisserie in Beverly Hills, Mistress Harley sips on a Bellini topped with raspberries and scrolls through surveillance monitors on her Android. “Oh, look, there’s Ben!” she says, tapping on the screen with her long magenta nails. “He’s naked.”

Speaking into the microphone on the app Nest, which is usually used for things like home security and pet monitoring, Mistress Harley instructs the man to kneel on the floor and bow down to her. He obeys. “You can see that I’ve made him sell all his stuff and even his bed, so he sleeps on the floor,” Mistress Harley explains. “He lives in Sacramento. I’ve actually been considering buying a house in Sacramento and making him rent it from me.”

Mistress Harley — who, like many in this article, refuses to reveal her legal name citing privacy and safety concerns — isn’t forcing Ben to do anything he doesn’t want to do. He is paying her a weekly salary to monitor him throughout the day. Sometimes she likes to cackle at him in the middle of the night via speakers installed in his bedroom. Other times, she’ll demand that he eat only meals that resemble dog food and send her photos as proof.

Read more here - - The Washington Post
Kiranga rafiki yangu siku hizi umegundua kuna Mungu! Wewe huyuhuyu usiyeamini Mungu anaishi wapi hizo sadaka unampaga nani??
 
Basi, enendeni,mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu
Hayo mataifa yote ina maana watu wote!

Je! Waeza nionesha ni wapi Yesu ali-specify umri wa kubatizwa(maandiko tafadhsli)


Je! Mtoto ni Mtu, kitu, mdudu...??? Mtoto anawekwa kundi gani...?????


Nyie ndo wale watoaji mimba na wauaji wa watoto kwa kisingizio mtoto hajitambui, sio binadadamu


Nipo
 
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.

Siyoya kiroho hayo
 
Hospital,shule na kadhalika hakuna huduma za bure zote unalipia uwe umetoa michango au hujatoa malipo yapo pale pale.

Hebu nenda kapange fremu ya kanisa uone kama watakupunguzia kodi kisa unatoaga michango kanisani.
Ukitoka hapo unasema kanisa katoliki wezi wakati ukiumwa unaenda kutibiwa kwenye hospital zao
 
Hospital,shule na kadhalika hakuna huduma za bure zote unalipia uwe umetoa michango au hujatoa malipo yapo pale pale.

Hebu nenda kapange fremu ya kanisa uone kama watakupunguzia kodi kisa unatoaga michango kanisani.
Akili tatizo ni ndogo hapo hapo kwenye hospital inasadia maana wasingejenga mngeishia kwa waganga then bado hivyo vitega uchumi vinakuza uchumi wa eneo husika ndo maana miradi yakiafrica inafulia kwasababu wanawaza wakichangia tu waikomoe Sasa mnachangishwa repair au inakuwaje. Tupunguze ujinga na bwerere jamani
 
Kiranga rafiki yangu siku hizi umegundua kuna Mungu! Wewe huyuhuyu usiyeamini Mungu anaishi wapi hizo sadaka unampaga nani??
Dhana ya kwamba watu wasioamini kuwapo kwa Mungu hawawezi kutoa sadaka ni dhana potofu.

Ni dhana inayotokana na mawazo finyu kwamba sadaka inatolewa katika muktadha wa dini za Mungu tu.

Wakati kwa kweli sadaka ni kusaidia bila kulazimishwa. Na hujajibu hoja za hapo juu kwamba, anayesaidia kwa sababu kataka tu mwenyewe kusaidia, bila kutaka mbingu, kumoendeza Mungu wala kuogopa moto, amesaidia kwa hiyaribyake kuluko anayesaidia kwa kumuogopa Mungu, kwa kutaka mbingu na kwa kuogopa moto.

Hii dhana ya kwamba usipoamini Mungu huwezi kutoa sadaka (kusaidia watu wengine kwa hiyari na nia njema bila kutegemea kuliowa) inaonesha kwamba mtu anayefikiri hivi hajasoma falsafa ya dini, hajui utubora na hajui kwamba kuna dini ambazo hazikubali kuwapo kwa Mungu, lakini waumini wake wanatoa sana sadaka na wanaamini sana katika kusaidiaana. Buddhusm ni mfano.

Ni ufinyu wa mawazi nanutovu wa ujuzi tu unaoweza kumfanya mtu aine kwamba mtu asiyeamini kuwapo kwa Mungu hawezi kutoa sadaka.

Dhana ya sadaka imepita uwanda mdogo wa habari za Mungu.
 
Waislamu bana......hii tabia yenu bado hamjaacha...

Kanisa lipokee ruzuku ili iweje...??? Kasome MOU uje hapa tena
Nani kakwambia mimi ni muisilamu? Mimi ni mkristo.
Nachomaanisha kwenye ruzuku ni kwa hizi hosp za kanisa kwa sasa hivi nyingi zinaendesha na ruzuku toka serikalini kwa zaidi ya asilimia 75. Na hata hivyo gharama za matibabu ni juu sana kiasi kwamba mlala hoi haziwezi kabisa japo ana michango hapo itokanayo na kodi yake.
 
Ndugu, Yesu aliwalalamika kwa wanasheria , kuwatwisha watu MIZIGO ambayo wao HATA kiduchu hawaibebi, MNAWATWISHA mama zetu na dada zetu mizigo ya sadaka, ambayo nyinyi hambebi ! HILO ni tatizo , hata kwenye mitandao ya kijamii wahubiri wazungu wanawalalamikia sana waafrika kwa mahubiri ya SADAKA na miujiza ! SISI tutawambia ukweli , HUBIRINI INJILI SIO KILA SIKU MNAWATWISHA DADA ZETU MIZIGO YA SADAKA TU. MAHUBIRI YA KUTAJIRIKA TU KILA SIKU , KUPATA KAZI NZURI UKITOA SADAKA
Very good! Umeandika vyema sana mkuu, nakubaliana na wewe. Ingawa sadaka ina umuhimu lakini siyo kipaumbele cha MUNGU. Kuna vitu MUNGU anataka kutoka kwetu na siyo Sadaka. Kuna mifano mingi sana kutoka kwenye Biblia imeelezea hili. Soma comment yangu namba [HASHTAG]#131[/HASHTAG].
 
aiseee so zile hospital za wamisionari mnaaanza simangia watu anyway wasipojenga serikali itajenga na pia hata kwa waganga watu wanapata tiba hebu acha kuwasimanga akina Mshana Jr . kabla ya dini hazijaja afrika mizizi ilitumika kama tiba na pia serikali inagharamia kwa kiasi kikubwa hizo hospital za kanisa.

Akili kubwa na wahindi watasemaje kuhusu hospital zao?au nazo umeziiba kupeleka umiliki kwa kanisa?

Tupunguze kukurupuka jaman sio kila hospital ni ya kanisa,na sio bila kanisa hakuna hospital
Akili tatizo ni ndogo hapo hapo kwenye hospital inasadia maana wasingejenga mngeishia kwa waganga then bado hivyo vitega uchumi vinakuza uchumi wa eneo husika ndo maana miradi yakiafrica inafulia kwasababu wanawaza wakichangia tu waikomoe Sasa mnachangishwa repair au inakuwaje. Tupunguze ujinga na bwerere jamani
 
aiseee so zile hospital za wamisionari mnaaanza simangia watu anyway wasipojenga serikali itajenga na pia hata kwa waganga watu wanapata tiba hebu acha kuwasimanga akina Mshana Jr . kabla ya dini hazijaja afrika mizizi ilitumika kama tiba na pia serikali inagharamia kwa kiasi kikubwa hizo hospital za kanisa.

Akili kubwa na wahindi watasemaje kuhusu hospital zao?au nazo umeziiba kupeleka umiliki kwa kanisa?

Tupunguze kukurupuka jaman sio kila hospital ni ya kanisa,na sio bila kanisa hakuna hospital
Sasa vijijini Kuna hospital za wa indi mi nakuona you are on denial
 
Nani kakwambia mimi ni muisilamu? Mimi ni mkristo.
Nachomaanisha kwenye ruzuku ni kwa hizi hosp za kanisa kwa sasa hivi nyingi zinaendesha na ruzuku toka serikalini kwa zaidi ya asilimia
Utakuwa mkristo wa hovyo kabisa.....

Hivi unaweza kuwa na akili timamu ukahoji ruzuku. ??? Madai hayo ya kshenzi kabisa nilikuwa nayasikia kwa Waislam(faiza foxy, Mzee MS, )....au wewe ni Msabato...???


Unafikiri Serikali isingeweka ruzuku(Subsidies) wagonjwa wa kawaida wangeweza tibiwa...???
 
Blind faith,yaani utoe tu,wala usijishughurishe na kujua hizo fedha zinatumikaje,kwa vile zinapokewa na "mpakwa mafuta wa Bwana" wewe usijari hata akizifanyia ufisadi,wewe mtoaji utakiwi kuhoji,Mungu atamuadhibu,
Kama imani yako ndio hii,pole sana,
Unapotoa sadaka yako madhabahuni huwa unamtolea nani? Mungu au mwanadamu?
 
Utakuwa mkristo wa hovyo kabisa.....

Hivi unaweza kuwa na akili timamu ukahoji ruzuku. ??? Madai hayo ya kshenzi kabisa nilikuwa nayasikia kwa Waislam(faiza foxy, Mzee MS, )....au wewe ni Msabato...???


Unafikiri Serikali isingeweka ruzuku(Subsidies) wagonjwa wa kawaida wangeweza tibiwa...???
Hapa ndipo kanisa linopopiga hela za serikali likijumuisha na sadaka zisizo za hiari. Sadaka hizi unaweza kuziita michango ya sharti ya washiriki.
 
Back
Top Bottom