Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Mambo ya michango yamesababishwa na hii jumuia ya kikristo Tanzania. Yalianza makanisa machache baadae wote wakaiga uupuzi. Mimi nasali Moravian huku nako usiseme soda ya 500 inauzwa kwa mnada mpaka 20000. Wizi mtupu!!!