matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,370
Wasalaam,
Nimechagua hawa maana ndio wanavuguvugu kubwa la kuliishi neno. Sina uzoefu na RC au KKKT lakini makanisa ya kisabato na kilokole mengi nimeingia.
Tofauti na wale wakristo wa awali, Njia ya kuelekea hekaluni ilikuwa imejaa ombaomba. Hawa jamaa walikuwa wanamvizaga Yesu, mitume wanapoingia kuabudu angalau wapate chochote.
Siku hizi hii kitu haipo, tatizo ni nini
Uchoyo umezidi?
Wananjia kificho ya kusaidia masikini?
Wachungaji wanahofu mizigo isijeishia njiani hivyo hufukuzwa kwenye mzingo wa kanisa.
Tofauti na Waislam kuna siku maalum unaona watu wanakuja kugawiwa misosi, pesa, na sadaka mbalimbali
Tatizo ni nini?
No hayo tu.
Nimechagua hawa maana ndio wanavuguvugu kubwa la kuliishi neno. Sina uzoefu na RC au KKKT lakini makanisa ya kisabato na kilokole mengi nimeingia.
Tofauti na wale wakristo wa awali, Njia ya kuelekea hekaluni ilikuwa imejaa ombaomba. Hawa jamaa walikuwa wanamvizaga Yesu, mitume wanapoingia kuabudu angalau wapate chochote.
Siku hizi hii kitu haipo, tatizo ni nini
Uchoyo umezidi?
Wananjia kificho ya kusaidia masikini?
Wachungaji wanahofu mizigo isijeishia njiani hivyo hufukuzwa kwenye mzingo wa kanisa.
Tofauti na Waislam kuna siku maalum unaona watu wanakuja kugawiwa misosi, pesa, na sadaka mbalimbali
Tatizo ni nini?
No hayo tu.