BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
Wana wivu na Rwanda kutwa kuisema wanaona Rwanda yasonga mbele kwa kasi kubwa Air rwanda inapasua anga kila uchao wao wana nchi kuubwa na kila kitu lakini maisha yao ya hohe hahe.Proudly Rwandese
Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Duuuh! sasa hivi unamwita mbwa mtembea hovyo?, kweli?????......ushasahau mlivo shinda humu mkimpamba?Waliingia kipindi kileee Nchi inashikwa na Mbwa Mtembea Hovyo Kama anavyojiita mwenyewe?
Ndiyo nini sasa hii?, Comment ya hovyooooo..........Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Duuuh! sasa hivi unamwita mbwa mtembea hovyo?, kweli?????......ushasahau mlivo shinda humu mkimpamba?
Alafu anajiita mwenye akili kubwaUnafahamu mwanajeshi akitaka kuingia nchi ya ugenini/Nchi jirani anatakiwa afanye nini kisheria? Ukipata jibu urudi ku comment tena!
Nashukuru kwa kunielewa, JF Siku hizi kuna Vitoto vichanga kiakiliKusema Pohamba kama hampendi JK, HAPANA; humtendei haki! Simfahamu hanifahamu lakini ki-JF JF, namfahamu sana! Hana chuki hata 0% dhidi ya JK. Hapa huenda alipotoka tu au kughafirika na yote hayo ni ada ya mwanadamu!
Kweli kabisaCha maana kilichopo Rwanda ni kipi?! Watanzania na ufisadi wao wote wa kupenda vitu vya nje; sijawahi kusikia wakipeleka watoto shule/vyuo Rwanda, cjawahi kusikia wakienda kutibiwa Rwanda, cjawahi kuckia wakienda kufanya shopping Rwanda!!
What's so special in Rwanda?! Au ndo hiyo Rwandair? Ingekuwa shirika la ndege ni deal kiasi hicho basi Ethiopia Ingekuwa ndo largest economy in Africa!
Wewe ni mnafiki mwandamizi.Great thinker Uchwara!
Kajifunze Fasihi !
Umejuaje kuwa huyo ulom- quote ni chadema?Hivi mbona chadema mnafurahi nchi yetu ikikumbwa balaa? Juzi wakaja kuku na mafua ya ndege (worse than AIDS, mnapukutika kama nzige wakuopigwa xpel); nyie mkashibikia eti nchi rafiki; sasa hawa wanatuspy, nyie mko radhi kuwapa siri zetu kama ile ndege iliyokamatwa. Aibu!!
Wewe ndo uliye semaAlafu anajiita mwenye akili kubwa
How old are you?Wana wivu na Rwanda kutwa kuisema wanaona Rwanda yasonga mbele kwa kasi kubwa Air rwanda inapasua anga kila uchao wao wana nchi kuubwa na kila kitu lakini maisha yao ya hohe hahe.Proudly Rwandese
Wewe ni mnafiki mwandamizi.
Huyu mnae msema ni smart sana katika siasa na amefanya mazuri katika nchi hii kuliko manavo dhani sema tu jina lake la pili halipendezi sana angekua anaitwa George au Paulo tungekua na mjadala wa kumpa Utakatifu "saint" ukilinganusha na hari ilivyo kwa wtzn kwasasaWaliingia kipindi kileee Nchi inashikwa na Mbwa Mtembea Hovyo Kama anavyojiita mwenyewe?
Si Malaika, udhaifu wake lazima utajweHuyu mnaemsema ni smart sana katika siasa naamefanya mazuri katika nchi hii kuliko manavo dhani sema tu jina lake la pili halipendezi sana angekua anaitwa George au Paulo tungekua na mjadala wa kumpa Utakatifu "saint" ukilinganusha na hari ilivyo kwa wtzn kwasasa
Cha maana kilichopo Rwanda ni kipi?! Watanzania na ufisadi wao wote wa kupenda vitu vya nje; sijawahi kusikia wakipeleka watoto shule/vyuo Rwanda, cjawahi kusikia wakienda kutibiwa Rwanda, cjawahi kuckia wakienda kufanya shopping Rwanda!!
What's so special in Rwanda?! Au ndo hiyo Rwandair? Ingekuwa shirika la ndege ni deal kiasi hicho basi Ethiopia Ingekuwa ndo largest economy in Africa!
How old are you?
Kagame alikuepo Uganda ktk vita Vya kumuingiza Museveni ikulu, then akapambana hadi kua Rais Rwanda , anahusika ktk machafuko Kongo na sasa makanali wa Rwanda wako mahakamani kisutu (kama ni kweli) kwa kujifanya ni WA-TZ kutoka Amani Tanga. Watus
Kuna wanyarwanda wengi sana serikalini hata kwenye taasisi nyeti. Nenda pale Ubungo kwenye Hotel Kagame wanakutana mara kwa mara, labda km wameacha!!!! Waliwahi kushangilia kifo cha Mtikila nikahisi labda wanahusika.
Dawa ni kuwafanyia kitu mbaya hadi waione Tz km Guantanamo!