Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu kwa kutumia ukurasa wa Twitter ametuma salamu za rambirambi kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare.
Amesema "Kwa Masikitiko na mshtuko nimepokea taarifa ya kifo cha aliyekuwa Askofu na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God) na Mbunge wa Viti Maalum CCM Mhe. Dr. Gertrude P, Lwakatare kilichotokea leo April, 20, 2020".
Ameogezea na kusema "Namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Marehemu peponi na amjaalie Upepo wa Kisulisuli Amin."
Amesema "Kwa Masikitiko na mshtuko nimepokea taarifa ya kifo cha aliyekuwa Askofu na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God) na Mbunge wa Viti Maalum CCM Mhe. Dr. Gertrude P, Lwakatare kilichotokea leo April, 20, 2020".
Ameogezea na kusema "Namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Marehemu peponi na amjaalie Upepo wa Kisulisuli Amin."