balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,563
- 13,276
Unajua uchumi ni halisi ingawa wachumi wengi hujificha kwenye kichaka cha theory
Hivi kama wafanyakazi tukisema mshahara ni njiwa/kidichu na haukidhi hata mahitaji ya lazima sasa walitaka tuseme unatosha??
Kama mishahara haijaongezwa takribani past five years hivi tunawaonea hawa???
Waache siasa na matrilioni mawili wanayoyahitaji kila mwezi bila kustimulate biashara kwa kuongeza kipato kwa wafanyakazi tunafikaje??
Maana hata hizo nchi za uchumi wa kati wafanyakazi wa serikali vipato vyao sio kama hivi. Salary ireflect nasi huo ukati wa uchumi sasa
Maana majina ndio yanashamiri tu mara uchumi utasikia mchumi DARAJA la kwanza mara sijui nini waongeze mishahara na waajiri watu tuanze kulipa kodi hizo mpya za viwanja
Hivi kama wafanyakazi tukisema mshahara ni njiwa/kidichu na haukidhi hata mahitaji ya lazima sasa walitaka tuseme unatosha??
Kama mishahara haijaongezwa takribani past five years hivi tunawaonea hawa???
Waache siasa na matrilioni mawili wanayoyahitaji kila mwezi bila kustimulate biashara kwa kuongeza kipato kwa wafanyakazi tunafikaje??
Maana hata hizo nchi za uchumi wa kati wafanyakazi wa serikali vipato vyao sio kama hivi. Salary ireflect nasi huo ukati wa uchumi sasa
Maana majina ndio yanashamiri tu mara uchumi utasikia mchumi DARAJA la kwanza mara sijui nini waongeze mishahara na waajiri watu tuanze kulipa kodi hizo mpya za viwanja