PreGE2025 Makamu Mwenyekiti wa CUF Maftah Nachuma akihama chama na kujiunga ACT Wazalendo

PreGE2025 Makamu Mwenyekiti wa CUF Maftah Nachuma akihama chama na kujiunga ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini na Makamu Mwenyekiti wa chama cha CUF, Maftaha Nachuma amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Maftaha amekabidhiwa kadi ya ACT Wazalendo na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bara, Isihaka Mchinjita kwenye kongamano la kumpokea lililofanyika katika Ukumbi wa Kanisa la Pentekoste Mtwara tarehe 19 Juni 2025

cuf.png
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini na Makamu Mwenyekiti wa chama cha CUF, Maftaha Nachuma amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Maftaha amekabidhiwa kadi ya ACT Wazalendo na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bara, Isihaka Mchinjita kwenye kongamano la kumpokea lililofanyika katika Ukumbi wa Kanisa la Pentekoste Mtwara tarehe 19 Juni 2025

ACT wanaingia waislam tu sijui wanatuambia nini!
 
Back
Top Bottom