Alichosema hukumuelewa? mbona ni simle and clear? Kauli ya Heche sio ya BAVICHA huo ndio upandikizi?
Nashangaa sana kwa nini mizizi ya maafisadi inamtetea huyu Binti, Kwa mujibu wa Katiba ya Chadema.. Mwenyekiti wa CDM Taifa ndiyo msemaji mkuu wa Chama na kwa Upande wa Bavicha msemaji mkuu wa Bavicha ni mwenyekiti kwa sababu mjumbe yeyote anaweza kumpa maoni yake muda wowote na mwenyekiti akaona swala hili lina uzito akalitolea ufafanuzi... mfano ni swala la Nasari alipoteleza kule Arusha,,, Mbowe akatoa kauli kwa kufuta ile kauli ya Dogo Janja ma kutoa msimamo wa Chama alikaa kikao cha Halimashauri Kuu au cha wanacha gani kufanya vile? Mimi nafikiri huyu Binti na shibuda lao Mmoja tu au ana hofu fulani au na yeye ni miongoni mwa waropokaji ambao wanatakiwa watoke CDM na waende kwenye vile vyama vya waropokaji na si CDM.
Mimi namshangaa sana mtu ambaye anashabikia kauli ya Shibuda, Kama Shibuda anaitakia mema CDM atasemaje Hakuna Mtu ambaye anaweza kugomea na kushinda Nafasi ya Urais ndani ya CDM zaidi ya yeye? na Kampeni meneja lazima atoke CCM la sivyo hashindi?... Na kwa nini akaseme kwenye vikao vya CCM? Kama amefikia kusema yote aliyoyasema, je ni mangapi yanaendelea kisiri siri?.....
Anapokemewa mropokaji na mhujumu kama huyo wanajitokeza wehu wengine na kuanza kumtetea, embu huyo binti atoke kauli ya Bavicha, au alichokisema ndiyo kauli ya Bavicha?
Mimi nataka viongozi wa CDM waelewe hawa Vibaraka washughulikiwe mara mmoja na chama kisafishwe vizuri ... Next time tusi intertain hawa Vibaraka wa CCM fukuzeni mtu hata kama anaondoka na Mkoa mzima msijali hata kidogo kwani kwa hali ilivyo mtu mmoja hawezi kubadilisha maisha haya ya Mtanzania... Watu wana matumaini na CDM kwa maana ya Chama na Si mtu mmoja mmoja... Watanzania wanaelewa zaidi hata ya hao vibaraka kwa sasa zaidi ni hali yao ya maisha kubadilika na si kutoka kwa njia ya kugeuka kuwa Kupe au Mchwa kama huyu Binti wa Bavicha anavyofikiri...
Huyu Binti bado anaugua machungu ya Boy frend wake kukosa Umwenyeki kwa hiyo ana chuki binafsi na Heche..
NOTE: Heche ameungwa mkono na Wenyeviti wa Shinyanga, Arusha, Mwanza, Pwani etc....