hapo wanapiga pesa ndefu sanaBOT je?
hapo wanapiga pesa ndefu sanaBOT je?
Mil.11 kwa mwezi anatoka sawa na trafic wa pale kaweTravelport hapo kidampa wa chini messenger anaanza laki saba. Meneja anchezea 11 mil
Statoil kumbe nao watamu mkuu ? Huwa naona malori yao lakini sijawahi fatilia profile laoBG na Statoil wanalipa vizuri viwango vya Europe lakini HR wa kikenya ndio wametamalaki wanashusha maslahi taratibu
Vipi tuliosomea ualimu tunaweza pata?Yeah, ofisi ya Dar ina watu wachache kwa sababu ya mradi mdogo wa malaria. Ofisi kubwa ipo Mbeya makao makuu ambapo nyanda za juu kusini ndio ina mradi Mkubwa wa HIV/AIDS.
Ukijipanga vizuri,ukajiuza vizuri wakati wa interview wanalipa mpunga wa kutosha tuu, mid level posts up to 5m-7m.
kwanini msipateVipi tuliosomea ualimu tunaweza pata?
Nina degree ya uchumi napataje kazi hapo?Yeah, ofisi ya Dar ina watu wachache kwa sababu ya mradi mdogo wa malaria. Ofisi kubwa ipo Mbeya makao makuu ambapo nyanda za juu kusini ndio ina mradi Mkubwa wa HIV/AIDS.
Ukijipanga vizuri,ukajiuza vizuri wakati wa interview wanalipa mpunga wa kutosha tuu, mid level posts up to 5m-7m.
Daaaaaaaaaahh,,,kuna watu mnafaidi sana kwa kweli. But yote maisha.Ni sahihi kabisa! Mimi hapa napokea Kwa euro....
Wewe tu mwenyewe uavyojipanga....
Maisha tu kiongoziDaaaaaaaaaahh,,,kuna watu mnafaidi sana kwa kweli. But yote maisha.
MochualeView attachment 516692
Wote tunajua kuhusu makampuni au mashirika yanayolipa vizuri na kuwajali wafanyakazi wake kwa kiwango cha juu na cha kuridhisha. Makampuni ambayo kila mtu anawaza siku moja apate kazi katika makampuni au mashirika hayo kwa imani kwamba maisha yake yatakuwa mororo na ataweza hata kujiwekea malengo yake na kuyatimiza.
Je kwa hapa nchini ni makampuni au mashirika gani yenye sifa hizo?
Postal bank wanalipaje mkuupostal bank
Atajuaje wakat ni jobless,muda wote yupo jfWewe hujui hata moja?
MhhhhKuna jamaa mmoja alinitajia NSSF ndiyo namba moja kwa Mishahara mikubwa na marupurupu hapa nchini...
Mwenye data