mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikijaribu kuwafuatilia viongozi hawa wa CCM, Yusuph Makamba (Katibu) na Tambwe Hiza wa Kitengo cha Umbea. Nilichogundua ni kwamba wote wanafanana sana kwa kiasi kikubwa kwani wote ni:-
1. Wote ni wanafiki wakubwa
2. Wote hawana point ni waropokaji tu a.k.a Hamnazo ( Midomo yao huwa haina
ushirikiano na Akili zao wakati wanaongea)
3. Wote ni watu wa kujipendekeza tu kwa Mafisadi
4. .....
5. ....
Kwa tabia hizo chache na nyingine mnazozifahamu ni nani mkali zaidi wa mwenzie kwa pumba, unafiki, kuropoka, n.k ?
1. Wote ni wanafiki wakubwa
2. Wote hawana point ni waropokaji tu a.k.a Hamnazo ( Midomo yao huwa haina
ushirikiano na Akili zao wakati wanaongea)
3. Wote ni watu wa kujipendekeza tu kwa Mafisadi
4. .....
5. ....
Kwa tabia hizo chache na nyingine mnazozifahamu ni nani mkali zaidi wa mwenzie kwa pumba, unafiki, kuropoka, n.k ?