Hata mimi nashangaa sana. Kwanza manaibu hawaingii kwenye vikao. Hawana say yoyote na wizara. Leo anaongea kama vile yeye ndiye mtopu na coverage yake ni siasa tupu! Leo campuni yao ya simu (Rostam & makamba family) vodaphone wameshusha bei zao nadhani dada yake mwamvita makamba amesaidia ili ionekane kaka yake ameanza kuchapa kazi!
Huyu dogo ni kilaza wa mwisho safari yake ya kisiasa ndio imeishia hapo.Soon ataanza uropokaji kama baba yakeHata mimi nashangaa sana. Kwanza manaibu hawaingii kwenye vikao. Hawana say yoyote na wizara. Leo anaongea kama vile yeye ndiye mtopu na coverage yake ni siasa tupu! Leo campuni yao ya simu (Rostam & makamba family) vodaphone wameshusha bei zao nadhani dada yake mwamvita makamba amesaidia ili ionekane kaka yake ameanza kuchapa kazi!