Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Safi mnyika kinukishe!!!
mbona anajinukisha yeye mwenyewe na chama chake wala hana jipya zaidi ya kupiga kelele.
Safi mnyika kinukishe!!!
Kwa nini hutaki kuulizwa,au ndo hizo akili za kuambiwa?In fact nadhani hii thread badala ya kusomeka:
"Mnyika acha Unafiki, sote tumeshindwa Bungeni"
ilitakiwa kusomeka:
"Mnyika acha Unafiki, CHADEMA mmeshindwa Bungeni"
Kwa kweli katika hili CHADEMA wakubali walichemka kuwatetea wananchi; usiniulize kwa nini.
Malizia jina lako basi(mimi kuku),na kweli akili ya viumbe vyote iko kichwani,na kwa kuwa kichwa cha kuku ni kdogo bila shaka na akili yake ni ndogo.Na mwenye akili ndogo hawezi kuelewa akili kubwa inamaanisha nini.hakuna tofauti kati ya mnyika na wahuni wahuni wengine anaendesha siasa za kihuni za kudanganya watu na kuwahadaa watu sijaona cha maana kwake ila uongo ndiyo sili yake.
Hivi Mnafiki ni nani kati ya hawa wawili? Makamba ambaye yuko serekalini na hoja ililetwa bungeni na serekali na ililetwa baada ya kubarikiwa na baraza la mawaziri ambaye yeye ni mjumbe au Mnyika ambaye yeye ni mbunge wa upinzani ambaye mara zote huwa hawakubali hoja za serekali lakini kwa sababu ya uchache wao wanazimwa?
Hivi Januari Makamba mpaka lini utagundua kuwa wananchi wa Tanzania wana uwezo wa kuchambua jema na baya? Makamba huna haja ya kuandika hapa, kawadanganye watu wa Bumbuli ambao hawajui chochote kuhusu jinsi mambo yanavyokwenda, sio watu wa kwenye mtandao. Nawewe Zitto, usijifanye una hekima kuliko wenzako. You were supposed call them and talk to them, usijitafutie cheap popularity.
Viva Mnyika
Akili ndogo kuongoza akili kubwa matokeo yake ndo haya...hakuna tofauti kati ya mnyika na wahuni wahuni wengine anaendesha siasa za kihuni za kudanganya watu na kuwahadaa watu sijaona cha maana kwake ila uongo ndiyo sili yake.
Kwa nini hutaki kuulizwa,au ndo hizo akili za kuambiwa?
Wabunge wametumwa na wananchi kuwawakilisha bungeni,pale wanapozidiwa nguvu na wapinzani wao kwa ushabiki wa vyama,ni muhimu kurudi kwa wananchi waliowatuma.
Binafsi nawapongeza wabunge wa CDM maana hawakuanza leo kurudi kwa wananchi kuelezea waliyoyasimamia bungeni wakashindwa kwa sababu ya uchache wao. Ongera sana J.Mnyika ,raia wema tuko pamoja nanyi kwa sala na maombi,hakika mtashinda.
HAKI HUINUA TAIFA BALI DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOTE.
Kwa hiyo unamaanisha kuwa hiyo kodi ya laini ya simu ilipitisha na wabunge wa CCM...!! Hiyo ndio point ya msingi, kwa uelewa wangu wa bunge letu hata CDM wangepinga bado ingepita tu kwa nguvu ya wabunge wa CCm..!!
Mburura ni wewe unaeshikiwa akili na wenzako....na utaendelea kushikiwa akili hivyo huku mwenyewe ukijidhani kwamba ndo muelewa kumbe ni sakala tu...nyie midudu acheni umbururaaa wakati jamaa wanafanya uaramia wa ndiooo makamanda walikiwa msibani mbona mnajitoa akili mnajifanya hamjui kama wakati huo mliwatandika mabomu kule arusha?
Mnyika anapenda sifa za kizamani sana ndio maana alichemka chuo kijana mzima hana degree
big up zitto kabwe!nakukubali b'se huna akili za bavicha new generation ambao malumbano na matusi ndio jadi yao
Tozo hiyo ilipendekezwa na Bunge lenyewe kupitia kamati ya bajeti inayoongozwa na Mbunge wa Bariadi mashariki na aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya awamu ya tatu Mhe. Andrew Chenge. Na imeelezwa kwamba kamati hiyo ilipendekeza wananchi watozwe shs 1,450. Hivyo baada ya serikali kupokea mapendekezo hayo iliyachambua na kupunguza hadi shs 1,000 kwa line moja ya simu. Sasa suala la serikali kukusanya maoni ya wananchi litatoka wapi tena wakati suala lenyewe limependekezwa na wawakilishi au wasemaji wa wananchi. Wakulaumiwa zaidi ni hawa wabunge wetu (wasemaji kwa niaba ya wananchi). Hivyo huenda wabunge wa kamati hiyo walikusanya maoni ya wananchi ndio maana wakaja na mapendekezo hayo.
Wabunge watatu vijana wenye ari ya kusonga mbele kisasa. Wote watatu wakiwa na lengo moja la kuifuta kodi ya sim card.
Nadhani Mh. Makamba ndiye aliyeanza kumtupia Mh. Mnyika vijembe na hili ni kosa kubwa.
Ila Mh. Mnyika angetumia hekima katika hilo na si kuweka hadharani namba za mawaziri wawili bila idhini yao.
Na Mh. Zito angekuwa na dhamira ya dhati kuwarekebisha wenzie ange wa PM au kuwapigia simu na siyo kutafuta umaarufu juu ya malumbano yao kwa kutuonyesha kwamba yeye ana hekima zaidi yao.
Wote watatu naona wamekosea katika hili.
Mnyika anapenda sifa za kizamani sana ndio maana alichemka chuo kijana mzima hana degree