Hajafikisha umri wa kustaafu?
Jamani hii iwe treated kama tetesi hadi hapo itakothibitika kikamilifu kabisa.
Habari hizi za uhakika kiasi zimefika mezani kwangu kwa njia za panya.
Baada ya kuona kuwa Mzee Makamba atapata wakati mgumu kujieleza mbele ya wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu mkuu wa nchi ameshauriwa na wapenzi wa CCM kuwa mzee huyu apangwe ukuu wa mkoa ili akapumzike huko.
Katika hali ya kuonyesha kuwa watu hawa walikuwa wamejipanga wamependekeza kuwa Mhe. Makamba apewe mkoa wa Kilimanjaro ambao ni ngome ya CHADEMA ili apambane kuisambaratisha ngome hiyo.
Ni imani ya wapenda chama hao kuwa Makamba anaweza kabisa kuifuta CHADEMA mkoani Kilimanjaro.
Ninaishangaa hii ilivyokaa hovyo!!!!!!!!!!
Nasikia makamba kwa sasa anaugulia kwa mtt wake januari kukosa uwaziri,sasa kama atapelekwa kwenye ukuu wa mkoa anaweza kudondoka na kusababisha akapata nundu ya pili pale kwenye paji lake la uso.
Jamani hii iwe treated kama tetesi hadi hapo itakothibitika kikamilifu kabisa.
Habari hizi za uhakika kiasi zimefika mezani kwangu kwa njia za panya.
Baada ya kuona kuwa Mzee Makamba atapata wakati mgumu kujieleza mbele ya wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu mkuu wa nchi ameshauriwa na wapenzi wa CCM kuwa mzee huyu apangwe ukuu wa mkoa ili akapumzike huko.
Katika hali ya kuonyesha kuwa watu hawa walikuwa wamejipanga wamependekeza kuwa Mhe. Makamba apewe mkoa wa Kilimanjaro ambao ni ngome ya CHADEMA ili apambane kuisambaratisha ngome hiyo.
Ni imani ya wapenda chama hao kuwa Makamba anaweza kabisa kuifuta CHADEMA mkoani Kilimanjaro.
Ninaishangaa hii ilivyokaa hovyo!!!!!!!!!!
Jamani hii iwe treated kama tetesi hadi hapo itakothibitika kikamilifu kabisa.
Habari hizi za uhakika kiasi zimefika mezani kwangu kwa njia za panya.
Baada ya kuona kuwa Mzee Makamba atapata wakati mgumu kujieleza mbele ya wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu mkuu wa nchi ameshauriwa na wapenzi wa CCM kuwa mzee huyu apangwe ukuu wa mkoa ili akapumzike huko.
Katika hali ya kuonyesha kuwa watu hawa walikuwa wamejipanga wamependekeza kuwa Mhe. Makamba apewe mkoa wa Kilimanjaro ambao ni ngome ya CHADEMA ili apambane kuisambaratisha ngome hiyo.
Ni imani ya wapenda chama hao kuwa Makamba anaweza kabisa kuifuta CHADEMA mkoani Kilimanjaro.
Ninaishangaa hii ilivyokaa hovyo!!!!!!!!!!
Na ndio maana hao wa PWANI na Tabora wataendelea kuwa wa mwisho kwa kila jambo elimu, kijamii nk................ubongo hovyo.
He wont make it there....nimeishi KLM for three years kama public servant...So ninawajua wachaga kwa kiasi kikubwa sana...Any Makamba type guy wont make a day of living in Chaga Land.......