Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Jamani mmemsikia Makamba? eti wanachama wa CCM wanaotaka kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania waanze kuchukua Form za kugombea nafasi hiyo. Je ni sahihi wakati hata nusu ya matokeo ya ubunge na urais bado wakiyabanibania. Au sheria inasemaje?