WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
...nitahamia kwangu nikikua.
ila huu si mfano wa kutosheleza mkuu
Hhahah..kweli mfano nilioutoa hautoshelezi .. maana kweli utahamia kwako ukikua...
kwa nchi..labda uta stow away!
...nitahamia kwangu nikikua.
ila huu si mfano wa kutosheleza mkuu
Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
Mimi kwa kutokujua kwangu nililipokea kama lilivyo, yaani nilikubali kwamba Madam alishakuwa Waziri. Hilo ndo goli...hapo nilipobold nimekuwa curious kufehem ina maana gani??
ninatoa maoni tu wala sipo ktk kuwadunga magoli wanaJF wenzangu. nachangia kwa kuwa nakerwa na ukereketwa wangu juu ya nchi yangu. Naipenda sana ila muda mwingi nalazimishwa kuichukia kutokana na tabia MBAYA zsizo za kimaadili za viongozi.
BTW nashukuru kwa kukubali masahihisho yangu ya waraka wa awali. tusonge mbele tukate kiu ops tukate ishu
sina ndugu ila nachelea kwa mtu kusaka umaarufu kupitia real vita. ni kwamba aoneshe mpaka sasa amefichua nini zaidi ya kudandia hoja?unajua niliongea kwa hasira sana pale hata data muhimu zikawa zinaniponyoka
Msanii kwanini uwe na hasira rafiki yangu!!!!!!!!! una ndugu yeyote kati ya watuhumiwa wa ufisadi??? kama sio hivyo huyu mamam mbona anaongelea vitu vya msingi na vya kulenga maslahi ya taifa letu kwanini tuone kama mtego,sidhani kama hiyo ni mantiki.acha huyu mama aseme kwa ujasiri wote alionao kuliko hata wabunge wanaowakilisha watu wao ili nchi ifike mahali fulani pa mafisadi kuwa na hofu na mali za Taifa
hebu mkuu tujuze umuhimu wake jimboni.msanii,
acha kuimwonea huyu mama kilango, je unataka awe bubu kama akina mama ana abdalah/
si kweli kuwa aliwahi kuwa waziri katika serikali ya mkapa, ninachojua alipigania ubunge wakati fulani, nadhani jimbo la ubungo akatupwa chali na kura za maoni za ccm, ndipo akapewa ubunge wa kuteuliwa
ukitaka kujua umuhimu wa huyu mama nenda katika jimbo lake la same mashariki ukazungumze haya unayoandika hap
ahsante mkuu nimekusomaMimi kwa kutokujua kwangu nililipokea kama lilivyo, yaani nilikubali kwamba Madam alishakuwa Waziri. Hilo ndo goli.
Kwa namna ulivyojieleza, nimekuelewa.....ukereketwa juu ya nchi yako. Nakubaliana nawe kabisa - nchi sasa ni ya wachache. Maadili ya viongozi ni kama hayapo. Mwananchi wa kawaida amebaki kuwa ngazi ya kupandia ya mafisadi. Inauma sana, hasa ukiangalia jinsi hali ya maisha ya mTZ wa kawaida inavyozidi kuwa duni. Ndoto za 'maisha bora' zimezimika. Mimi binafsi sasa hivi sipendi hata kusikiliza hotuba za viongozi wetu, maana ni hadaa tupu kwa mwananchi. Nimekata tamaa (najua sitakiwi kufanya hivyo). Naona nisipindishe mada....endeleeni na mada ya 'Tarik Aziz'.
msanii,
maneno yako mazito, kwani umefika wakati wananchi wamuelewe vizuri anna kilango malecela. kwa kifupi anna alikuwa mhasibu wa shirika la ndege gulf air. waarabu wa gulf air wakamfukuza kazi kwasababu ya kuiba pesa za shirika. baada ya hapo akaanzisha biashara na kuingia kwenye siasa za umoja wa wanawake.
anna ana ugomvi wa miaka mingi sana. sitautaja ugomvi huo kwa kulinda heshima ya wananchi wa same mashariki. siasa anazofanya sasa hivi ni muendelezo wa ugomvi huo.
huyu mama anaporopoka na kuacha uchi wana ccm waliojificha siku nyingi anatusaidia wote pamoja na wamarekani.
japo hajawahi kuwa waziri,
ni mbunge machachari kwa kurupuka kwake hivyo hivyo.
anasaidia ila si mtu wa kutegemea kuja na kitu cha maana licha ya mabomu,
kwa kweli she is dedicated in her own capacity, hongera mama kwa kupewa zawadi, tuko na wewe all the way,
kwani hao ma intelectuals wanawake wako wapi? wanafanya tu kazi zao za kawaida walizoombea kazi, kwa vyeti vyao, they never think out of the box.
Go mama go!!!
Kamanda, hicho apo juu ni kichekesho.Sonara
Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Mkubwa huyu mama hajawahi kuwa Waziri enzi za Mkapa,hizi tuzo hutolewa kila mwaka nafikiri Bi Helen Bijo Kisimba ndio alikuwa wa kwanza kupata hiyo tuzo Amina Chifupa amefariki karibu miaka 3 so kwa mwaka 2008 Anne Kilango alistahili kubeba hiyo tuzoSonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
sonara
makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? Alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. Pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. Kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. Kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe tibaijuka au marehemu chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia umma?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa mkenge na huwa unaota pembezoni mwa njia. Chunga sana baada ya kuchunguza.
Haya ni vema yakakaa wazi ili kupata picha halisi ya Mama Anna na pengine kulinda heshima yake kama data zitakuwa za kupikwa kumchafua.msanii,
maneno yako mazito, kwani umefika wakati wananchi wamuelewe vizuri anna kilango malecela. kwa kifupi anna alikuwa mhasibu wa shirika la ndege gulf air. waarabu wa gulf air wakamfukuza kazi kwasababu ya kuiba pesa za shirika. baada ya hapo akaanzisha biashara na kuingia kwenye siasa za umoja wa wanawake.
anna ana ugomvi wa miaka mingi sana. sitautaja ugomvi huo kwa kulinda heshima ya wananchi wa same mashariki. siasa anazofanya sasa hivi ni muendelezo wa ugomvi huo.
Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.