anna kilango hajafanya jambo lolote la maana jimboni kwake. jimbo lake ndiyo la mwisho ktk elimu kwa mkoa wa kilimanjaro. uchaguzi ujao hawezi kupita labda akagombee kwa mumewe jimbo la mvumi. kuna wananchi wawili tayari wameombwa kugombea same mashariki. mmoja ni proffesor na mwingine ni mtumishi[sitataja cheo] wa muda mrefu serikalini. pia yuko mama daktari aliombwa lakini amekataa.
Mazee,
Mbona unatoa data nusu nusu, weka kitu watu wajadili sio kutoa mashambulizi ya binafsi. Hata kama mama alliba Gulf air sio mambo yanayoihusu nchi......