Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
''TV ya CCM'' TBCNi kweli kuwa Dr. Slaa ni tishio, lakini mbona hii habari inaonekana kama haijakamilika? Haisemi Makamba alikiri hivyo lini, wapi na ilikuwaje hadi akakiri. Hebu tupe habari kamili.