Inaelekea ana "maono" sana kwenye mambo ya mlo!lol!hahaaaah Makamba ndie mwanaccm mwenye akili kuliko woote ni role model wa wengi katika chama kile
![]()
Kutamka kuwa 'Watanzania waaache kulalamika na kufanya kazi' ni kuwadhalilisha. Je ina maana kuwa Watanzania ni wavivu? Ninaamini kuwa Watanzania ni wachapakazi mno na ndio maana wameweza kustahimili shida zote hizi zinazowakabili kwa miaka yote. Wamelea na kusomesha watoto wao na kujipatia riziki zao kila siku, wamejenga nyumba zao bila mikopo n.k bila msaada wowote.
Kuna siku nilikuwa nasafiri kwenye ndege kuelekea Ulaya, pembeni yangu alikaa Mmarekani. Katika mazungumzo yetu alibainisha kuwa ilikuwa ni safari yake ya kwanza kuja Tanzania. Nilipomuuliza ni kitu gani ambacho atakikumbuka kuhusu Tanzaniai, akasema kuwa kitu alichoona ni kuwa hajaona watu wanaofanya kazi sana kama Watanzania na wanafanya kazi hizo katika mazingira magumu.
Mtu anafanya kazi akiwa na malengo fulani. Kama yale malengo yake hayafanikiwi kutokana na juhudi za kazi zake, inabidi akae chini afikirie kwa nini hafanikiwi. Kuendelea kufanya kazi tu bila kutathmini matokeo ya kazi unayofanya si sahihi. Watanzania wanatathmini juhudi zao, kama wanaona hawayafikii malengo yao 'wanalalamika'. Katika hilo kulalamika ni sahihi. Ni mtumwa tu ndie asiyelalamika akifanyishwa kazi. Lakini hata akichapwa mjeledi, kilio chake cha maumivu ni kulalamika.
Haya ni maoni ya Mh H.Kigwangalla.Ndio wabunge waliochaguliwa
kujadili na kupanga mbinu za kunyanyua uchumi wa nchi.mawazo ndo haya. ....kweli tutafika.
hii ni matokeo ya elimu yetu, badala ya communication skills kufundisha namna ya kutoa taarifa katika jamii na kwa watu wengine inafundisha english language. sasa matokeo yake ni kama haya ya Dr. hamisi unajiropokea tu bila kujali madhara na uzito wa jambo. maanake ni nini kwamba media waendee kukomeshwa kwa kujibiwa ovyohahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!
ooh dear! this is what u could say mheshimiwa? On such a crucial matter? And u being a representative of people (in your constituency at least)?hahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!
Hivi kuna watu mmetumwa hapa JF kunishughulikia ama basi mnanichukia tu? Mbona hata hoja nyingine hazina maana mnaanza tu kunitukana...acheni hizo, fanyeni bidii kidogo ya kufikiri! Sasa mimi kusema nimefurahishwa na majibu ya kisiasa ya Mzee Makamba ni kosa? Kweli alifanya spinning kwenye maneno yake na alifanya vizuri
Nasema aliwakomesha si kwa nia mbaya, ni kwamba hakuwapa kile walichokitarajia, aliwakwepa...
Ntogwisangu ndg yangu kumbe wewe ni mtu wa MUCHS enzi zile, sasa matusi na kashfa zote unazonirushia ni za nini? Wewe si brother yangu kabisa, hauoni hata aibu unavyonishughulikia hapa jukwaani bila sababu ya msingi? Mimi sikuchukii wala sikumaind bali nakuhurumia na kukuombea upate uelewa...hivi haujawahi hata kuona ni jinsi gani nime-dedicate maisha yangu katika kuikoa fani yetu ya udaktari? Umenisikitisha sana kwa kweli! Kuwa fair, hata kama hutaki kunisifia (ambacho sikuombi ufanye) basi walau usinikashifu, maana mimi hata kama ningekujua nisingekukashfu kwa kuwa wewe ni ndg yangu. By the way, nilikuwaga siendi kuoga Lukuledi, nilikuwa naenda kuoga Kagera, nalala Pangani (kwa mchumba wangu - ambaye leo hii ni mke wangu na mama wa watoto wangu). Nilikuwa nahangaika tu na maisha wala hayo si mambo ya kushabikia kaka, ni umaskini tu wa kwangu binafsi na wa nchi yangu ndiyo maana nilikosa mahala pa kuishi nikalazimika kuishi chuoni kwenye chumba cha mchumba wangu!
Hivi kuna watu mmetumwa hapa JF kunishughulikia ama basi mnanichukia tu? Mbona hata hoja nyingine hazina maana mnaanza tu kunitukana...acheni hizo, fanyeni bidii kidogo ya kufikiri! Sasa mimi kusema nimefurahishwa na majibu ya kisiasa ya Mzee Makamba ni kosa? Kweli alifanya spinning kwenye maneno yake na alifanya vizuri
Nasema aliwakomesha si kwa nia mbaya, ni kwamba hakuwapa kile walichokitarajia, aliwakwepa...
Ntogwisangu ndg yangu kumbe wewe ni mtu wa MUCHS enzi zile, sasa matusi na kashfa zote unazonirushia ni za nini? Wewe si brother yangu kabisa, hauoni hata aibu unavyonishughulikia hapa jukwaani bila sababu ya msingi? Mimi sikuchukii wala sikumaind bali nakuhurumia na kukuombea upate uelewa...hivi haujawahi hata kuona ni jinsi gani nime-dedicate maisha yangu katika kuikoa fani yetu ya udaktari? Umenisikitisha sana kwa kweli! Kuwa fair, hata kama hutaki kunisifia (ambacho sikuombi ufanye) basi walau usinikashifu, maana mimi hata kama ningekujua nisingekukashfu kwa kuwa wewe ni ndg yangu. By the way, nilikuwaga siendi kuoga Lukuledi, nilikuwa naenda kuoga Kagera, nalala Pangani (kwa mchumba wangu - ambaye leo hii ni mke wangu na mama wa watoto wangu). Nilikuwa nahangaika tu na maisha wala hayo si mambo ya kushabikia kaka, ni umaskini tu wa kwangu binafsi na wa nchi yangu ndiyo maana nilikosa mahala pa kuishi nikalazimika kuishi chuoni kwenye chumba cha mchumba wangu!
Hio signature yako imenikumbusha Mheshimiwa mmoja kwenye kitabu fulani hivi....ngoja waje watakusaidia kutaja hivyo vyeo...........
Kumbe chama huwa kinakuja na mbinu za kushinda na sio sera za kulivusha taifa katika mabalaa! Hii kali, na apo ayo manano yametoka kwa aliyekuwa mtendaji mkuu wa chama. Mungu ibariki Tanzania.
hahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!