Makamba aibuka

Makamba aibuka

bloomberg-romney-scorned.jpg


Spin master = flip flopper = Ndumilakuwili = asiye msimamo. Ona wenzetu wanavyoporomosha scorn huko.

Sisi ndio tunasifia?
 
Mimi nadhani kulikuwa na lugha gongana hapo kwa Kigwangala kumuita Makamba "spinning pro" :lol::lol:

Kwa sababu kwa tunaojua, kuitwa spin doctor, spinner, au "spinning pro" kama alivyosema mheshimiwa Kigwangala is hardly a good thing.
 
Wanangu, kumbe Makamba ni sawa na Kingunge, mtu mzima hovyo. Kwanini asitulie akatubia dhambi zake kwa maovu aliyowafanyia watanzania. Anapowalaumu watanzania anasahau kuwa naye ni mtanzania. Au ni yale yale kuwa roho yake iko kwao Burundi na mwili Tanzania? Makamba, umestaafu. Mzee mwenzangu kawalee wajukuu zako hasa huyo wa binti yako Mwamvita ambaye hata hivyo baba yake hajulikani. Kikwete atalaumiwa kwa vile ndiye aliahidi maisha bora kwa wote lakini yakaishia kuwa maisha bora kwa nyumba yake na wapambe na waramba viatu wake. Watanzania ni wachapa kazi ila
 
hahaaaah Makamba ndie mwanaccm mwenye akili kuliko woote ni role model wa wengi katika chama kile

166649_193157790700856_100000199094899_825364_4376743_n.jpg
Inaelekea ana "maono" sana kwenye mambo ya mlo!lol!
Maana huo ubwabwa hapo kulia siyo kwamba anaupita, ila anapanga strategy ya namna ya kumalizia ngwe kwa kutizama mbele, laiti vision hiyo ingekuwa kwenye uongozi wa Taifa, leo hii asingetapika haya...
 
Kutamka kuwa 'Watanzania waaache kulalamika na kufanya kazi' ni kuwadhalilisha. Je ina maana kuwa Watanzania ni wavivu? Ninaamini kuwa Watanzania ni wachapakazi mno na ndio maana wameweza kustahimili shida zote hizi zinazowakabili kwa miaka yote. Wamelea na kusomesha watoto wao na kujipatia riziki zao kila siku, wamejenga nyumba zao bila mikopo n.k bila msaada wowote.

Kuna siku nilikuwa nasafiri kwenye ndege kuelekea Ulaya, pembeni yangu alikaa Mmarekani. Katika mazungumzo yetu alibainisha kuwa ilikuwa ni safari yake ya kwanza kuja Tanzania. Nilipomuuliza ni kitu gani ambacho atakikumbuka kuhusu Tanzaniai, akasema kuwa kitu alichoona ni kuwa hajaona watu wanaofanya kazi sana kama Watanzania na wanafanya kazi hizo katika mazingira magumu.

Mtu anafanya kazi akiwa na malengo fulani. Kama yale malengo yake hayafanikiwi kutokana na juhudi za kazi zake, inabidi akae chini afikirie kwa nini hafanikiwi. Kuendelea kufanya kazi tu bila kutathmini matokeo ya kazi unayofanya si sahihi. Watanzania wanatathmini juhudi zao, kama wanaona hawayafikii malengo yao 'wanalalamika'. Katika hilo kulalamika ni sahihi. Ni mtumwa tu ndie asiyelalamika akifanyishwa kazi. Lakini hata akichapwa mjeledi, kilio chake cha maumivu ni kulalamika.

Mkuu nakubaliana na wewe, watanzania ni wachapa kazi sana, wanavuja jasho sana lakini tatizo ni kuwa jasho lao linaliwa na wanasiasa. Ndio maana kila mtu anajitahidi kuwa mbunge au anatafuta urais kwa udi na uvumba. Kama tungekuwa na watu wanaoweza kuwapigania watanzania wale jasho lao, au kuwaongoza na kuwaelekeza namna ya kutumia jasho lao maisha ya watanzania yangekuwa bora kuliko yalivyo sasa.
 
Makamba anazungumzia experience yake ya wapi?Huko Tanga?

Kama ndo kuibuka huku kaibuka kizembe kabisa.
 
Haya ni maoni ya Mh H.Kigwangalla.Ndio wabunge waliochaguliwa
kujadili na kupanga mbinu za kunyanyua uchumi wa nchi.mawazo ndo haya. ....kweli tutafika.

Kigwangalla sio chagua la wanaigunga amewekwa pale; kauli zake zinajionesha wazi yupo kuwatumikia waliomuweka

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
hahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!
hii ni matokeo ya elimu yetu, badala ya communication skills kufundisha namna ya kutoa taarifa katika jamii na kwa watu wengine inafundisha english language. sasa matokeo yake ni kama haya ya Dr. hamisi unajiropokea tu bila kujali madhara na uzito wa jambo. maanake ni nini kwamba media waendee kukomeshwa kwa kujibiwa ovyo
 
Always **** will produce craps. Huyu mzee amewahi kuongea jambo? Nina wasiwasi hata majirani hawatanufaika na uzee wake.
 
Acha wafu wawazike wafu wenzao...no more comment!
 
hahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!
ooh dear! this is what u could say mheshimiwa? On such a crucial matter? And u being a representative of people (in your constituency at least)?
Sorry!
 
Hivi kuna watu mmetumwa hapa JF kunishughulikia ama basi mnanichukia tu? Mbona hata hoja nyingine hazina maana mnaanza tu kunitukana...acheni hizo, fanyeni bidii kidogo ya kufikiri! Sasa mimi kusema nimefurahishwa na majibu ya kisiasa ya Mzee Makamba ni kosa? Kweli alifanya spinning kwenye maneno yake na alifanya vizuri

Nasema aliwakomesha si kwa nia mbaya, ni kwamba hakuwapa kile walichokitarajia, aliwakwepa...

Ntogwisangu ndg yangu kumbe wewe ni mtu wa MUCHS enzi zile, sasa matusi na kashfa zote unazonirushia ni za nini? Wewe si brother yangu kabisa, hauoni hata aibu unavyonishughulikia hapa jukwaani bila sababu ya msingi? Mimi sikuchukii wala sikumaind bali nakuhurumia na kukuombea upate uelewa...hivi haujawahi hata kuona ni jinsi gani nime-dedicate maisha yangu katika kuikoa fani yetu ya udaktari? Umenisikitisha sana kwa kweli! Kuwa fair, hata kama hutaki kunisifia (ambacho sikuombi ufanye) basi walau usinikashifu, maana mimi hata kama ningekujua nisingekukashfu kwa kuwa wewe ni ndg yangu. By the way, nilikuwaga siendi kuoga Lukuledi, nilikuwa naenda kuoga Kagera, nalala Pangani (kwa mchumba wangu - ambaye leo hii ni mke wangu na mama wa watoto wangu). Nilikuwa nahangaika tu na maisha wala hayo si mambo ya kushabikia kaka, ni umaskini tu wa kwangu binafsi na wa nchi yangu ndiyo maana nilikosa mahala pa kuishi nikalazimika kuishi chuoni kwenye chumba cha mchumba wangu!

Kumbuka kidogo tu maneno ya Mwl J.K. Nyerere "mtu unapopewa kazi ya kuongoza watu lazima ujiheshimu,huwezi kupewa hiyo kazi halafu unafanya mambo yako kihunihuni".
 
fikira na busara za mtu mara nyingi huwa zinapimika kwa umri ....lakini kwa huyu mzee Makamba naona hafai hata kushauri wajukuu ....
 
Mimi naona mnapoteza muda kumuongelea Makamba utadhani hamjui kwani mlitegemea angesema nini cha maana,

Ndgu yangu Khamis mwanzoni nilikuwa ninamkubali sana lakini nimekuja kugundua ni mtu hovyo kabisa na analollisema siku zote si analomaanisha ni very mnafki sana huyo.
 
Hivi kuna watu mmetumwa hapa JF kunishughulikia ama basi mnanichukia tu? Mbona hata hoja nyingine hazina maana mnaanza tu kunitukana...acheni hizo, fanyeni bidii kidogo ya kufikiri! Sasa mimi kusema nimefurahishwa na majibu ya kisiasa ya Mzee Makamba ni kosa? Kweli alifanya spinning kwenye maneno yake na alifanya vizuri

Nasema aliwakomesha si kwa nia mbaya, ni kwamba hakuwapa kile walichokitarajia, aliwakwepa...

Ntogwisangu ndg yangu kumbe wewe ni mtu wa MUCHS enzi zile, sasa matusi na kashfa zote unazonirushia ni za nini? Wewe si brother yangu kabisa, hauoni hata aibu unavyonishughulikia hapa jukwaani bila sababu ya msingi? Mimi sikuchukii wala sikumaind bali nakuhurumia na kukuombea upate uelewa...hivi haujawahi hata kuona ni jinsi gani nime-dedicate maisha yangu katika kuikoa fani yetu ya udaktari? Umenisikitisha sana kwa kweli! Kuwa fair, hata kama hutaki kunisifia (ambacho sikuombi ufanye) basi walau usinikashifu, maana mimi hata kama ningekujua nisingekukashfu kwa kuwa wewe ni ndg yangu. By the way, nilikuwaga siendi kuoga Lukuledi, nilikuwa naenda kuoga Kagera, nalala Pangani (kwa mchumba wangu - ambaye leo hii ni mke wangu na mama wa watoto wangu). Nilikuwa nahangaika tu na maisha wala hayo si mambo ya kushabikia kaka, ni umaskini tu wa kwangu binafsi na wa nchi yangu ndiyo maana nilikosa mahala pa kuishi nikalazimika kuishi chuoni kwenye chumba cha mchumba wangu!

Needless to go to such personal detail sir for sure! And buys no sympathy for sure! Responsibility, accountability and delivery on the economy and people's welfare (uchumi na ustawi wa jamii) are basic yet critical duties of any responsible government! Si mambo ya propaganda za kisiasa kuahidi ovyo and then 'simply walk away in simple irresponsible comments like the ones being made today'! So it is a pity to see even the educated like you muheshimiwa cherishing that!

Ku wapi kuwajibika-kwa umma na kwa taifa? U wapi uzalendo wa kweli?
Ni aibu kubwa viongozi kuwa wazuri wa kuzungusha tu maneno bila kuwajibika! Badala ya kuyashabihikia haya tuone aibu na kuyakemea!
For the real good of our country!

So muheshimiwa, your comment was very disappointing for sure!

Given.
 
Hio signature yako imenikumbusha Mheshimiwa mmoja kwenye kitabu fulani hivi....ngoja waje watakusaidia kutaja hivyo vyeo...........

Si ni aina ile ile ya swagger....Idd Amin naye angekuwa member wa JF lazima signature yake ingekuwa His Excellency,Field marshal,mojor General,Conqueror Of British Empire,Alhaji,Dr Idd Amin Professor of Geography.......!
 
Kumbe chama huwa kinakuja na mbinu za kushinda na sio sera za kulivusha taifa katika mabalaa! Hii kali, na apo ayo manano yametoka kwa aliyekuwa mtendaji mkuu wa chama. Mungu ibariki Tanzania.

Sasa mawazo haya ndo yanaliongoza taifa
 
hahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!

Na wewe rudi kwenu ukaanze kuhangaikia watu wa Nzega, Nimepita njiani mashamba yote yamekauka na majani ya mahindi ukitia kiberiti inabidi uite fire! wewe umekalia kubwabwaja kwenye mtandao watu wako wanateseka bila Mbunge wao, au umelogwa na Bashe ili 2015 akupige chini kirahisi? anyway kwa vile sio kwenu basi poa mshikaji waache wanyamwezi waipatepate kwani walikula pesa zako wakati wa uchaguzi
 
ina maana yale maahadi yooote aliyo ahidi mheshimiwa ni changa la macho, kumbe alidanganya iliakae kule magogoni aendelee kutudanganya
****
 
Back
Top Bottom