Makamba aibuka

Makamba aibuka

wewe naye muda wako unakuja!!!!!!Hamis Andrea kuwa makini!!!tunaokujua tunajua kabisa muda wako unakuja!!!!!!!utalia tu!!!maneno gani hayo bwana andrea!!!!hayo uneongea wakati ule !!!unalala PANGANI,UNAOGA LUKUREDI!

Watanzania bana full of intimidations and all that; hivi kwa ni nini huwa tunakuwa wepesi kuweka hoja pembeni na kuattack mtu hili jukwaa bana linatumiwa tofauti kabisa manake Siasa ni kuvumiliana imagine unamwambia mtu wakati wake unakuja sasa we unazungumzia wakati unakuja ilhali yeye ameshakuwa?? Kwani yeye kasema atakaa hapo maisha yake?? Embu tuwe strict kwenye hoja bana. Niwatake radhi wanajamvi manake na mimi imenipasa nitoke nje ya mada kwa ajili ya kupeana ushauri....
 
Watanzania bana full of intimidations and all that; hivi kwa ni nini huwa tunakuwa wepesi kuweka hoja pembeni na kuattack mtu hili jukwaa bana linatumiwa tofauti kabisa manake Siasa ni kuvumiliana imagine unamwambia mtu wakati wake unakuja sasa we unazungumzia wakati unakuja ilhali yeye ameshakuwa?? Kwani yeye kasema atakaa hapo maisha yake?? Embu tuwe strict kwenye hoja bana. Niwatake radhi wanajamvi manake na mimi imenipasa nitoke nje ya mada kwa ajili ya kupeana ushauri....

hoja ipi?alichokiongea kina mashiko?ndo maana baada ya kumwambia hakina mashiko!nami nikamshauri!!!au ushari wangu ndo tatizo kwako?kama ni hivyo basi cku yaja mtajuta kuwajua watanzania!!!!
 
The most hopeless , stupid and corrupt secretary general any political party has ever had!!Only Kikwete could make such a choice.
 
hahahahhahhaaaa the spinning pro., aliwakomesha kweli hao waandishi wa habari!

Haya ni maoni ya Mh H.Kigwangalla.Ndio wabunge waliochaguliwa
kujadili na kupanga mbinu za kunyanyua uchumi wa nchi.mawazo ndo haya. ....kweli tutafika.
 
Makamba, a historical bogus ever...to run a political party!
 
Nimezi'miss sana pumba zake,maana mzee kwa pumba ni kiboko!pepon kuna kazi gani tena!yeye amejuaje?

haka kazee (neno baya) hawa si ndio wamekula pesa zote alizoacha ben hazina.leo mwanae anamiliki kasri.je ni mshara tu?au anaongeza na (neno baya).kweli huyu mzee wa pumba.
 
kwa hiyo maisha bora kwa kila mtanzania zilikua mbinu za kisiasa dah hii kali kuliko.!!!!!!!!
 
Aliwahi kusema hivi pia:..usimsifie nyani kwa uzee wake bali msifie kwa uhodari wake wa kukwepa mishare....kwanini ning'atuke peke yangu?...
 
Mzee huy anachekesha au niwakusikitisha kushindwa kutimiza malengo yaliokusudiwa kisiasa ni sawa sawa na kushindwa kujibu maswali kwenye mitihani wala sio kwamba hakuna majibu.
 
Inawezekana hata yeye hajui maana yake,siku hizi tuna madocta wengi wa vyeti.

Nilitaka kujua kama ndiyo fashion mpya au la.....

Enzi zetu tulikuwa tunaandika hivi,

Dr. MMTechnician au

MM Technician, MD, MPH, MBA, PhD!!!

Huu mtindo wa kuandika vyote yawezekana ni mpya.....!!!!
 
Unategemea huyu babu atasema nini tofauti na hicho! yeye ni mmoja wa ma-engineer wa hii hali ngumu tuliyonayo sasa!!
ila naweza kumuunga mkono huyu mzee japokuwa tuna matatizo ya uongozi ni kweli viongozi wetu wameishiwa mawazo na maarifa ila sisi tufanye kazi kwa bidii basi tuachane na malalamiko hayo?maana hayasaidii kitu,watu wanakaa vijiweni hiyo hali nzuri itakujaje?
 
Haya ni maoni ya Mh H.Kigwangalla.Ndio wabunge waliochaguliwa
kujadili na kupanga mbinu za kunyanyua uchumi wa nchi.mawazo ndo haya. ....kweli tutafika.

Asemeje sasa wakati huyu huyu Mzee ndio alimsaidia kummaliza Bashe na kumsaidia ''Saidi Bagaile'' hii ni according to Bashe!!!
 
Muda huo bwana manyavu bora hata angeu2mia kula,kunya na kujpaka kulko kuibuka na speech za dhihaka namna híi.hongera manyavu sio makamba tena.
 
Kama ndio hivyo kwanini tunapoteza fedha kufanya uchaguzi wa viongozi, kwa nini tuwe na viongozi wakati inatakiwa tujitafutie wenyewe!!?

hapo ndo hata mimi panaponipasua kichwa.hizi chaguzi zinazotugharimu matrioni za nini sasa?.
 
Vilevile amewataka waache kumlalamikia Rais J.M.Kikwete kwamba kashindwa kuyafanya maisha yao kuwa bora,kwani hilo si jukumu la rais Kikwete bali ni jukumu la kila mwananchi kunyanyua maisha yake bila kuitegemea serikali au Rais J.M.Kikwete.

Sawa tumesikia. Tufanye kazi kwa bidii kuinua maisha yetu kama kina Mwammy Makamba sijui, sivyo?
 
Back
Top Bottom