Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
wewe naye muda wako unakuja!!!!!!Hamis Andrea kuwa makini!!!tunaokujua tunajua kabisa muda wako unakuja!!!!!!!utalia tu!!!maneno gani hayo bwana andrea!!!!hayo uneongea wakati ule !!!unalala PANGANI,UNAOGA LUKUREDI!
Watanzania bana full of intimidations and all that; hivi kwa ni nini huwa tunakuwa wepesi kuweka hoja pembeni na kuattack mtu hili jukwaa bana linatumiwa tofauti kabisa manake Siasa ni kuvumiliana imagine unamwambia mtu wakati wake unakuja sasa we unazungumzia wakati unakuja ilhali yeye ameshakuwa?? Kwani yeye kasema atakaa hapo maisha yake?? Embu tuwe strict kwenye hoja bana. Niwatake radhi wanajamvi manake na mimi imenipasa nitoke nje ya mada kwa ajili ya kupeana ushauri....