ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Ushauri wenu kaeni nao. Mlishindwaje kumsamehe Membe.Umeongea jambo la mhimu sana na unatumia akili nyingi sana, niwakumbushe tu hawa chadema wakijidanganya kuwafukuza jamii haitakaa iwaamini tena, hapo jamii itaanza kuyaamini yale maneno yaliyo semwa na Lijua likali na wenzake, pia watakosa uwanja wa kusikika ndani ya miaka 5 hivyo watakua na wakati mgumu sana, maana huenda wakasahaliuka masikioni mwa watu. Niushauri tu wawaache kabisa hao wakina mama walitumikie taifa.