Mungu wetu sio mwanadamu lazma waumbuke tuuHakuna movie iliyowahi pangwa awamu hii ikafanikiwa, tatizo producer ndie director huyohuyo cameraman wasitegemee kutuuzia matango pori...
Amekosea, alitaka kusema Dar na Iringa. Sasa katika yote umeona hilo kuwa ndio la maana zaidi katika thread Mkuu?Umeandika wewe au EATV wewe ukakopi na kupest
Wewe ndo umechanganya habari kichwa cha habari unasema polisi wa DODOMA &DAR Kwenye habari unatuletea iringa dar sasa wapi na wapi? Wewe unataka kuufanganya ummaTeh
"Jana tarehe 7 mwezi wa tatu majira ya saa moja Abdul Nondo alifika katika kituo cha polisi Mafinga wilaya ya Mufindi na kuelezea kuwa ametekwa na watu wasiofahamika, jeshi la polisi mkoa wa Iringa limefungua jalada la uchunguzi ili kubaini ukweli kama alikuwa ametekwa na kama kweli alikuwa ametekwa tunaahidi kwamba sisi jeshi la polisi tukiwapata watuhumiwa sheria itachukua mkondo wake" alisema kamanda Bwire
"Mnamo tarehe 7 Machi mwaka huu jeshi la polisi kanda Malaamu ya Dar es Salaam lililetewa taarifa kutoka polisi mkoa wa Iringa kwamba mwanafunzi huyo aliyekuwa amedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana alipatikana mkoani humo wilaya ya Mafinga akiwa na afya njema na mwenye kujitambua akiendelea na shughuli zake na wala hakuripoti tukio lolote kabla ya kukamatwa ili kuthibitisha kile kilichokuwa kikisemwa ametekwa na watu wasiojulikana. Hakuripoti mahali popote si kwa Mwenyekiti wa Mtaa, si kwa Afisa Mtendaji wa Kata, wala kituo chochote cha polisi mkoani Iringa bali alikamatwa akiwa Mafinga akiendelea na shughuli zake" alisisitiza Mambosasa
Mjadala usio na tija wakati unahusu maisha ya mtu yanayochezewa?Kwa hiyo unataka kusema nini???!!! Huyu Nonda sijui Nondo au nani sijui siyo issue tena....Issue nzima ni ya kitoto, kuanzia wote wanaoshabikia kinachoitwa kutekwa na ambacho kimekanushwa na hata sisi wenyewe tunaoendeleza mjadala usio na tija...