mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,897
- 106,177
Hawampi nafasi hapo ndy shidaLabda tungemsikia na nondo akieleza ndio tutajua nani mkweli
Ova
Hawampi nafasi hapo ndy shidaLabda tungemsikia na nondo akieleza ndio tutajua nani mkweli
Hii issue ya huyu dogo inaniuma sanaa na kwa kiasi kikubwa inadhihirisha jinsi vyombo vyetu vya usalama vinakosa uhuru wa kufanya mambo yake vyenyewe ni dhahiri shairi kama wanapoke amri kutoka mamlaka zilizo juu yao, kama wanaharakati wa kutete haki hawataingilia kati dogo anaweza akazushiwa mambo mengi amabayo yanaweza yakamfanya ashindwe kutimiza ndoto zake za masomo.Hili jambo lina njama Kali sana ambayo nadhani Mwigulu na Makonda wanahusika. Mbona hawataki kijana aonane na wanasheria wake kama sheria inavyotaka?
Na kakamatiwa Iringa kwa nini wamlete Dar?
Kweli kwn uwez kuwa mkweli bila uthibitisho..Ukiwa muongo angalia mambo mawili....
1. Uwe na kumbukumbu
2. Usimdanganye muongo mwenzio
Hahahahhahaaa pendekezo litazingatiwa Looh sio kwa mkorogo huuPamoja na Nondo, hao makamanda wa polisi kuna mmoja wao anatakiwa kuunganishwa na Nondo kwenye kesi ya kutoa taarifa za uzushi. Napendekeza Mambosasa!
Unafaham mpaka sasa Nondo, Kamanda polisi Iringa na Kamanda wa polisi Dar wote ni washukiwa wa kutoa taarifa za uongo. Tukienda mbali, na Mwigulu anaingia!Hahahahhahaaa pendekezo litazingatiwa Looh sio kwa mkorogo huu
Huyu anatakiwa awe mfano kwa hao wanaojiteka