Makamanda mbona hamsomeki?

Nothing new hapo, Nyalandu alikuja Chadema kwa mapenzi yake na ameondoka kwa mapenzi yake, hakuna kesi, zaidi yeye ndio nimemuona mshamba kwa zile pumba alizoongea, ngoja aje dikteta mwingine huko CCM tuone atakimbilia wapi.
Aweza kuja cdm na atapokelewa vizuri sana. Ndo siasa za Tz.
 
Watapata tabu sana!

Mpaka mama atoke watakuwa wamepauka kama ndoo za kuogea za uswahilini


Kibaya zaidi kwao akitoka mama atamrithisha mwanademokrasia mwenzake
Sasa chadema wataenda ikulu lini?

Maana hiyo ndio point muhimu
 
Vipi Nyarandu atakuwa kanunuliwa ee?

Nyalandu hana sababu ya kubaki cdm maana huko ccm alimkimbia dhalimu, na sasa dhalimu yuko motoni. Ifahamike Nyalandu mwenyewe anajua hana mvuto huko cdm, na anajua akirejea ccm ana nafasi ya kuendelea na ufisadi wake maana huko ndio nyumbani.
 
Ili Mama yuko vizuri.
Ile siku watu wameambiwa wanademka.

Wacha waanze kucheza mle ndani.
Bila shaka hata maana ya kudemka waliipata siku ya pili.

Mwingine katika TV alisema sasa tumefurahi zaidi kuthibitisha furaha japo ilikuwepo ilikuwa ya kiwango cha chini.

Ni baraka iliyoje kuwa mwananchi wa JMT.
 
Kama Hana mvuto ilikuwaje akashinda uenyekiti Kanda ya Kati?
Kamanda kubali tu kuwa mmepigwa d......le
Mvuto hana, ila hela za kuhonga wajumbe huko kanda ya kati alikuwa nazo. Fuatilia alipokuwa anataka kupata sign za kumdhamini agombee urais kwa tiketi ya cdm alikutana na nini.
 
Kikwetu hawa tunawaita Ng'ombe waliye katika mikia, Baba alisemaga Ng'ombe akitoroka zizini akaenda zurura akirudi zizini tunamkata mkia ili wenzake wajue kuwa alitorokaga
 
Niliisikia hii.

Huyu Mama ana maneno fulani ya taarabu za mipasho sana tu, ila anajua kujiweka kama mtaratibu kwa siasa za bongo on balance akilinganishwa na mtu mwenye maneno ya kunya kama Jiwe anaonekana huyu mama kama Mtakatifu fulani.
Welp! Check this out 🤣

Na kakuwekea na mkono kiunoni kabisa!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…