Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,139
- 136,962
- Thread starter
-
- #61
Pole kwa maumivu! Yakizidi meza panado.Sasa bwashee ni nani alieumia nyalandu kusepa? Au leo umeona uandike andike tu na wewe uonekane upo? Sasa nyalanfu alikuwa ni nani hasa pale chadema kiasi kwamba wateseke? Wamefukuzwa kina Mdee na wenzie hapakuwa na mstuko sembuse Nyalandu? Hebu leteni topic nyingine maana hii imekuwa ya kitoto sana
Hili neno la chadema kufa lalisikiaga tangu 2015 ila cha kushangaza shujaa kafa kaiacha chadema.chadema kwisha habari yao viongozi wamekimbia nchi waliobaki wanabaki kubweka tu na kina mdee hawana kazi za kufanya badala ya kuimarisha chama wao kazi ni kina mdee kila siku uchaguzi ukifika mtasema mmeibiwa kura wakati hamzitafuti sasahivi
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, leo unaiponda CCM hazipita hata siku 3?Hali ni tete Mnyika ametoka ofisini na mizigo yake yote!
Nilikuwa nakuonaga smart kumbe ni takataka namna hii?
Huyo nyumbu hata huwa simwelewi kabisa!
Sijui ni mwehu mwenye smatifoni yule jamaa…
JJ Mnyika na Salum Mwalimu wametua Dodoma na Atcl muda huu!Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, leo unaiponda CCM hazipita hata siku 3?
Nilikuwa nakuonaga smart kumbe ni takataka namna hii?
Huyo nyumbu hata huwa simwelewi kabisa!
Sijui ni mwehu mwenye smatifoni yule jamaa…
Mbona Lissu kasema furaha za kumfurahia Samia ni premature and this could very well be old wine in an old bottle, not even a new bottle?Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.
Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.
Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.
Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.
Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.
Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.
Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?
Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?
Mapovu ya nini sasa?
Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?
Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..
Au niwaage kwa People’s……
Teh teh teh 🤣🤣🤣
Mkuu hebu tuweke vyama pembeni tujadiri hoja ya mleta Uzi.
Ndiyo, Lissu kweli kasema hivyo.Mbona Lissu kasema furaha za kumfurahia Samia ni premature and this could very well be old wine in an old bottle, not even a new bottle?
Katika hao wote Lissu ana credibility kama mpinzani. Tatizo lake yupo too emotional halafu ni boot licker wa mabeberu.Mimi sio kamanda
Ila
Mbowe
Lissu
Lowasa
Shibuda
Sumaye
Sikuwahi kuamini kuwa huwa ni wapinzani wa CCM
Mtatuvunja mbavu bhana,HAHAHA KESHO WATAAMKA NA MATUSI KWA MAMA WA TAIFA. KAWAPIGA UTOSINI, HUYO NDIYO MAMA BHANA ANAPIGA MIGUU YOTE, KAWAAHIDI WENGI WANAKUJA. NITACHEKAJE MIE, NDIYO MAANA NAIPENDA CCM SABABU INAJUA KUCHUKUA USHINDI KWA WAKATI MUAFAKA. KARIBUNI KWA MAZUNGUMZO YA MUAFAKA WA SIASA SOON, MUALIKO UTAPELEKWA KWA SHIBUDA HALAFU SHIBUDA ATAWAALIKA NYIE.
CCM JABARI LA SIASA AFRIKA. MKITAKA KATIBA MPYA TUTAWAALIKA KWENYE MCHAKATO
Mfupa wa nyama ya ng'ombe umekwama Kooni.Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.
Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.
Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.
Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.
Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.
Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.
Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?
Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?
Mapovu ya nini sasa?
Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?
Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..
Au niwaage kwa People’s……
Teh teh teh
Hii inatwa, nawakeraaa!!! Nawakera kidogo!!Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.
Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.
Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.
Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.
Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.
Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.
Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?
Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?
Mapovu ya nini sasa?
Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?
Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..
Au niwaage kwa People’s……
Teh teh teh 🤣🤣🤣
Watu wengi huwa wanaona wanachotaka kuona.Ndiyo, Lissu kweli kasema hivyo.
Ila hawa makamanda wengine wa humu pamoja na yule sijui anaitwa Malisa Godlisten, umeona jinsi wanavyomdemkia Samia?
Binafsi sitegemei lolote la maana lililo la kimageuzi toka kwa CCM.
Uliisikia/ uliiona hii?Watu wengi huwa wanaona wanachotaka kuona.
Huyu Samia Suluhu Hassan aliwaambia wananchi kwamba wakiipigia kura au wasipoipigia kura CCM, CCM itashinda tu.
Hii ni kauli ya mtu aliyejizatiti kuiba kura tayari, na kama hajajizatiti kuiba kura tayari ni kiongozi mwenye dharau kwa wananchi na haheshimu utawala wa sheria na umuhimu wa kura za watu.
Sasa kiongozi kama huyo, mtu aliyekuwa makamu wa Jiwe mipango yote wamepitisha pamoja mpaka wameshinda kwa figisu nyingi.
Mpinzani anayemsheherekea huyo Samia ni mpinzani asiyejitambua.