DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Ni kwenye kongamano lililo andaliwa na BAVICHA siku ya uhuru ambapo niligundua kuna kinadada majasiri na wenye uwezo mkubwa wakujenga hoja kwa kiwango cha juu sanaaaaa, naamini kama chama kita waangalia kwa umakini watakuja kua viongozi wakutumainiwa wa chama na Taifa kwa ujumla.Japo siwakumbuki vizuri majina yao naamini ujumbe utawafikia wahusika.
1. Ni dada aliye jitambulisha kama katibu mwenezi Ukonga....Huyu dada japo sina uhakika sana ila namfananisha na dada mmoja alikua anaitwa Pendo alishawai kushiliki maisha plus ya kwanza na kushika nafasi yapili ..Huyu dada anauwezo wa kuchambua mambo na ni mwelewa wa mambo na anaonekana anaakili sana, uwezo mkubwa wa kojenga hoja zaidi ana confidence ya hali ya juu sana.
2.Ni dada aliye kua amevaa hijabu na mtandio wa langi ya orange na scarf ya chadema shingoni, alijitambulisha anasoama UDOM km sikosei, kama ilivyo kwa wa kwanza dada anajua kupangilia aongee ni nn na anaujasiri wa hali ya juu sana, na uwezo wa kusimamia anacho kizungumuza bila hofu na kwa umakini mkubwa.
3.Dada mmoja anaitwa Asha Muhamad kama cjakosea yeye alijitambulisha ni mwenyeji wa kologwe, japo kua anaulemavu wa ngozi lakini alikua anajiamini , anaonesha anauchungu na nchi yake ana nia ya kuwatumikia watanzania na anauwezo wa kujenga hoja sana naamini Prof Majimarefu ahesabu siku zake tu zilizo salia.
4.Ni Jesca Kishoa huyu anatoka singida japokua mwigulu nchemba alishawai kuandiaka kweye ukurasa wake wa fb kutishia kumuua lakini bado anajenga hoja zenye mashoko na kujiamini sana.
Japo siwafahamu vizuri saana lakini wanaonekana ni akina dada wenye uwezo wa haliya juu sana kisiasa na naamini kama chadema itautambua uwezo wao hawa, basi Taifa litapata viongozi wazuri sana badae. Nikazi ya chama kuwapa uzoefu zaidi na zaidi. Ili kuwaimalisha zaidi kwani kwa mda mrefu taifa limekosa wawalikilishi na viongozi wa jinsia ya kike wenye uwezo wa kujenga hoja ukiacha wachache kama akina Halima Mdee na Bulaya .
1. Ni dada aliye jitambulisha kama katibu mwenezi Ukonga....Huyu dada japo sina uhakika sana ila namfananisha na dada mmoja alikua anaitwa Pendo alishawai kushiliki maisha plus ya kwanza na kushika nafasi yapili ..Huyu dada anauwezo wa kuchambua mambo na ni mwelewa wa mambo na anaonekana anaakili sana, uwezo mkubwa wa kojenga hoja zaidi ana confidence ya hali ya juu sana.
2.Ni dada aliye kua amevaa hijabu na mtandio wa langi ya orange na scarf ya chadema shingoni, alijitambulisha anasoama UDOM km sikosei, kama ilivyo kwa wa kwanza dada anajua kupangilia aongee ni nn na anaujasiri wa hali ya juu sana, na uwezo wa kusimamia anacho kizungumuza bila hofu na kwa umakini mkubwa.
3.Dada mmoja anaitwa Asha Muhamad kama cjakosea yeye alijitambulisha ni mwenyeji wa kologwe, japo kua anaulemavu wa ngozi lakini alikua anajiamini , anaonesha anauchungu na nchi yake ana nia ya kuwatumikia watanzania na anauwezo wa kujenga hoja sana naamini Prof Majimarefu ahesabu siku zake tu zilizo salia.
4.Ni Jesca Kishoa huyu anatoka singida japokua mwigulu nchemba alishawai kuandiaka kweye ukurasa wake wa fb kutishia kumuua lakini bado anajenga hoja zenye mashoko na kujiamini sana.
Japo siwafahamu vizuri saana lakini wanaonekana ni akina dada wenye uwezo wa haliya juu sana kisiasa na naamini kama chadema itautambua uwezo wao hawa, basi Taifa litapata viongozi wazuri sana badae. Nikazi ya chama kuwapa uzoefu zaidi na zaidi. Ili kuwaimalisha zaidi kwani kwa mda mrefu taifa limekosa wawalikilishi na viongozi wa jinsia ya kike wenye uwezo wa kujenga hoja ukiacha wachache kama akina Halima Mdee na Bulaya .