Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

Hatubishani, labda wewe ndio waona tunabishana, kwani mimi naandika nayoyajua na wewe una yako..Ukieleza one side of the coin nami nakupa upande wa pili ambao wewe hutaki. Mtu anaweza kuja hapa akadai Mohammed Said anautetea Uislaam JF, nami nikaja na kusema hapana ni katika harakati za kutangaza na kuuza kitabu chake. - Hapo, mkweli atakuwa nani zaidi ya Mohammed Said mwenyewe? bahati mbaya yote uloyaandika wewe wahusika karibu wote wameisha kufa! - Ukweli ni upi? ndio mjadala tulokuwa nao hapa..

Laa basi wewe hatari sana... zaidi ya mpira wa mchangani na Saigon ulichezea timu gani vile?.. Na muziki umewahi kupigia bendi gani ya taarabu au naomba basi copy ya muziki wako maana utakuwa umeuzika kama vitabu vyako....Samahani, nilikuuliza sana mkuu wangu hivi wewe una umri gani hajanambia bado!

Mkandara,

Usiharibu mnakasha kwa kutaka kututoa nje ya darsa letu adhimu.

Kwani kila wakti unabishana mara Zenji ni nini (pamoja na kufafanulia kwa fus'ha arabic, sasa unarudi na Saigon.) Sisi tunachotaka kama una paper au utafiti wowote ulionao iwe kwa kijitabu au hata makala tuwekee hapa tuichambue na kuijadili kuliko kutaka kututoa nje ya mada.

Nakupa pole.
 
Hapana mkuu wangu sina maskhara hata kidogo ila nawajua wachezaji enzi hizoo! na sikuwa Nansio nikivua samaki bali Kisorya na Bwiro sijui kama unapajua.. Mpira nimeucheza vile vile nakumbuka mwaka 1975 fainal ya vyuo - UDSM na DSA, nilikipiga na Ledger Tenga, fahari iliyoje!. Mashaallah Nyerere aliiweka nchi yetu ktk hali ya kwamba mpira ulikuwa kama ibada na hakika Tanzania tuliweza kuogopwa Afrika sii leo hii na ahadi hewa!..Yanga na Simba zimejaa watindiga kutoka nje vijana wetu wanazidi kuporomoka.

Kusema kweli kuhusu Nyerere mkuu wangu siwezi kukutea hata kwa dogo nikiyaona haya yanayofanyika leo. Na mara ya mwisho nimekutana na mzee Nyerere ilikuwa hapa hapa Canada na alituusia na kusema Tanzania hata ikipata mafuta bado itakuwa maskini!..

Mkandara,

Ntakupa moja tu.

Mimi nilikuwa katika watoto wa mwanzo Dar es Salaam kucheza mpira na viatu (Gola) na nikivaa "shin guards." Nilikuwa kivutio cha aina yake. Uwanja wetu ulikuwa Tuwa Tugawe.

Wala sina haja ya kuwataja "contemporaries wangu" wengi walikwenda mbele sana na wengi wametangulia mbele ya haki.

Tuendelee na darsa:

ëMgogoroí wa East African Muslim Welfare Society(EAMWS) wa Mwaka wa 1968 [1]
Uchochezi wa ëMgogoroí wa BAKWATA
"Kutokana na katiba ya mwaka wa 1957 lengo kuu laEAMWS ilikuwa ni ëkuutangaza Uislam katika Afrika ya Masharikií. EAMWS yenyeweilikuwa ikijigamba kuwa uti wake wa mgongo ilikuwa ni tabligh, yaani utangazajiwa dini. [1]Jumuiya hii iliyoanzishwa mwaka 1933 ilikuwa ya Waislam wa mataifa yote katikauanachama na katika uongozi wake. Katika uhai wake wa miaka thelathini na tanoEAMWS ilijiweka mbali sana na siasa. Jumuiya hii ilishughulikia kuutetea nakuueneza Uislam katika Afrika ya Mashariki. Lakini baada ya kutokea maasi yaTanganyika Rifles mwaka 1964 yaliyopelekea viongozi wengi wa Kiislam kuwekwakizuizini, EAMWS ikawa imepoteza mwelekeo wake na kudhoofika. Baadhi ya matawiyaliyokuwa katika majimbo yakafungwa kwa woga na kukosa viongozi thabiti na kwamatawi mengine yalifungwa kwa sababu viongozi wake walkuwa wakichimbwachinichini na serikali. Waislam wengi walihisi vitisho vya serikali kwa hiyowaliogopa kuchukua uongozi wa EAMWS. Wengi waliogopa kuitumikia EAMWS kwa kuwawalihisi ofisi za jumuiya hiyo zilikuwa zikichukuliwa na serikali kama vituovya upinzani dhidi yake. Kwa zaidi ya miaka mitatu toka ule mkutano wa mwaka1963, EAMWS haikuweza kufanya mkutano wowote.EAMWS ilipokuja kuitisha mkutano wake wa mwakamjini Arusha mwaka 1966 kikajitokeza kikundi kutoka upande wa Tanzania kikidaiEAMWS ijigawe, kila nchi iwe na mamlaka yake na ijitegemee yenyewe, yaaniTanzania, Kenya na Uganda zote ziwe mbalimbali. Kikundi hiki kilichokuwakikidai utengano vilevile kikadai kuwa katiba ya EAMWS nayo iwe ya ëkizalendoí[1]Hii ilikuwa na maana kuwa uongozi itabidi iifanyie katiba marekebisho ilikuiwezesha Tanzania kuwa huru ndani ya EAMWS. Wajumbe waliokuwa wanaona mbalikutoka Tanzania na wengine kutoka Kenya na Uganda, na kwa hakiaka mkutano mzimakwa ujumla walipinga kitendo hicho, wakidai kuwa kwa kufanya hivyo Waislam waTanzania watakuwa wametengwa na umma wa Kiislam wa Afrika ya Mashariki. Jambohili likitokea, si tu litakuwa limewadhoofisha Waislam wa Tanzania peke yao,bali Waislam wa Afrika ya Mashariki nzima. Wajumbe wa Kenya na Uganda walikuwawanatambua kuwa kulikuwa na shinikizo kubwa kutoka serikali ya Tanzania kwaWatanzania kujitoa kutoka EAMWS. Halikadhalika ilikuwa inafahamika kuwa wajumbewa Tanzania walikuwa wakifanya kazi chini ya shinikizo kali kutoka serikali yaNyerere.Haikuwa siri sana kuwa baadhi ya viongozi waEAMWS walikuwa kisirisiri wakiandamwa na serikali. Lakini mkutano ulehaukuzungumzia matatizo haya kwa kuwa hayo yalichukuwaliwa kama matatizo yandani ya nchi. Hata hivyo kwa ule moyo wa Kiislam wa kuhurumiana, wajumbe waKenya na Uganda kwa faragha walionyesha masikitiko yao kwa Tewa kuhusu ile haliiliyokuwa ikiwakabili Waislam wa Tanzania. Wajumbe walipokuwa wakiondokakurejea makwao, ilikuwa wazi kuwa serikali ya Tanzania ilikuwa ikiingilia katiEAMWS kiasi cha kuifanya jumuiya hiyo ishindwe kufanya kazi yake vyema nakupitisha maamuzi yake. Hali hii ilijidhihirisha wazi pale kwa kipindi kizimacha mkutano, makachero wa serikali walikuwa wamejitokeza kwa wingi mjiniArusha.Haukupita muda ikadhihirika kuwa serikaliilikuwa imepania kuivunja EAMWS kwa kuwatumia Waislam wachache walioteuliwa kwakazi hiyo. Lengo likiwa ni kuanzisha taasisi mpya ambayo serikali itawezakuiamuru. Ieleweke hapa kuwa kama tulivyokwisha eleza hapo nyuma, serikalinzima ya Tanzani ilikuwa mikononi mwa Wakristo na watendaji hawa walikuwa wapochini ya Kanisa. Hii ilikuwa na maana kuwa kilichotakiwa kuwepo ilikuwa taasisiya Kiislam ambayo Kanisa itaweza kuiamuru. Hii ilikuwa ni jambo lazimalifanyike ili kuwadhibiti Waislam kama nguvu inayoweza kuleta mabadiliko yasiasa. Baada ya kuelewa hali hii ndipo sasa tunaweza kuuangalia kile kilichoitwaëmgogoroí wa EAMWS ambao ulidumu kwa miezi mitatu ya mwisho ya mwaka wa 1968.Ilituweze kuuelewa vyema kisa kizima chaëmgogoroí ni muhimu kwanza kuelewa chanzo chake, hadhi za wahusika wakuu nanafasi zao katika ëmgogoroí ule. Mwisho, ni muhimu kuweka bayana na kuchambuanafasi ya Julius Nyerere, serikali yake, chama cha TANU na vyombo vya dolakatika ëmgogoroí ule. Hii itasaidia kuelewa kama kweli ulikuwepo ëmgogoroíkatika EAMWS, au ëmgogoroí ulibambikizwa na watu katika TANU, serikali na ndaniya Waislam wenyewe ili kuwadhoofisha Waislam kwa nia ya kuwa usije Uislam ukawana nguvu katika Tanzania hivyo kuwawezesha Waislam kushika madaraka ya nchi."

Mohamed
 
Mkandara,

Ntakupa moja tu.

Mimi nilikuwa katika watoto wa mwanzo Dar es Salaam kucheza mpira na viatu (Gola) na nikivaa sheen guards. Nilikuwa kivutio cha aina yake. Uwanja wetu ulikuwa Tuwa Tugawe.

Wala sina haja ya kuwataja "contemporaries wangu" wengi walikwenda mbele sana na wengi wametangulia mbele ya haki.

Tuendelee na darsa:

ëMgogoroí wa East African Muslim Welfare Society(EAMWS) wa Mwaka wa 1968 [1]
Uchochezi wa ëMgogoroí wa BAKWATA
"Kutokana na katiba ya mwaka wa 1957 lengo kuu laEAMWS ilikuwa ni ëkuutangaza Uislam katika Afrika ya Masharikií. EAMWS yenyeweilikuwa ikijigamba kuwa uti wake wa mgongo ilikuwa ni tabligh, yaani utangazajiwa dini. [1]Jumuiya hii iliyoanzishwa mwaka 1933 ilikuwa ya Waislam wa mataifa yote katikauanachama na katika uongozi wake. Katika uhai wake wa miaka thelathini na tanoEAMWS ilijiweka mbali sana na siasa. Jumuiya hii ilishughulikia kuutetea nakuueneza Uislam katika Afrika ya Mashariki. Lakini baada ya kutokea maasi yaTanganyika Rifles mwaka 1964 yaliyopelekea viongozi wengi wa Kiislam kuwekwakizuizini, EAMWS ikawa imepoteza mwelekeo wake na kudhoofika. Baadhi ya matawiyaliyokuwa katika majimbo yakafungwa kwa woga na kukosa viongozi thabiti na kwamatawi mengine yalifungwa kwa sababu viongozi wake walkuwa wakichimbwachinichini na serikali. Waislam wengi walihisi vitisho vya serikali kwa hiyowaliogopa kuchukua uongozi wa EAMWS. Wengi waliogopa kuitumikia EAMWS kwa kuwawalihisi ofisi za jumuiya hiyo zilikuwa zikichukuliwa na serikali kama vituovya upinzani dhidi yake. Kwa zaidi ya miaka mitatu toka ule mkutano wa mwaka1963, EAMWS haikuweza kufanya mkutano wowote.EAMWS ilipokuja kuitisha mkutano wake wa mwakamjini Arusha mwaka 1966 kikajitokeza kikundi kutoka upande wa Tanzania kikidaiEAMWS ijigawe, kila nchi iwe na mamlaka yake na ijitegemee yenyewe, yaaniTanzania, Kenya na Uganda zote ziwe mbalimbali. Kikundi hiki kilichokuwakikidai utengano vilevile kikadai kuwa katiba ya EAMWS nayo iwe ya ëkizalendoí[1]Hii ilikuwa na maana kuwa uongozi itabidi iifanyie katiba marekebisho ilikuiwezesha Tanzania kuwa huru ndani ya EAMWS. Wajumbe waliokuwa wanaona mbalikutoka Tanzania na wengine kutoka Kenya na Uganda, na kwa hakiaka mkutano mzimakwa ujumla walipinga kitendo hicho, wakidai kuwa kwa kufanya hivyo Waislam waTanzania watakuwa wametengwa na umma wa Kiislam wa Afrika ya Mashariki. Jambohili likitokea, si tu litakuwa limewadhoofisha Waislam wa Tanzania peke yao,bali Waislam wa Afrika ya Mashariki nzima. Wajumbe wa Kenya na Uganda walikuwawanatambua kuwa kulikuwa na shinikizo kubwa kutoka serikali ya Tanzania kwaWatanzania kujitoa kutoka EAMWS. Halikadhalika ilikuwa inafahamika kuwa wajumbewa Tanzania walikuwa wakifanya kazi chini ya shinikizo kali kutoka serikali yaNyerere.Haikuwa siri sana kuwa baadhi ya viongozi waEAMWS walikuwa kisirisiri wakiandamwa na serikali. Lakini mkutano ulehaukuzungumzia matatizo haya kwa kuwa hayo yalichukuwaliwa kama matatizo yandani ya nchi. Hata hivyo kwa ule moyo wa Kiislam wa kuhurumiana, wajumbe waKenya na Uganda kwa faragha walionyesha masikitiko yao kwa Tewa kuhusu ile haliiliyokuwa ikiwakabili Waislam wa Tanzania. Wajumbe walipokuwa wakiondokakurejea makwao, ilikuwa wazi kuwa serikali ya Tanzania ilikuwa ikiingilia katiEAMWS kiasi cha kuifanya jumuiya hiyo ishindwe kufanya kazi yake vyema nakupitisha maamuzi yake. Hali hii ilijidhihirisha wazi pale kwa kipindi kizimacha mkutano, makachero wa serikali walikuwa wamejitokeza kwa wingi mjiniArusha.Haukupita muda ikadhihirika kuwa serikaliilikuwa imepania kuivunja EAMWS kwa kuwatumia Waislam wachache walioteuliwa kwakazi hiyo. Lengo likiwa ni kuanzisha taasisi mpya ambayo serikali itawezakuiamuru. Ieleweke hapa kuwa kama tulivyokwisha eleza hapo nyuma, serikalinzima ya Tanzani ilikuwa mikononi mwa Wakristo na watendaji hawa walikuwa wapochini ya Kanisa. Hii ilikuwa na maana kuwa kilichotakiwa kuwepo ilikuwa taasisiya Kiislam ambayo Kanisa itaweza kuiamuru. Hii ilikuwa ni jambo lazimalifanyike ili kuwadhibiti Waislam kama nguvu inayoweza kuleta mabadiliko yasiasa. Baada ya kuelewa hali hii ndipo sasa tunaweza kuuangalia kile kilichoitwaëmgogoroí wa EAMWS ambao ulidumu kwa miezi mitatu ya mwisho ya mwaka wa 1968.Ilituweze kuuelewa vyema kisa kizima chaëmgogoroí ni muhimu kwanza kuelewa chanzo chake, hadhi za wahusika wakuu nanafasi zao katika ëmgogoroí ule. Mwisho, ni muhimu kuweka bayana na kuchambuanafasi ya Julius Nyerere, serikali yake, chama cha TANU na vyombo vya dolakatika ëmgogoroí ule. Hii itasaidia kuelewa kama kweli ulikuwepo ëmgogoroíkatika EAMWS, au ëmgogoroí ulibambikizwa na watu katika TANU, serikali na ndaniya Waislam wenyewe ili kuwadhoofisha Waislam kwa nia ya kuwa usije Uislam ukawana nguvu katika Tanzania hivyo kuwawezesha Waislam kushika madaraka ya nchi."

Mohamed

Sheikh Mohamed Said,

Hakika ya hayo niliopigia mstari ni maneno niliwahi kuelezwa na mzee wetu Mshairi Sihiyana Swalehe Madevu wa Buguruni sokoni wakti tukiwa tunakwenda Ikwiriri Rufiji kwenye maziko ya Al Marhum Shaaban Mussa Mkadaru.
Nilitumia gari yangu kuwachukua washairi wengi tu na kusafiri nao kutoka Dar kuelekea huko. Miongoni mwao alikuwapo Mshairi Said Nyoka wa tambuka reli Tandika, Mzee Othman Khalfan, Mzee Ngonda nee, Mtoto wa marhum Mussa Mkadaru , Salim Seif Mkamba na wengine ambao nimewasahau.

Hayo aliyatamka tukiwa njiani.

Ahsantum kwa darsa.

Nimekumbuka mbaaaaali kweli kiasi cha kuangalia picha niliyopiga na hao wazee wangu washairi.
 
Sheikh Mohamed Said,

Hakika ya hayo niliopigia mstari ni maneno niliwahi kuelezwa na mzee wetu Mshairi Sihiyana Swalehe Madevu wa Buguruni sokoni wakti tukiwa tunakwenda Ikwiriri Rufiji kwenye maziko ya Al Marhum Shaaban Mussa Mkadaru.
Nilitumia gari yangu kuwachukua washairi wengi tu na kusafiri nao kutoka Dar kuelekea huko. Miongoni mwao alikuwapo Mshairi Said Nyoka wa tambuka reli Tandika, Mzee Othman Khalfan, Mzee Ngonda nee, Mtoto wa marhum Mussa Mkadaru , Salim Seif Mkamba na wengine ambao nimewasahau.

Hayo aliyatamka tukiwa njiani.

Ahsantum kwa darsa.

Nimekumbuka mbaaaaali kweli kiasi cha kuangalia picha niliyopiga na hao wazee wangu washairi.

Barubaru,

Ikapita kipindi nchi ikawa ziiiiii kabisa huhisi kama nchi ina Waislam.

Zile shamramshamra tulizozoea utotoni wakati wa Maulid ya Mfungo Sita zikatoweka jiiiii!

Lakini Allah anajisifu kuwa ana askari wake hakuna awajuae ila yeye mwenyewe.

Warsha ikaanza katika njia ya unyonge vijana wakipita msikiti kwa msikiti tena ile ya pembeni maana ile mikubwa watu wakiogopa kuwekwa ndani. Vijana hawawezi kufanya daawa.

Ukitaka kuzungumza labda uwasomeshe watu kuhusu udhu na kuwahimiza kuswali wakati tayari umewakuta msikitini.

Taratibu ikawa watu wanafunguka macho.
Alhamdulilah leo ukitembea asubuhi watoto wanakwenda shule utajua uko katika nchi ambayo Waislam wapo.

Allah atamlipa Sheikh Malik na wanafunzi wake Burhani Mtengwa na Mussa Mdidi wote wako mbele ya haki kwa mchango wao wa kuwazindua Waislam hadi leo tuko hali hii.

Mohamed
 
Barubaru,

Ikapita kipindi nchi ikawa ziiiiii kabisa huhisi kama nchi ina Waislam.

Zile shamramshamra tulizozoea utotoni wakati wa Maulid ya Mfungo Sita zikatoweka jiiiii!

Lakini Allah anajisifu kuwa ana askari wake hakuna awajuae ila yeye mwenyewe.

Warsha ikaanza katika njia ya unyonge vijana wakipita msikiti kwa msikiti tena ile ya pembeni maana ile mikubwa watu wakiogopa kuwekwa ndani. Vijana hawawezi kufanya daawa.

Ukitaka kuzungumza labda uwasomeshe watu kuhusu udhu na kuwahimiza kuswali wakati tayari umewakuta msikitini.

Taratibu ikawa watu wanafunguka macho.
Alhamdulilah leo ukitembea asubuhi watoto wanakwenda shule utajua uko katika nchi ambayo Waislam wapo.

Allah atamlipa Sheikh Malik na wanafunzi wake Burhani Mtengwa na Mussa Mdidi wote wako mbele ya haki kwa mchango wao wa kuwazindua Waislam hadi leo tuko hali hii.

Mohamed
.

Hakika hao nilio REd walifanya makubwa sana.

Al marhum Sheikh Burhan Mtengwa ni jabali sana. Alishiriki na kunishirikisha sana akiwa pale Kijitonyama Masjid Quba na baadae Al haramain (shule ya uhuru mtaa wa Lindi) na baadae ile kule Ununio. Hakika huyu si wa kusahaulika katika harakati za Elimu katika Tz. Namkumbuka sana akiwa anaishi pale Quoter za karibu ya mwenge magorofani.

Sheikh Mdidi,
Huyu si kuwa alikuwa swahiba wangu mkubwa. Lakini pia tulikuwa naye wizara ya mipango akiwa Msaidizi wa Waziri. Na mkewe akiwa mwl wa Jangwani Secondary. Hakika tumetoka mbaaaali sana . Na umemsahau Prof Kighoma Malima naye alipambana vikali sana.

Mola awarehemu wote hao na wengine tuliowasahau.

Kweli mnakasha unanikumbusha watu wengi.
 
.

Hakika hao nilio REd walifanya makubwa sana.

Al marhum Sheikh Burhan Mtengwa ni jabali sana. Alishiriki na kunishirikisha sana akiwa pale Kijitonyama Masjid Quba na baadae Al haramain (shule ya uhuru mtaa wa Lindi) na baadae ile kule Ununio. Hakika huyu si wa kusahaulika katika harakati za Elimu katika Tz. Namkumbuka sana akiwa anaishi pale Quoter za karibu ya mwenge magorofani.

Sheikh Mdidi,
Huyu si kuwa alikuwa swahiba wangu mkubwa. Lakini pia tulikuwa naye wizara ya mipango akiwa Msaidizi wa Waziri. Na mkewe akiwa mwl wa Jangwani Secondary. Hakika tumetoka mbaaaali sana . Na umemsahau Prof Kighoma Malima naye alipambana vikali sana.

Mola awarehemu wote hao na wengine tuliowasahau.

Kweli mnakasha unanikumbusha watu wengi.

Barubaru ndugu yangu,

Hao wote watatu walikuwa wenzangu.

Nina "biograph" ya Prof. Malima nimeiandika Insha Allah iko siku itachapwa.

Hebu tutabaruk na hiki kipaned kutoka katika huo mswada:

"Muslims in Dar es Salaam staged a funeral procession which has neverbeen seen Dar es Salaam and probably never will. A crowd never seen before cameto mourn Prof. Malima. Prof. Malima's salatjanaiz was held at Mnazi Mmoja Grounds, as no mosque was large enough toaccommodate all who wanted to stand behind his coffin to pray that last prayer.Throughout their history Muslims in Tanzania have never offered a salat janaiz on open ground becausethere had never been a reason to do so. Mnazi Mmoja grounds have a special place in the hearts of Muslims. Thiswas the ground which the early meetings of the labour and independencemovements were held. To hold Malima's funeral prayers at the grounds was an honour notbestowed to any Muslim before. Prof. Malima was associated with the Muslim'sstruggle for equality and justice. It was only right that he be buried as a shahid, a person who laid his life downfor the sake of Allah. His coffin was mobbed by Muslims making it difficult tomove in that crowd. Women also came to the grounds dressed in khanga to paytheir last respect. Muslims who turned up that day at the grounds proved to theChristian lobby that Prof. Malima was popular and had a big following. Thathuge crowd were Muslims who would have voted for Pro. Malima. Prof. Malima waslaid to rest the same day, late in the evening at his home village, Mkamba afew miles from Dar es Salaam."

Mohamed





Mohamed
 

Barubaru ndugu yangu,

Hao wote watatu walikuwa wenzangu.

Nina "biograph" ya Prof. Malima nimeiandika Insha Allah iko siku itachapwa.

Hebu tutabaruk na hiki kipaned kutoka katika huo mswada:

"Muslims in Dar es Salaam staged a funeral procession which has neverbeen seen Dar es Salaam and probably never will. A crowd never seen before cameto mourn Prof. Malima. Prof. Malima's salatjanaiz was held at Mnazi Mmoja Grounds, as no mosque was large enough toaccommodate all who wanted to stand behind his coffin to pray that last prayer.Throughout their history Muslims in Tanzania have never offered a salat janaiz on open ground becausethere had never been a reason to do so. Mnazi Mmoja grounds have a special place in the hearts of Muslims. Thiswas the ground which the early meetings of the labour and independencemovements were held. To hold Malima's funeral prayers at the grounds was an honour notbestowed to any Muslim before. Prof. Malima was associated with the Muslim'sstruggle for equality and justice. It was only right that he be buried as a shahid, a person who laid his life downfor the sake of Allah. His coffin was mobbed by Muslims making it difficult tomove in that crowd. Women also came to the grounds dressed in khanga to paytheir last respect. Muslims who turned up that day at the grounds proved to theChristian lobby that Prof. Malima was popular and had a big following. Thathuge crowd were Muslims who would have voted for Pro. Malima. Prof. Malima waslaid to rest the same day, late in the evening at his home village, Mkamba afew miles from Dar es Salaam."

Mohamed





Mohamed

Hakika ilikuwa siku ya Khuzuni kubwa.

Nakumbuka wakti wa kifo chake nilikuwa nipo Port of Spain, Trinidad. na nilishindwa kuhudhulia kabisa. Hakika Mola atamuweka pahala pema Peponi.
 
Barubaru,

Ikapita kipindi nchi ikawa ziiiiii kabisa huhisi kama nchi ina Waislam.

Zile shamramshamra tulizozoea utotoni wakati wa Maulid ya Mfungo Sita zikatoweka jiiiii!

Lakini Allah anajisifu kuwa ana askari wake hakuna awajuae ila yeye mwenyewe.

Warsha ikaanza katika njia ya unyonge vijana wakipita msikiti kwa msikiti tena ile ya pembeni maana ile mikubwa watu wakiogopa kuwekwa ndani. Vijana hawawezi kufanya daawa.

Ukitaka kuzungumza labda uwasomeshe watu kuhusu udhu na kuwahimiza kuswali wakati tayari umewakuta msikitini.

Taratibu ikawa watu wanafunguka macho.
Alhamdulilah leo ukitembea asubuhi watoto wanakwenda shule utajua uko katika nchi ambayo Waislam wapo.

Allah atamlipa Sheikh Malik na wanafunzi wake Burhani Mtengwa na Mussa Mdidi wote wako mbele ya haki kwa mchango wao wa kuwazindua Waislam hadi leo tuko hali hii.

Mohamed

Allah Akbar

Kazi nzuri MS. Endelea kutuelezea historia, tupo tunasoma.
 
Allah Akbar

Kazi nzuri MS. Endelea kutuelezea historia, tupo tunasoma.

Shamu,

Ahsante ndugu yangu.

Sheikh Malik alikuwa na burhan.
Yeye hata kama kwenye darsa atafika mwanafunzi mmoja atasomesha kama darsa limejaa.

Iko siku kango'a jino kaja kusomesha damu zinamtiririka.
Wanafunzi wake wakamwambia, "Sheikh leo tusimamishe darsa wewe mgonjwa kapumzike."

Jibu lake: "Kuna barkaz tutapumzika sana huko. Hapa tufanye kazi tukapumzike vizuri."
Darsa likaendelea.

Mohamed
 
WC,

Nafikiri kila wakti unapenda kurudia mambo ima kwa utoto au kutaka kupata post nyingi kwa masuala yaliyokwisha bainisha.

Nilitaka kukujuza Nyerere hakuachia madaraka kwa kupenda bali alisoma alama za nyakati na kuona sasa alikuwa ameiweka nchi pabaya sana kiuchumi na kama angeendelea kuiongoza basi lazima yangetokea makubwa sana. Kwani kila mtu alishachoka maisha.

Kumbuka kuwa Nyerere alikabidhiwa nchi ikiwa na neema tele sana. Hakuna kitu ambacho kilikuwa hakuna madukani na watu waliishi wa wasa'a sana. yeye alipokimbia madarakani kulikuwa hakuna chochote madukani hata sabuni za kuogea na kufulia achilia mbali vyakula na nguo. Watu walivaa madabwada (nguo zilizoshonwa kwa vilaka) na chakula kilikuwa kinauzwa kwa foleni katika maduka ya kaya.

Na ni yeye aliyeasisi ulanguzi (kuuza bidhaa kwa bei ya juu kuliko ilivyo halali) na hivyo kutengeneza matabaka ya watu walionacho na asionacho. Na huo Ulanguzi wa bidhaa umekuja kuzaa ubadhilifu wa mali ya umma na sasa mpo katika Ufisadi. Hilo ni zao la Nyerere ambaye aliasisi Ulanguzi.

Kuhusu huo Mvungano Oops Muungano huo una darsa lake. Aliulazimisha kwa sababu zake za kisiasa lakini hakuwa na jipya hapo. Kuna mada maalum Faida za Muungano kwa Zanzibar kuna darsa zuri sana tumebainisha pale.

Unaposema Nyerere alikuwa na waislam madereva, wapishi na matarishi. Kwanini wasiwe wanasheria au hata mameneja na wakurugenzi na mawaziri. Hapa umenikumbusha kwa niliadithiwa na Ammi Yangu Dr Abdullah Saleem Al Harthy ambaye ndie first Tanganyika Engineer aliye graduate Uk mwaka 1961. Alisema siku moja akiwa Tabora kikazi Nyerere alitembelea kule na kwa kuwa yeye alikuwa ni mkuu wa mawasiano kule hivo alikaa kwenye safu ya mbele na alipkuja Nyerere wakti wanampokea Nyerere alimuuliza vipi Sheikh upo huku au umepata kazi za udereva? Sababu alimuona amevaa kafia kama ilivyo kawaida ya waislam. Lakini alitambulishwa na Mkuu wa Mkoa huo kuwa ni mmoja wa wakuu hapo naye alistahajabu.Na hata hivyo alimuuliza umetokea Zanzibar naye akamjibu ndio lakini nimesomea Bara.

Nilichojifunza Nyerere kwake waislam walitakiwa kuwa tarishi, madereva na wapishi. Hata mimi niliyaona hayo wakti nikiwa wizara ya fedha na hata nilipopelekwa Mtwara na baadae Mwanza kabla sijaondoka.

Nafikiri unatakiwa uzinduke hapo kuwa waislam sasa hawataki kuwa matarishi wala wafagiaji wala madereva. wanataka vyeo vya juu kama ilivyo kwa wenzao.
Barubaru,
Ulinielewa kweli nilipotaja madereva na wapishi WAISLAMU? Eti Mwalimu hakuachia madaraka kwa kupenda! Endelea tu kuongopa kwa kuwa NCHI hii si yako tena. Mungu hana DINI na TANZANIA itabaki bila DINI. Mwambie tu Mzee MOhamed ahamie huko uliko ambako Nchi ina DINI.
 
Sijahifdhi Qur'an yote kifuani, ni baadhi tu ya Sura na Ayyat za Qur'an nilizo hifadhi, sijafikia bado cheo cha "Hafidh 'L Qur'an".

Kwa maneno yako hayo nna uhakika kuwa umekiri kuwa huna "paper" yoyote uliyoandika iwe ya historia au nyingine yoyote ile. Kwa hayo huna "credibility" ya kuwa unaijuwa historia, unayajuwa tu mambo yasiyokuwa na "credibility" yoyote ile.

Kwa hayo, inafaa upate darsa ili uelewe zaidi, darsa halijesha pengine hayo "unayoyajuwa" wewe na unayosema Mohamed Said "anayajuwa" hajafikia huko. Ngoja amalize darsa, ndiyo uanze kuuliza na au kuyaelezea uyajuavyo, ndiyo maana nikakuambia wewe ni wale wanaosoma "page" ya mwisho kabla ya kupitia (kusoma) kwanza "pages" zote, huo ni usomaji wa "novels" sio historia. Tatizo linalokupata kwa papara zako ni kuwa Mohamed Said bado hajaiweka hapa page yake ya mwisho na hayo uliyoyahifadhi unayaona kuwa bado ni mapya. Soma.

Books serve to show a man that those original thoughts of his aren't very new after all. ~Abraham Lincoln
Kumbe ndio maana hujanisoma vizuri.. nachosema mimi Historia ya Tanganyika nimeihifadhi kama wewe ulivyohifadhi kuran kama hujaihifadhi asi kidogo unachokijua kinakusaidia wewe kuwatoa makosa wale wanaotaka kupindisha ukweli..

MS hakuandika historia bali amefanya utafiti wake na kuandika kitabu ambacho yeye mwenye hakuwepo, hakuona ila kasimuliwa. Machache aliyaona hayana tofauti na yale niloyaona mimi hivyo darsa lake litawasaidia zaidi wale wasiojua. Kitu kimoja zaidi ni kwamba hakuna mtu anayepinga kwamba aloyaandika hayakutokea, yametokea na yamefanyika isipokuwa kwa nini yalifanyika hapo ndipo yeye kazusha yake..


Binafsi kazi nilokuwanayo ni kuwahamasisha watu kufuata Uislaam, kuifuata dini na mwongozo bora wa maisha yao, sasa inapotokea mtu kuonyesha Uislaam uhuzaa watu wenye chuki na kisasi. Uislaam kama ni kabila, rangi au jinsia unayozaliwa nayo kiasi kwamba mtu mwingine nje ya Uislaam ni adui ndicho nisichokitaka. Majuzi tu dada yake Tonny Blair aliyekuwa waziri mkuu Uingereza kaingia Uislaam na kenda Hijja leo anaitwa Hajjat..Sikufundishwa kueneza chuki, kuwa na uhasama bali kuzungumzia mazuri na yenye kujenga jamii.

Kama nilivyosema Ukristu sio dini ni watu wanaomfuata na kumwabudu Yesu wakaunda makanisa ambayo mimi siyaamini, ingawa naamini na kuifuata Gospel (injili) ya Yesu. Dini ni swala la imani sio WATU kujikabidhi hodhi ya dini na kuifanya mali yenu ili mpate kuitumia kwa manufaa yenu..Uislaam ni dini isiyokuwa na WATU, mtu yeyote anaweza kushahadia.
 
Barubaru,
Ulinielewa kweli nilipotaja madereva na wapishi WAISLAMU? Eti Mwalimu hakuachia madaraka kwa kupenda! Endelea tu kuongopa kwa kuwa NCHI hii si yako tena. Mungu hana DINI na TANZANIA itabaki bila DINI. Mwambie tu Mzee MOhamed ahamie huko uliko ambako Nchi ina DINI.
Barubaru ameshanukuliwa akisema kuwa ukiandika uwongo na kuurudia mara kwa mara hatimaye unaonekana kuwa kweli. Yuko kazini.
 
Barubaru ameshanukuliwa akisema kuwa ukiandika uwongo na kuurudia mara kwa mara hatimaye unaonekana kuwa kweli. Yuko kazini.

Jasusi,

Kumbuka tokea namaliza UDSM enzi zetu tulikuwa tunapangiwa kazi moja kwa moja Serikalini. Hivyo hao madereva na matarishi na wapishi nimewaona sana pale Wizara ya Fedha na hata nilipokuwa kule Mtwara na Mwanza na serikalini kwa jumla.

Kwa hiyo kauli yako siipingi waislam walikuwa ni matarishi, madereva na wapishi enzi za Nyerere. Tuliokuwa tuna ofisi pale Wizarani au hata kule mikoani tulihesabika.

Mimi nakumbuka pale wizara ya Fedha nilikuwa pekee na dereva wangu wakti huo Mzee Hamidu Semindu ndio tuliokuwa tukienda msikitini Adhuhur kule Ferri na ijumaa halikadhalika. Na mimi nilikuwa nachukuliwa kama Mznz hivyo sikuwa na tatizo lakini wailam kutoka bara walikuwa wanajificha hata Ijumaa hawakuwa wanahudhulia msikitini.

Nilipokuwa Mwanza ilikuwa kituko kabisa. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa pale nilikuwa pekee nikihudhulia adhuhur na walishangaa sana kwani waislam pale walikuwa wanajificha uislam wao. Na hilo lilitawala sana Bara kwa kuonekana unakwenda msikitini ilikuwa kihoja na kuonekana mtu dhalili na mtu wa hali ya chini kwani waliokuwa wanaswali ni madereva na matarishi.
 
Nyerere alikuwa Dictator hatari sana. Haya matatizo yote ya inequalities tuliyokuwa nayo ilikuwa ni strategy ya Nyerere kuwafanya Waislamu kuwa behind ktk kila sector. Sasa hivi bado tuna viongozi ambao wanajiita Waislamu kwa majina lakini wanashindwa kujitolea kwa mchango kusaidia kuondoa matatizo haya ya inequalities.

Chukulia mfano Lowassa, Mkiristo. Alipokuwa madarakani aliweza kusign MOU ya Kanisa na Serikali kwa niaba zaidi ya Kanisa kuliko Serikali ya TZ. Sasa hivi anatumia muda mwingi na wadhifa wake kuendeleza sera hizo hizo za Udini kwa kuchangisha na kusign mikataba na serikali kwa ajili ya Kanisa.

Je kama tukiwa na kiongozi ambaye ni Muislamu madarakani ambaye atakuwa anasign mikataba kati ya serikali na Waislamu- Je Kanisa litakubali? Je Wakristo watukubali?
 
Nyerere alikuwa Dictator hatari sana. Haya matatizo yote ya inequalities tuliyokuwa nayo ilikuwa ni strategy ya Nyerere kuwafanya Waislamu kuwa behind ktk kila sector. Sasa hivi bado tuna viongozi ambao wanajiita Waislamu kwa majina lakini wanashindwa kujitolea kwa mchango kusaidia kuondoa matatizo haya ya inequalities.

Chukulia mfano Lowassa, Mkiristo. Alipokuwa madarakani aliweza kusign MOU ya Kanisa na Serikali kwa niaba zaidi ya Kanisa kuliko Serikali ya TZ. Sasa hivi anatumia muda mwingi na wadhifa wake kuendeleza sera hizo hizo za Udini kwa kuchangisha na kusign mikataba na serikali kwa ajili ya Kanisa.

Je kama tukiwa na kiongozi ambaye ni Muislamu madarakani ambaye atakuwa anasign mikataba kati ya serikali na Waislamu- Je Kanisa litakubali? Je Wakristo watukubali?
Dawa hapa Tanzania ni kuchagua na kuteua viongozi wasio na DINI kuongoza TAIFA hili. Mwenzako Lowassa ana agenda na mtazamo tofauti kabisa kwa haya unayoona anayafanya sasa. Kwanza yeye ni zaidi ya mkristo sasa. Hata WAISLAMU wakimwita kuchangisha atakuja haraka sana.
 
Nyerere alikuwa Dictator hatari sana. Haya matatizo yote ya inequalities tuliyokuwa nayo ilikuwa ni strategy ya Nyerere kuwafanya Waislamu kuwa behind ktk kila sector. Sasa hivi bado tuna viongozi ambao wanajiita Waislamu kwa majina lakini wanashindwa kujitolea kwa mchango kusaidia kuondoa matatizo haya ya inequalities.

Chukulia mfano Lowassa, Mkiristo. Alipokuwa madarakani aliweza kusign MOU ya Kanisa na Serikali kwa niaba zaidi ya Kanisa kuliko Serikali ya TZ. Sasa hivi anatumia muda mwingi na wadhifa wake kuendeleza sera hizo hizo za Udini kwa kuchangisha na kusign mikataba na serikali kwa ajili ya Kanisa.

Je kama tukiwa na kiongozi ambaye ni Muislamu madarakani ambaye atakuwa anasign mikataba kati ya serikali na Waislamu- Je Kanisa litakubali? Je Wakristo watukubali?
Ndiyo maana Kikwete aliwaambia andaeni mkataba wenu...akasema tena ..mlishaandaa mkataba au mkatababa huo ulikataliwa? Mashehe wakabaki wanamshangaa tu. Andaeni mkataba halafu ukikataliwa ndiyo mje na hayo maneno!
 
Ndiyo maana Kikwete aliwaambia andaeni mkataba wenu...akasema tena ..mlishaandaa mkataba au mkatababa huo ulikataliwa? Mashehe wakabaki wanamshangaa tu. Andaeni mkataba halafu ukikataliwa ndiyo mje na hayo maneno!

Sweke34,

Ni vizuri ujue Tanganika ni nchi isiyofungamana na dini yoyote ile. Sasa inapotoa pesa tena kwa njia ya MoU tena kwa dini moja hata kama imeomba basi inakuwa ni upendeleo. Sasa kama wanasaidia Dini kwanini wasianzishe Mahakama ya Kadhi na kuendeshwa na Serikali ili na waislam waambulie?

Kumbuka Billioni 91 kanisa linalopesa kwa mujibu wa MoU ni pesa nyingi sana. Kwanini wasiangalie na namna ya kutoa pesa kwa dini nyingine pia ili kuleta usawa.

Hakuna sababu ya kuomba bali ni kuzuia na kusema tena kwa kinywa kipana pesa hizo zirejeshwe kwni ni jasho la waTz wote hata wasio wakristo.

Ni ukwapuaji zaidi ya EPA 1.2 Trilioni tokea kuanza kwa Mou Hiyo kanisa limechukua.

 
Sweke34,

Ni vizuri ujue Tanganika ni nchi isiyofungamana na dini yoyote ile. Sasa inapotoa pesa tena kwa njia ya MoU tena kwa dini moja hata kama imeomba basi inakuwa ni upendeleo. Sasa kama wanasaidia Dini kwanini wasianzishe Mahakama ya Kadhi na kuendeshwa na Serikali ili na waislam waambulie?

Kumbuka Billioni 91 kanisa linalopesa kwa mujibu wa MoU ni pesa nyingi sana. Kwanini wasiangalie na namna ya kutoa pesa kwa dini nyingine pia ili kuleta usawa.

Hakuna sababu ya kuomba bali ni kuzuia na kusema tena kwa kinywa kipana pesa hizo zirejeshwe kwni ni jasho la waTz wote hata wasio wakristo.

Ni ukwapuaji zaidi ya EPA 1.2 Trilioni tokea kuanza kwa Mou Hiyo kanisa limechukua.


Waislam walipopewa kiwanja na majengo ya Tanesco bure walipendelewa?
 
Waislam walipopewa kiwanja na majengo ya Tanesco bure walipendelewa?

Kwanza nikusahihishe waislamu hawajapewa viwanja bali walipewa majengo ya Tanesco kule morogoro kujenga chuo. Majengo hayo hivyo viwanja pia kuna tetesi vilikuwa vya waislamu kabla Nyerere hajataifisha na kuvifanya vya umma. But hebu tulinganishe majengo yale hayazidi hata Billioni 1 na Pesa ambazo makanisa yanaiba serikalini ambapo sasa imefikia Trillion 1.2 ni sawa???? Kama unaona sawa basi wewe unahitaji kwenda kupimwa akili haraka.
 
Waislam walipopewa kiwanja na majengo ya Tanesco bure walipendelewa?

Hata wakikodishwa je thamani yake inaweza kuwa Bilioni 91 kwa mwaka kama wanavyopewa kanisa? Na vp kuhusu Msamaha wa kodi (pitia bajeti ya 2009/2010 na 2010/2011) kwa taasisi za kidini ambapo zaidi ya 86% ni wakristo. Je unalionaje hilo nalo. Je thamani zake hata kama utawalipa watendaji wote wa mahakama ya kadhi ni bado tu kanisa lina chukua pesa nyingi sana.

Sasa ndio waislam wamezinduka mpaka kieleweke. Keki ya uhuru wenu inatakiwa iliwe na wote tena kwa was'aa pasi na kudhulumiana.

Tafakur
 
Back
Top Bottom