Makala ya Spearhead juu ya OCT 29: Ule ni Mradi?

Makala ya Spearhead juu ya OCT 29: Ule ni Mradi?

Balile rdk yake pascal mayalla..
Wakiwa songea walimualika katibu mkuu wa ccm ndugu nchimbi awe mgeni wao rasmi TEF 🤣🤣🤣
Nimeangalia makala yote hiyo jana umejaa upuuzi mtupu.

Ni kama yalikua mahojiano ya wale wakatoliki feki wa UVCCM.
 
Dah 😂

Watanzania tuna bahati mbaya sana This time tunaongozwa na Wapumbavu
Yaani mtu anaingia na bango barabarani anazungumzia kero anazokumbana nazo halafu mjinga mmoja anasema mtu huyo amelipwa kutoa kero zake.

Kama ingekua hivyo kwanini nao hawakuwalipa watu wasiandamane kama wanavyowalipa na kuwajaza kwenye malori kama ng'ombe kwenda kwenye mikutano.
 
Sijajisumbua kumaliza MBs zangu
Jana nilikua na free time tena sikua nimesearch makala hiyo , ilitokea kwenye post ya X ya huyo tapeli ndio na mimi kujua kua kumbe documentary yake ya kitapeli ilitolewa ikabidi niangalie ndio namuona Balile chawa wa CCM na nikagundua 99% muandaaji ni yeye hilo tapeli la Nigeria na Zimbabwe walitumika kama covers.
 
Yaani mtu anaingia na bango barabarani anazungumzia kero anazokumbana nazo halafu mjinga mmoja anasema mtu huyo amelipwa kutoa kero zake.

Kama ingekua hivyo kwanini nao hawakuwalipa watu wasiandamane kama wanavyowalipa na kuwajaza kwenye malori kama ng'ombe kwenda kwenye mikutano.
Waandamanaji wana siri sana, kumbe wenzangu walilipwa 😂
 
Hawa watu wanataka tuone damu za watu waliouwawa kikatili October 29 kama walikua kama mbuzi tu waliochinjwa watu wakala nyama wakasahau.

Mtu anafuatwa kwake anapigwa risasi halafi akina Chande wanasema eti waandamanaji walikua na silaha.
Uafrika ni laana mkuu, hasa ikiwa Mtanzania
 
Ule uzinduzi hata mimi niliuona. Ila kiukweli narrative Yao imejaa matobo mengi… na sijui ni Kwa nini nguvu kubwa sana inatumika kutuhadithia mambo ambayo sisi wenyewe tumeyaona, tulishuhudia kilicho fanywa na vyombo akiwemo traffic…na idadi ya waliokufa na au kuuwawa ni kubwa na wamekiri wenyewe, idadi hiyo ya 518 inaweza kuongezeka.
Ukweli ubaki. Wamewauwa watanzania wenzetu kwa makusudi, msamaha haombi, Halafu wanataka wasemehewe na maridhiano juu. Hii ngoma bado mbichi. Washauri wa Huyu mama sasa wapigwe chini. Kazi iendeleee…
 
Habari wakuu?

Nimejlitazama ile makala. Kinachoelezwa mule ni Uzushi na Upotoshaji Mkubwa ambao, ukiiutamza huoni Professionalism ya Journalism. Je, ule ni Mradi?

Cc: Pascal Mayalla View attachment 3604654
Nimerejea
1781090472215.png
What Happened in Oct. 29: Pongezi Balile wa TEF Kwa Uzalendo, Ila Tanzania Tunatia Aibu!. Tutategemea Wageni Mpaka Lini?!. Tujenge Uwezo wa Ndani!.

P
 
Back
Top Bottom