Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Kwakweli MMM umenena na mm sina mashaka na wewe naamini unaweza! waandishi inabidi waungane juu ya hili uhuru wa vyombo vya habari uheshimike
Ni makala nzuri inayofikirisha sana. Ni dhahiri kwa mtawala yeyote mwenye uvumilivu mdogo(elements za udikteta) ataona kuwa makala hii ni kama mtu anawafungia mbwa wako kwenye chumba kidogo chenye chetezo kinachofuka moshi wa bangi na hivyo huenda moshi huo ukawapatia ukichaa na kumuuma wewe mwenyewe. Ila kwa mtawala anayefikiria beyond yeye binafsi ataona kuwa hii ni challenge inayopaswa kujibiwa positive kwa vitendo kwa kufanya utafiti juu ya yaliyosemwa na kuyafanyia kazi. Reaction ya kuiita makala ni ya uchochezi inaleta faida zaidi kwa mwandishi katika kufikisha maoni yake. Ni dhahiri kesi ya uchochezi iliyofunguliwa dhidi ya makala hii imefanya watu wengi kuwa na interest ya kujua ni nini klipo kwenye makala ghiyo?, na hiyo kuiongezea umaarufu. Binafsi sikuwahi kuisoma na kuijua zaidi ya leo hii hapa na kuona kuwa kumbe jamaa kaandika kitu cha maana zaidi.
Hii inanikumbusha mifano ifuatayo ambayo reaction ya watawala iliipa umaaru in excessive.You name it. Makala hii ni maoni ya kawaida ya mtu na kuiita uchochozi ni kuchochea watu waitafute na kuisoma zaidi tena na tena. Ukiwa katika nafasi ya uongozi ujue kuwa kama waswahili walivyosema nature ya kazi inakufanya wewe kuwa jalala. Fuata misingi ya uongozi na tenda haki hakuna la kukufanya usilale. Kwani askari nao wana akili zao hawawezi kuwa na za kuambiwa tu na malkala kama hii au ya wakubwa zao, lazima wachanganye na za kwao. Ukiomba kuwa mwanandoa basi kulala bila kanchili si suala la kuogopa. Na unapoomba kuwa kiongozi basi kusikia maoni yanayokuudhi si suala la kuogopa ni sehemu na majukumu ya kazi hiyo.... Anayeongelewa hapo ni mtawala si mtu binafsi, ukiachia uongozi hakuna atakayekuwa na haja na wewe...
- Ule mtandao wa internet uliwahi kuchapisha picha ya kutengeneza ya mkuu wa nchi katika tendo la kishoga
- Habari za wikileak kuhusu kiongozi wa nchi kununuliwa suti
- ....
- ...
Tuwe wavumilivu, tusipende kuzi-surbodinate hisia zetu juu ya mamlaka yetu. Tukifanya hivyo uongozi utatushinda...
Nani sasa?? Kibanda, Mwigamba au Mwanakijiji???
Au na wewe mpiga makombo??
Siku huo ugonjwa utakapopona ndani ya vichwa vya wadanganyika ndipo tutapata maendeleo ya kweli.
Maana si ajabu kwa mwalimu, mhandisi, mchumi, mwanahabari, mwanajeshi, askari polisi, askari magereza ama mwansayansi kukubali
ujira mdogo wa sh.135,000 kwa mwezi, wakati wanasiasa wanajikusanyia sh.330,000 kwa kukaa kitako siku moja tu!!
Na bado tunaendelea kuhamsishana kwa ujinga wa kwamba kazi fulani ni wito. Kwanini ubunge, uraisi, uwaziri, ukurugenzi, UDC, URC navyo visiwe wito??
hovyoooooo...!!
Acha waupate ili wajitambue unaweza kuwa ndio mwanzo wa ukombozi.Rafiki yangu mwanajeshi anasema gazeti la Tanzania Daima lenye waraka huu limekuwa lulu kwenye kambi za jeshi.
mbona hilo rahisi; nimeshafanya hivyo na makalayangu ya kuunga mkono ya Mwigamba itatoka kesho, inshallah.
Kisheria, yuko kwenye hali ngumu. Kurudia makala ni upuuzi. Kwanini hao waandishi wasiandike makala zao?Kwani sheria zinasemaje jamani???kuhusiana na huu waraka..
Kisheria, yuko kwenye hali ngumu. Kurudia makala ni upuuzi. Kwanini hao waandishi wasiandike makala zao?
Namaanisha,waandike makala kuwaambia wanajeshi wasifuate amri kama zinawakandamiza wananchi kwa maneno yao!
You are welcome, think independently!Thanks ZOMBY tumekuelewa!
hiyo makala imepotezewa wapi tena?.........
Ndio ile inayoelezea kuwa awali Mwandishi alisomea DIT na kuwa Telecoms Technician (FTC) na baadaye kujiunga na Jeshi la Megereza Chuoni Kiwira........na baadaye ikanichanganya kwani inaelezea mtu huyo huyo alisoma huko Magu then Mazengo Sec na Kufaulu na kuendelea hadi Chuo Kikuu na kupata kazi Umoja wa Mataifa........?
Ikumbukwe pia kuwa mbali na mapungufu ya kanuni za utekelezaji wa sheria zetu.........inakuwa mbaya zaidi tunapokuwa na incompetents from both sides i.e. raia na mwajiriwa........na bahati mbaya sana individuals wachache sana ambao wasimamiaji wazuri wa sheria zetu wanapigwa vita na wasiojuwa/wabinafsi walio wengi.......na wao pia wameingia mitegoni..........
Kwa ujumla nchi yetu inahitaji "overhaul"........je mafundi ni akina nani?......[/COLOR].[/QUOTE]
Samsoni Mwigamba ameshaanza, kazi kwa wengine nao kufanya sehemu yao.
Acheni uchochezi wewe.