Makahaba wa Kinyarwanda wawakirimia Wabunge na WanaCCM Dodoma - HabariLeo

Ubaya wa UKIMWI ni kuwa hawajifii wenyewe, walio wengi tena hasa hawa wenye fedha wanaueneza na kwaivyo unasambaa. Ukifikiri zaidi utaona kuwa si kitu cha kutakia mtu akipate as hakiishii kwa yule anayekipata. Kama mtu anaweza kusihi nao muda mrefu ina maana ana uwezo wa kuambukiza hata kwa wasio makahaba.

Potelea mbali, ilimradi kuwe na historia kwamba kati ya hao watakao kufa na UKIMWI wabunge vicheche walikuwepo.
 
Potelea mbali, ilimradi kuwe na historia kwamba kati ya hao watakao kufa na UKIMWI wabunge vicheche walikuwepo.

wabunge vicheche hao hao wanaweza kupitia mwanao,ndugu au hata partner wakona ukaambukizwa na wewe....si vyema kumtakia mtu aathirike na UKIMWI, hakuna mwenye usafi wa kustahili kumtakia mtu nae aambukizwe UKIMWI. Mungu apitishe mbali kabisa na awaepushe wasiokuwa wameathirika kuathirika.
 
duh ngoja nimtafute zitto niwe naenda nae..kijana wa watu watamkaba bure
 
Headlines za magazeti yetu kwa wastani hazifanani na nchi nyingine popote pale duniani. Na sababu kubwa hii CCM imechoka kila kitu, kitendo cha kuendelea kuwepo ni kuhalalisha mambo kama haya. Kwasababu CCM wamehalalisha dhambi ya uongo na ukihalalisha dhambi ya uongo baci dhambi nyingine zoote utafanya. Kiukweli hasa, Tanzania haitajadili wala kufanya lolote mpaka CCM isiwepo madarakani, hata kama nchi ishikwe na wajeda poa tu ila isiwepo katika power ndo magazeti yataanza kuandika headlines za uzalendo na maendeleo
 
Hakika posho haitawatosha milele.sisi tunalipa posho ya mmoja,kumbe wapo wengi tena wanaohita dayati!
 
Hii habari ingeandikwa na Tanzania daima kuna watu wangesema ni uzushi na inadhalilisha waheshimiwa wabunge lakini wengi wao ni wateja wazuri wa madada poa especially Mh Mwigulu Nchemba mpaka alihamia kwa makada wenzake
 
inawezekana vichwa vyao vimejaa virusi ndio maana wengi wao wanaongea ovyo na kuunga mkono hoja za ovyo bungeni
tuanzie na yule dokta aliemtishia mwenzie bastola,
aliebiwa AK47 na changudoa,
alievalia pisto jukwaani na kunyanyanyana mti wa bendera,
alieuza wanyama wetu,
alietaka hoja ya maji itolewe na kuahidi uongo maji yangetoka,
alievalisha mbwa bendera na kuiba wake za watu
aliesema akifa yeye hata panya hawatapona...
hebu tuwachunguze wote hawa huenda kuna matatizo katika bongo zao kwa sababu hiyo.
 
Nikumbushie hilo la Mbunge wa CUF na mwanamke wa kisomali.
Mkuu hawa walifunga ndoa za gafla kisha kupanga safari za magharibi kwa paspoti za wana diplomasia, wabunge walirudi na wanawake kuzamia! Baadaye wanawake walikamatwa na kugundulika walivo ingia nchi husika, ndo ikaibuka kashfa kwa bunge la jmt. Wabunge husika walihojiwa wakakiri kuhusika kwao wakaomba msamaha kwa kusema eti walichanganywa na penzi changa!
 
Jitihada ifanyike kuhamasiha waheshimiwa kuacha kuendeleza biashara ya ukahaba kwa kununua huduma kutoka kwa makahaba hao. Ni muhimu sana kwa pande zote mbili kuhusika. Wangeacha kununua huduma hiyo wala hao makahaba wasingekuwa wanasafiri kipindi cha bunge na kupanga vyumba kufanya biashara yao.

Dada yangu,
Hamasa ipi kwa watu kama wabunge? Unapozungumzia jitihada kufanyika kuhamasisha unamaanisha elimu ya afya ya uzazi na ngono salama.
Watu kama wabunge ni watu wazima,waelewa,wakomavu na wasomi,leo hii ukisema tuanze kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa watu kama hawa ni kichekesho.
Leo unamwita mchumi first class unamfundisha kutumia mpira ni kichekesho sana.
Pia ukisema makahaba ndio wanawaambukiza wabunge ni upande mmoja,upande wa pili ni waheshimiwa wanawaambukiza makahaba.
 
Mkuu hawa walifunga ndoa za gafla kisha kupanga safari za magharibi kwa paspoti za wana diplomasia, wabunge walirudi na wanawake kuzamia! Baadaye wanawake walikamatwa na kugundulika walivo ingia nchi husika, ndo ikaibuka kashfa kwa bunge la jmt. Wabunge husika walihojiwa wakakiri kuhusika kwao wakaomba msamaha kwa kusema eti walichanganywa na penzi changa!

Duh! Asante mdau Ninaweza kwa habari hiyo. Waheshimiwa wetu vingekuwa vituko tu ingekuwa ni kama masikhara, lakini hili ni zaidi ya vituko kitu kinachoitwa kashfa.
 
wabunge vicheche hao hao wanaweza kupitia mwanao,ndugu au hata partner wakona ukaambukizwa na wewe....si vyema kumtakia mtu aathirike na UKIMWI, hakuna mwenye usafi wa kustahili kumtakia mtu nae aambukizwe UKIMWI. Mungu apitishe mbali kabisa na awaepushe wasiokuwa wameathirika kuathirika.

Unaweza kushangaa wanaojitangaza walifaulu shuleni ni A+ na ni wachumi waliosimamia uchumi wakiwa waajiriwa bank kuu. Hao hao huko kwenye kampeni za ubunge Igunga wanaingilia wake za watu kufanya nao ngono, badala yakushughulikia mashauri ya kampeni inabidi wajipange kufanya usuluhishi mambo yasitoke hadharani. Hao ndio wabunge wetu. Nini watafanya kusimamia serikali kama si kuingia bungeni wakiwa ni rubber stamp ya serikali badala ya kuisimamia?
 
Jamani wabunge wazee ni nomaa kuliko ata vijana unaweza zani kwenye ujana wao hawakupitia mambo hayo. Hasa naniii.........................!!!!!!!!!!
 
Acheni wajifie. Mimi sijaona faida ya wao kuwa bungeni zaidi ya kulifilisi taifa bila kuona utetezi wao kwa Taifa hili. Rasilimali zetu zinafaidisha wageni wao kazi ni kuhangaika na machangu. Kutwa nzima kulala bungeni kisa mikesha na machangu doa.

Naomba kila anaye shiriki kwenye uchangu, akumbane na hilo gonjwa akafie mbali. Na wala sio watu wa kuwaonea huruma kabisa. Mateso tunayo yapata kwa hali ngumu ya maisha, afadhali nao wakumbane na dhahma hii ya gonjwa la UKIMWI wajifie.

Hao wabunge wenyewe tayari ni waathirika bila ya kuomba mechi na wanyarwanda. Wengi ni waathirika na ni wa tumiaji wa ARV tayari. Usihadaike na suti na tai zao.

Kama huamini,tuwaombe wachangie damu, "blood bank". Wanaofanya kazi huko maabara watakupa data. Watatoa damu kama PR tu lakini hiyo damu haitatumika kuwawekea wagonjwa!
 
Acheni wajifie. Mimi sijaona faida ya wao kuwa bungeni zaidi ya kulifilisi taifa bila kuona utetezi wao kwa Taifa hili. Rasilimali zetu zinafaidisha wageni wao kazi ni kuhangaika na machangu. Kutwa nzima kulala bungeni kisa mikesha na machangu doa.

Naomba kila anaye shiriki kwenye uchangu, akumbane na hilo gonjwa akafie mbali. Na wala sio watu wa kuwaonea huruma kabisa. Mateso tunayo yapata kwa hali ngumu ya maisha, afadhali nao wakumbane na dhahma hii ya gonjwa la UKIMWI wajifie.

Usifikirie vifo vyao tu, fikiria kodi yetu itakayowapeleka India na South Africa kutibiwa pale afya itakapoanza kuwa mgogolo.

 
Back
Top Bottom