Makada wa CCM. Chama chenu hakitawali hii nchi. AMKENI!!

Makada wa CCM. Chama chenu hakitawali hii nchi. AMKENI!!

Diwani

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2014
Posts
2,824
Reaction score
3,021
Ukiwa huku mtaani Vijana wa CCM wanadhani Chama chao ndicho "Chama Tawala".

Chama kama taasisi haiishii tu kwa watu, bali Ilani, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya chama, kisha Wanachama na wafuasi. Katika hali ya kawaida tu; taifa lenye mfumo wa vyama vingi kama Tanzania suala la uhuru wa maoni ni jambo la kawaida.

CCM, ebu jiulizeni. Je, katika sheria na kanuni za chama chenu; kuna chochote kati ya hivyo kinaruhusu UTEKAJI?, Ukamataji holela wa Wapinzani? Kubambikizia kesi? Ufilisi wa Watu kwa sababu ya Itikadi zao? KAMA HAKUNA! nani ndani ya CHAMA au Serikali (Mliyoiunda) amawajibishwa?

  1. Upi msimamo wa chama kuhusu yanayoendelea tangu mwaka 2016? Je, chama kimewahi kutoa official release yoyote kuhusu mwenendo wa kisiasa?
  2. kwenye Chama chenu kuna yeyote aliyewahi kuwajibishwa kuhusu mwenendo MBOVU wa kisiasa kwenye serikali? Je ni kweli mna uwezo kama chama wa kuiwajibisha Serikali?
  3. Waziri (hususan wa Mambo ya Ndani) amewahi kumuwajibisha Afisa yeyote wa ngazi ya juu wa Jeshi kwa sababu ya Utekaji na Mauwaji yanayoendelea?
  4. Mmewahi kusikia kujiuzulu kwa kiongozi yeyote wa Kisiasa, JESHI au kiongozi wa juu wa chama kwa haya yanayoendelea?
SASA KAMA HAYO YOTE NI HAPANA!! MNAUNDA SERIKALI GANI? MNAONGOZA NCHI GANI?

Mnashika mabango kunadi mgombea wakati chama chenu kimetekwa? Yaani leo POLEPOLE anatoa shutuma kuhusu Chama chenu mnashindwa kumuwajibisha kiongozi yeyote wa Chama au Serikali, mnabaki mnasifia wagombea ambao wakipanda pale wanafuata maelekezo ya KIKUNDI? (MTANDAO). Sasa chama chenu kinaunda Serikali gani ambayo ninyi mnashindwa kuiwajibisha?

GUYS! HAKUNA SERIKALI MNAYOUNDA, NA NINYI SI CHAMA TAWALA. WAPO WATAWALA, NA HAWANA UHUSIANO NA CHAMA CHENU AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO KAMA NJAA NA UJINGA NDIVYO VINAVYOWAONGOZA.
 
Ukiwa huku mtaani Vijana wa CCM wanadhani Chama chao ndicho "Chama Tawala".

Chama kama taasisi haiishii tu kwa watu, bali Ilani, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya chama, kisha Wanachama na wafuasi. Katika hali ya kawaida tu; taifa lenye mfumo wa vyama vingi kama Tanzania suala la uhuru wa maoni ni jambo la kawaida.

CCM, ebu jiulizeni. Je, katika sheria na kanuni za chama chenu; kuna chochote kati ya hivyo kinaruhusu UTEKAJI?, Ukamataji holela wa Wapinzani? Kubambikizia kesi? Ufilisi wa Watu kwa sababu ya Itikadi zao? KAMA HAKUNA! nani ndani ya CHAMA au Serikali (Mliyoiunda) amawajibishwa?

  1. Upi msimamo wa chama kuhusu yanayoendelea tangu mwaka 2016? Je, chama kimewahi kutoa official release yoyote kuhusu mwenendo wa kisiasa?
  2. kwenye Chama chenu kuna yeyote aliyewahi kuwajibishwa kuhusu mwenendo MBOVU wa kisiasa kwenye serikali? Je ni kweli mna uwezo kama chama wa kuiwajibisha Serikali?
  3. Waziri (hususan wa Mambo ya Ndani) amewahi kumuwajibisha Afisa yeyote wa ngazi ya juu wa Jeshi kwa sababu ya Utekaji na Mauwaji yanayoendelea?
  4. Mmewahi kusikia kujiuzulu kwa kiongozi yeyote wa Kisiasa, JESHI au kiongozi wa juu wa chama kwa haya yanayoendelea?
SASA KAMA HAYO YOTE NI HAPANA!! MNAUNDA SERIKALI GANI? MNAONGOZA NCHI GANI?

Mnashika mabango kunadi mgombea wakati chama chenu kimetekwa? Yaani leo POLEPOLE anatoa shutuma kuhusu Chama chenu mnashindwa kumuwajibisha kiongozi yeyote wa Chama au Serikali, mnabaki mnasifia wagombea ambao wakipanda pale wanafuata maelekezo ya KIKUNDI? (MTANDAO). Sasa chama chenu kinaunda Serikali gani ambayo ninyi mnashindwa kuiwajibisha?

GUYS! HAKUNA SERIKALI MNAYOUNDA, NA NINYI SI CHAMA TAWALA. WAPO WATAWALA, NA HAWANA UHUSIANO NA CHAMA CHENU AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO KAMA NJAA NA UJINGA NDIVYO VINAVYOWAONGOZA.
Hao jamaa huwaambii kitu, halafu hakuna watu wajinga kama CCM
 
Ukiwa huku mtaani Vijana wa CCM wanadhani Chama chao ndicho "Chama Tawala".

Chama kama taasisi haiishii tu kwa watu, bali Ilani, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya chama, kisha Wanachama na wafuasi. Katika hali ya kawaida tu; taifa lenye mfumo wa vyama vingi kama Tanzania suala la uhuru wa maoni ni jambo la kawaida.

CCM, ebu jiulizeni. Je, katika sheria na kanuni za chama chenu; kuna chochote kati ya hivyo kinaruhusu UTEKAJI?, Ukamataji holela wa Wapinzani? Kubambikizia kesi? Ufilisi wa Watu kwa sababu ya Itikadi zao? KAMA HAKUNA! nani ndani ya CHAMA au Serikali (Mliyoiunda) amawajibishwa?

  1. Upi msimamo wa chama kuhusu yanayoendelea tangu mwaka 2016? Je, chama kimewahi kutoa official release yoyote kuhusu mwenendo wa kisiasa?
  2. kwenye Chama chenu kuna yeyote aliyewahi kuwajibishwa kuhusu mwenendo MBOVU wa kisiasa kwenye serikali? Je ni kweli mna uwezo kama chama wa kuiwajibisha Serikali?
  3. Waziri (hususan wa Mambo ya Ndani) amewahi kumuwajibisha Afisa yeyote wa ngazi ya juu wa Jeshi kwa sababu ya Utekaji na Mauwaji yanayoendelea?
  4. Mmewahi kusikia kujiuzulu kwa kiongozi yeyote wa Kisiasa, JESHI au kiongozi wa juu wa chama kwa haya yanayoendelea?
SASA KAMA HAYO YOTE NI HAPANA!! MNAUNDA SERIKALI GANI? MNAONGOZA NCHI GANI?

Mnashika mabango kunadi mgombea wakati chama chenu kimetekwa? Yaani leo POLEPOLE anatoa shutuma kuhusu Chama chenu mnashindwa kumuwajibisha kiongozi yeyote wa Chama au Serikali, mnabaki mnasifia wagombea ambao wakipanda pale wanafuata maelekezo ya KIKUNDI? (MTANDAO). Sasa chama chenu kinaunda Serikali gani ambayo ninyi mnashindwa kuiwajibisha?

GUYS! HAKUNA SERIKALI MNAYOUNDA, NA NINYI SI CHAMA TAWALA. WAPO WATAWALA, NA HAWANA UHUSIANO NA CHAMA CHENU AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO KAMA NJAA NA UJINGA NDIVYO VINAVYOWAONGOZA.
Labda waanze kunyimwa "posho" vinginevyo hawawezi kukuelewa!
 
Ukiwa huku mtaani Vijana wa CCM wanadhani Chama chao ndicho "Chama Tawala".

Chama kama taasisi haiishii tu kwa watu, bali Ilani, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya chama, kisha Wanachama na wafuasi. Katika hali ya kawaida tu; taifa lenye mfumo wa vyama vingi kama Tanzania suala la uhuru wa maoni ni jambo la kawaida.

CCM, ebu jiulizeni. Je, katika sheria na kanuni za chama chenu; kuna chochote kati ya hivyo kinaruhusu UTEKAJI?, Ukamataji holela wa Wapinzani? Kubambikizia kesi? Ufilisi wa Watu kwa sababu ya Itikadi zao? KAMA HAKUNA! nani ndani ya CHAMA au Serikali (Mliyoiunda) amawajibishwa?

  1. Upi msimamo wa chama kuhusu yanayoendelea tangu mwaka 2016? Je, chama kimewahi kutoa official release yoyote kuhusu mwenendo wa kisiasa?
  2. kwenye Chama chenu kuna yeyote aliyewahi kuwajibishwa kuhusu mwenendo MBOVU wa kisiasa kwenye serikali? Je ni kweli mna uwezo kama chama wa kuiwajibisha Serikali?
  3. Waziri (hususan wa Mambo ya Ndani) amewahi kumuwajibisha Afisa yeyote wa ngazi ya juu wa Jeshi kwa sababu ya Utekaji na Mauwaji yanayoendelea?
  4. Mmewahi kusikia kujiuzulu kwa kiongozi yeyote wa Kisiasa, JESHI au kiongozi wa juu wa chama kwa haya yanayoendelea?
SASA KAMA HAYO YOTE NI HAPANA!! MNAUNDA SERIKALI GANI? MNAONGOZA NCHI GANI?

Mnashika mabango kunadi mgombea wakati chama chenu kimetekwa? Yaani leo POLEPOLE anatoa shutuma kuhusu Chama chenu mnashindwa kumuwajibisha kiongozi yeyote wa Chama au Serikali, mnabaki mnasifia wagombea ambao wakipanda pale wanafuata maelekezo ya KIKUNDI? (MTANDAO). Sasa chama chenu kinaunda Serikali gani ambayo ninyi mnashindwa kuiwajibisha?

GUYS! HAKUNA SERIKALI MNAYOUNDA, NA NINYI SI CHAMA TAWALA. WAPO WATAWALA, NA HAWANA UHUSIANO NA CHAMA CHENU AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO KAMA NJAA NA UJINGA NDIVYO VINAVYOWAONGOZA.
Brother hao jamaa.wanalinda matumbo yao wanasema rushwa adui wa haki ila.wao ndio vinara wakugawa rushwa nini sasa uongozi wa sasa eti uwe na hela ukapige hela hapana tumechoka
 
Brother hao jamaa.wanalinda matumbo yao wanasema rushwa adui wa haki ila.wao ndio vinara wakugawa rushwa nini sasa uongozi wa sasa eti uwe na hela ukapige hela hapana tumechoka
Kiufupi wamepoteana
 
Ukiwa huku mtaani Vijana wa CCM wanadhani Chama chao ndicho "Chama Tawala".

Chama kama taasisi haiishii tu kwa watu, bali Ilani, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya chama, kisha Wanachama na wafuasi. Katika hali ya kawaida tu; taifa lenye mfumo wa vyama vingi kama Tanzania suala la uhuru wa maoni ni jambo la kawaida.

CCM, ebu jiulizeni. Je, katika sheria na kanuni za chama chenu; kuna chochote kati ya hivyo kinaruhusu UTEKAJI?, Ukamataji holela wa Wapinzani? Kubambikizia kesi? Ufilisi wa Watu kwa sababu ya Itikadi zao? KAMA HAKUNA! nani ndani ya CHAMA au Serikali (Mliyoiunda) amawajibishwa?

  1. Upi msimamo wa chama kuhusu yanayoendelea tangu mwaka 2016? Je, chama kimewahi kutoa official release yoyote kuhusu mwenendo wa kisiasa?
  2. kwenye Chama chenu kuna yeyote aliyewahi kuwajibishwa kuhusu mwenendo MBOVU wa kisiasa kwenye serikali? Je ni kweli mna uwezo kama chama wa kuiwajibisha Serikali?
  3. Waziri (hususan wa Mambo ya Ndani) amewahi kumuwajibisha Afisa yeyote wa ngazi ya juu wa Jeshi kwa sababu ya Utekaji na Mauwaji yanayoendelea?
  4. Mmewahi kusikia kujiuzulu kwa kiongozi yeyote wa Kisiasa, JESHI au kiongozi wa juu wa chama kwa haya yanayoendelea?
SASA KAMA HAYO YOTE NI HAPANA!! MNAUNDA SERIKALI GANI? MNAONGOZA NCHI GANI?

Mnashika mabango kunadi mgombea wakati chama chenu kimetekwa? Yaani leo POLEPOLE anatoa shutuma kuhusu Chama chenu mnashindwa kumuwajibisha kiongozi yeyote wa Chama au Serikali, mnabaki mnasifia wagombea ambao wakipanda pale wanafuata maelekezo ya KIKUNDI? (MTANDAO). Sasa chama chenu kinaunda Serikali gani ambayo ninyi mnashindwa kuiwajibisha?

GUYS! HAKUNA SERIKALI MNAYOUNDA, NA NINYI SI CHAMA TAWALA. WAPO WATAWALA, NA HAWANA UHUSIANO NA CHAMA CHENU AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO KAMA NJAA NA UJINGA NDIVYO VINAVYOWAONGOZA.
Umenikumbusha kuhusu bunge kibogoyo
 
Ukiwa huku mtaani Vijana wa CCM wanadhani Chama chao ndicho "Chama Tawala".

Chama kama taasisi haiishii tu kwa watu, bali Ilani, sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya chama, kisha Wanachama na wafuasi. Katika hali ya kawaida tu; taifa lenye mfumo wa vyama vingi kama Tanzania suala la uhuru wa maoni ni jambo la kawaida.

CCM, ebu jiulizeni. Je, katika sheria na kanuni za chama chenu; kuna chochote kati ya hivyo kinaruhusu UTEKAJI?, Ukamataji holela wa Wapinzani? Kubambikizia kesi? Ufilisi wa Watu kwa sababu ya Itikadi zao? KAMA HAKUNA! nani ndani ya CHAMA au Serikali (Mliyoiunda) amawajibishwa?

  1. Upi msimamo wa chama kuhusu yanayoendelea tangu mwaka 2016? Je, chama kimewahi kutoa official release yoyote kuhusu mwenendo wa kisiasa?
  2. kwenye Chama chenu kuna yeyote aliyewahi kuwajibishwa kuhusu mwenendo MBOVU wa kisiasa kwenye serikali? Je ni kweli mna uwezo kama chama wa kuiwajibisha Serikali?
  3. Waziri (hususan wa Mambo ya Ndani) amewahi kumuwajibisha Afisa yeyote wa ngazi ya juu wa Jeshi kwa sababu ya Utekaji na Mauwaji yanayoendelea?
  4. Mmewahi kusikia kujiuzulu kwa kiongozi yeyote wa Kisiasa, JESHI au kiongozi wa juu wa chama kwa haya yanayoendelea?
SASA KAMA HAYO YOTE NI HAPANA!! MNAUNDA SERIKALI GANI? MNAONGOZA NCHI GANI?

Mnashika mabango kunadi mgombea wakati chama chenu kimetekwa? Yaani leo POLEPOLE anatoa shutuma kuhusu Chama chenu mnashindwa kumuwajibisha kiongozi yeyote wa Chama au Serikali, mnabaki mnasifia wagombea ambao wakipanda pale wanafuata maelekezo ya KIKUNDI? (MTANDAO). Sasa chama chenu kinaunda Serikali gani ambayo ninyi mnashindwa kuiwajibisha?

GUYS! HAKUNA SERIKALI MNAYOUNDA, NA NINYI SI CHAMA TAWALA. WAPO WATAWALA, NA HAWANA UHUSIANO NA CHAMA CHENU AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO KAMA NJAA NA UJINGA NDIVYO VINAVYOWAONGOZA.
Hata hawajui wanaenda kufanya nini
FB_IMG_1756886098822.jpg
 
Hakika mkuu, ujinga ndio mtaji mkubwa wa CCM.

Zile nguo za kijani nafikiri zinapumbaza maanake vijana wakizivaa wanajihisi wao ni watawala.

Yaani wanajiona wapo juu ya Tanzania wanajihisi wao ndio wao hakuna mwingine zaidi yao.

Huku kitaa wajumbe wameanza kujitambua isipokuwa wanadai njaa na umasikini unawasumbua.

Wajumbe wanasema kuliko kukosa chochote bora kwenda kwenye mikutano ukirudi upate kilo moja ya unga.

Umasikini na ujinga ndio mtaji mkubwa wa CCM kuendelea kutawala

Tusichoke kuwaelimisha vijana taratibu wataelewa tu.

Katika vijana kumi ukiwapa somo akielewa mmoja tu ni mbegu tosha ipo siku atawaelewesha wenzake.
 
Hakika mkuu, ujinga ndio mtaji mkubwa wa CCM.

Zile nguo za kijani nafikiri zinapumbaza maanake vijana wakizivaa wanajihisi wao ni watawala.

Yaani wanajiona wapo juu ya Tanzania wanajihisi wao ndio wao hakuna mwingine zaidi yao.

Huku kitaa wajumbe wameanza kujitambua isipokuwa wanadai njaa na umasikini unawasumbua.

Wajumbe wanasema kuliko kukosa chochote bora kwenda kwenye mikutano ukirudi upate kilo moja ya unga.

Umasikini na ujinga ndio mtaji mkubwa wa CCM kuendelea kutawala

Tusichoke kuwaelimisha vijana taratibu wataelewa tu.

Katika vijana kumi ukiwapa somo akielewa mmoja tu ni mbegu tosha ipo siku atawaelewesha wenzake.
Na ujinga wa Wanachama na Wafuasi ndio mtaji wa CCM kuendelea kusalia madarakani.
 
Back
Top Bottom