Makabila yanayoendana wakioana na ndoa ikadumu

TANZANIAN NINJA

JF-Expert Member
Apr 19, 2018
441
496
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.

mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.
sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.


Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
 
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.
mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.


Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
wakina ninja ni kabila gani?
 
Kuna Mlugulu na Mzaramo hapo ni Gundi na Karatasi.

Kuna Mkurya na Mnyakyusa baba hapo ni Chuma na Sumaku.

Kuna Mnyamwezi na Mngoni baba hapo ni Upele na Mkunaji hatoboi mtu.

Kuna Ile ya MUHA na Mhaya hapo ni V8 na Diesel hapindui meza

Na kuna ile ya MCHAGA na mme Tajiri hapo ni kama kusukuma mlevi mkuu.
 
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.
mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.


Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
Wachaga vs wanyakyusa

Hizi ndoa wazazi wakinyakyusa wanazipinga sana ....mtoto wao kuoa au kuolewa na wachaga ..........nadhani sababu inajulikana

Hata Mimi nikiwa mzazi.....ntakataa hizi ndoa
 
Kuna Mlugulu na Mzaramo hapo ni Gundi na Karatasi.

Kuna Mkurya na Mnyakyusa baba hapo ni Chuma na Sumaku.

Kuna Mnyamwezi na Mngoni baba hapo ni Upele na Mkunaji hatoboi mtu.

Kuna Ile ya MUHA na Mhaya hapo ni V8 na Diesel hapindui meza

Na kuna ile ya MCHAGA na mme Tajiri hapo ni kama kusukuma mlevi mkuu.
mchaga na mme tajiri ipo kwa ajira ya kufanikusha lile jambo letu.
 
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.

mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.

sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.

Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
Mchaga na mpare vs mchaga na mhaya patachimbika hapo ndani 🤣🤣
 
Mbona ethics za mchaga na mpare zinaendana Tena watani sana kwa kweli

Hayo mambo hayaendani na hazifanyi kazi kwa sasa kuna utandawazi

Ila dunia ya sasa kwa kweli naona yanawezekana haswa watu wakukutana mfano dar wanaoana jamaa yangu mnyakyusa kazaliwa dar kakulia dar kaoa mchaga na hana pesa wala nn bodaboda sema ni degree holder
 
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.

mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.
sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.


Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
["SAWA"]
 
Mbona ethics za mchaga na mpare zinaendana Tena watani sana kwa kweli

Hayo mambo hayaendani na hazifanyi kazi kwa sasa kuna utandawazi

Ila dunia ya sasa kwa kweli naona yanawezekana haswa watu wakukutana mfano dar wanaoana jamaa yangu mnyakyusa kazaliwa dar kakulia dar kaoa mchaga na hana pesa wala nn bodaboda sema ni degree holder
ndihivyo sasa mpare na mchaga hawamatch kama mkurya na mngoleme ingawa wanaendena hadi lugha. Ila utandawazi unasidia kufuta haya kwa sababu wengi ni born town aka ni waswahili.
 
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.

mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.

sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.

Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
Msingida ndiyo kabila ipi hiyo? Maana makabila makubwa Singida ni Wanyaturu na Wanyiramba sasa sijui umelenga yupi kati ya hao?
 
Mchaga na mpare vs mchaga na mhaya patachimbika hapo ndani 🤣🤣
Mchaga na Mhaya wanatoa combination nzuri sana ya familia. Hata kwenye biashara Mchaga na Muhaya wakiendana wanatoa kitu kimekamilika mfano JF hii ya Maxence Mello na Mike Mushi, Clouds ya Rugemalira Mutahaba na Joseph Kusaga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom