TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 441
- 496
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.
kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n
a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.
Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .
mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.
hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.
sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.
mmakonde na kurya, ngoni.
mnyakyusa na chaga, kinga, bena.
muha na mrangi, pwani na tanga.
muhaya na sukuma, nyamwezi .
mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.
sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.
Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.
Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n
a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.
Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .
mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.
hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.
sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.
mmakonde na kurya, ngoni.
mnyakyusa na chaga, kinga, bena.
muha na mrangi, pwani na tanga.
muhaya na sukuma, nyamwezi .
mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.
sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.
Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.
Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.