Majuto ya Chid Benz

Eastleigh, i had a brother there, sorry enough he had passed away, rest in paradise camarade.
 
Kwa hali aliyofikia chid hawezi kuongea hayo na akiweza jua katumia siku mbili kuyaongea.
 
Jamaa alikuwa na kipindi EATV, alifanikiwa sana.
 
wakati wa majuto
 
Eastleigh is definitely a nice place to live in. Over the years, I've been going there back and forth. I'm very sorry you lost a brother there.
Thanks a lot comrade
 
Ni furaha kuona Chid Benz, Rapa ambaye ametengeneza heshima kubwa sana kwenye kiwanda cha muziki nchini, amerudi kwenye utimamu tena baada ya maswahibu aliyoyapitia.

Ni mashabiki wa kweli wa Chid Benz ambao wasingeweza furahia kile ambacho Chid alikuwa akipitia. Ila mwisho wa siku ule MUDA ambao aliwahi uimba, umejibu.

King Kong, jitu lenye miraba yake, limerudi kama mwanzo. Dhihaka, kuonekana ashapoteza, haipo tena, MUNGU ni Mwema na iwe kheri siku zote.

La Familiaaaa
 
Tunamtakia kila la heri

Ova
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…